Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,283
- 55,899
Watatoa statement ya malipo, kama wataweza kufanya hivyo,kuna uwezekano wakatatua tatizoAirtel shop sikuhizi wanarudisha miamala ya watu?
Watatoa statement ya malipo, kama wataweza kufanya hivyo,kuna uwezekano wakatatua tatizoAirtel shop sikuhizi wanarudisha miamala ya watu?
Manina sina hata jero ya nauli nalazimika kutoka na kagari na taa ishawaka.Haya mamitandao ya money transfer yamekuwa na shida sana voda week 2 nyuma ilileta miyeyusho balaa
Hahaha utawasha hazard tu 😅😅😅Manina sina hata jero ya nauli nalazimika kutoka na kagari na taa ishawaka.
Wakizingua ntalibeba kichwani
Airtel money wamenitia hasara hawa washenzi nilikuwa najiunga kifurushi kinagoma, nikajiunga mara tatu huku wasema service unavailable baadae wameniunga mara zote tatu. Shame to you Airtel





haya tusumbue mitandaoni maana una ma GB ya kutoshaMaybeWatatoa statement ya malipo, kama wataweza kufanya hivyo,kuna uwezekano wakatatua tatizo
Kinoma aiseeAirtel ni matackle kbs![]()
Heee! Nikajua ni peke yangu nimepigwa hili tukio,poleAirtel money wamenitia hasara hawa washenzi nilikuwa najiunga kifurushi kinagoma, nikajiunga mara tatu huku wasema service unavailable baadae wameniunga mara zote tatu. Shame to you Airtel
Sa si watoe taarifa???Ikabidi nianze kuwapigia wadau wenzangu wanao tumia Airtel kujua hali ikoje huko kwao.
Mimo kwangu kujiunga ni shida,kuangalia salio kadhalika.
Nimerudi tigo kwa muda,mpaka pale hali itakapo kuwa shwari.
Tatizo wanatuchukulia poa sana sisi wateja wao.Sa si watoe taarifa???
Kweli mkuu ngoja nipambaneKuna msemo ' pesa yako ni ile iliyopo mikononi mwako,ile iliyopo bank,mitandao ya simu,n.k inaweza muda wowote isiwe ya kwako.....ndio maana wenzetu wa Asia hupenda kutunza hela zao kwenye viroba'
Acha kabisa mkuu hapa naishi kwa mashaka kinoumaWashenzi sana hao jamaa..leo kila nikifanya miamala inagoma..waeniharibia dili zangu..wameshindwa kazi hawa.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
haya tusumbue mitandaoni maana una ma GB ya kutosha


Yani ni kero Kuna siku nililipia malipo ya serikali nilijuta aisee, ikabidi niwapigie huduma kwa mteja kama lisaando nikawapata nikaambia wanirudishie muamala, ila muamala ulirudi baada ya siku mbiliShenzi kabisa hawa jamaa ni wapuuzi haswaaTatizo wanatuchukulia poa sana sisi wateja wao.
Nimepigwa Leo na hawa wapuuziHeee! Nikajua ni peke yangu nimepigwa hili tukio,pole
Yaani leo nlijipanga nishinde zangu home inabidi niende mjini kuwatafuta.Yani ni kero Kuna siku nililipia malipo ya serikali nilijuta aisee, ikabidi niwapigie huduma kwa mteja kama lisaando nikawapata nikaambia wanirudishie muamala, ila muamala ulirudi baada ya siku mbili