Airtel Money leo mmeyumba

Airtel Money leo mmeyumba

Halafu ni tetesi tu, wakati wenzake wako busy kusajili arsenal wao ni tetesi tu. Yani litimu limekuwa kama ruvu shooting. Arsenal siwezi kuhama, Ila Airtel nawavutia kasi!
mnayataka wenyewe bhana
 
Unatukashfu sana sisi wana gunners, ajabu sasa natumia Airtel na ni mwana asenali. Leo nimeshindwa kufanya Jambo langu coz hela ilikuwepo Airtel money, nimetoa kitu hakileti msg wala nini. Jpili iliyopita nilikuwa safari, yule dada asingekuwa mstaarabu hela yangu angenidhulumu. Nawapa mda wa kuirekebisha....futseke zao!!
Hahahahahah
 
Pia Mimi nimetuma 50k hela wamekata hakuna msg nilikotuma Wala kwangu. Wanatupa uzito sana wa maelewano
Nishafika ofisini kwao nasubiria majibu.

Wameniambie nirudi kwa Wakala.nikachukue ela yangu.au wairushe kwamba baada ya saa72.

Meona isiwe shida naifata
 
Hameni huko ni miyeyusho
Yani hata huku Dom ni changamoto. Nilitaka kujiunga na kifurushi asubuhi ila masweke niliyokutana hayo sina hamu. Mida hii ndiyo nimepata huu ujumbe huu

Airtel apologizes for inconvinences caused due to technical issues in buying bundles. Our services are now back online. You can now buy your favorite pack.
 
Wapumbavu sana hawa airtel leo wamenifanya nishinde njaa kwenye bus nimefika singida natoa hela ninunue msosi wajinga hawajarudisha msg kwa wakala wala kwangu . Imenibidi nifunge bila kupenda.
 
Mimi nimepiga kazi, najua jana nitumiwe pesa yangu, naamka saa 11 naambiwa kwamba pesa inatumwa bila mafanikio. Najaribu kujiunga holaa!! Najaribu kutoa pesa holaa!! Mpaka sasa sijapata malipo yangu na nilitegemea nijipongeze leo, sasa inanibidi nitumie pesa yangu nikisubiri mtandao ukae sawa.
 
Back
Top Bottom