Airtel Money leo mmeyumba

Airtel Money leo mmeyumba

Mimi wamenitia kwenye matatizo mazito Sana,wamenisababishia nihamishwe tarrif na tanesco bila kupenda,Jana nilinunua umeme wa 4000 ili kukamilisha unit zangu za rea,wakaniambia muamala umeshindikana nikanunua mara ya pili na ya tatu kutahamaki nikalala giza na kuletewa umeme wa 12000 alfajir,ambao automatical nimeingizwa kwenye kundi la watumiaji wakubwa wa umeme
 
Airtel na Arsenal tofauti ni jezi tu ila watumiaji wao wanafurahia siku 1 wananuna wiki nzima😅😅😅
Unatukashfu sana sisi wana gunners, ajabu sasa natumia Airtel na ni mwana asenali. Leo nimeshindwa kufanya Jambo langu coz hela ilikuwepo Airtel money, nimetoa kitu hakileti msg wala nini. Jpili iliyopita nilikuwa safari, yule dada asingekuwa mstaarabu hela yangu angenidhulumu. Nawapa mda wa kuirekebisha....futseke zao!!
 
Airtel money wamenitia hasara hawa washenzi nilikuwa najiunga kifurushi kinagoma, nikajiunga mara tatu huku wasema service unavailable baadae wameniunga mara zote tatu. Shame to you Airtel
yani mm nmemtumia mtu hela nahisi itakua imeenda mara3 na mpaka mda huu sijapata mrejesho na salio halipo ukipiga simu inakata
Mimi wamenitia kwenye matatizo mazito Sana,wamenisababishia nihamishwe tarrif na tanesco bila kupenda,Jana nilinunua umeme wa 4000 ili kukamilisha unit zangu za rea,wakaniambia muamala umeshindikana nikanunua mara ya pili na ya tatu kutahamaki nikalala giza na kuletewa umeme wa 12000 alfajir,ambao automatical nimeingizwa kwenye kundi la watumiaji wakubwa wa umeme
hawa washtakiwe ni washenzi mno
 
Mimi wamenitia kwenye matatizo mazito Sana,wamenisababishia nihamishwe tarrif na tanesco bila kupenda,Jana nilinunua umeme wa 4000 ili kukamilisha unit zangu za rea,wakaniambia muamala umeshindikana nikanunua mara ya pili na ya tatu kutahamaki nikalala giza na kuletewa umeme wa 12000 alfajir,ambao automatical nimeingizwa kwenye kundi la watumiaji wakubwa wa umeme
 
Unatukashfu sana sisi wana gunners, ajabu sasa natumia Airtel na ni mwana asenali. Leo nimeshindwa kufanya Jambo langu coz hela ilikuwepo Airtel money, nimetoa kitu hakileti msg wala nini. Jpili iliyopita nilikuwa safari, yule dada asingekuwa mstaarabu hela yangu angenidhulumu. Nawapa mda wa kuirekebisha....futseke zao!!
jamaa hadi leo upo Arsenal.

Mond kahama KABILA we unakwama wapi?
 
nyie jamaa mna moyo saaana aisee.
Arteta anawaweza
Halafu ni tetesi tu, wakati wenzake wako busy kusajili arsenal wao ni tetesi tu. Yani litimu limekuwa kama ruvu shooting. Arsenal siwezi kuhama, Ila Airtel nawavutia kasi!
 
Back
Top Bottom