Airtel Money leo mmeyumba

Wapumbavu sana hawa airtel leo wamenifanya nishinde njaa kwenye bus nimefika singida natoa hela ninunue msosi wajinga hawajarudisha msg kwa wakala wala kwangu . Imenibidi nifunge bila kupenda.
Wakat ushafika dar, ghafla unaona meseji kuwa ile hela imefanikiwa kutoka kwa huyo wakala wa huko singida
 
Back
Top Bottom