mwakijembe
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 1,662
- 2,324
utaratibu ni kupewa taarifa kila ndege ikiharibika?????
upinzani unapogeuzwa kuwa udaku2
Kwa akili hizi CCM itatawala milele..
tutumie nguvu kujadili katiba mpya na tume huru ya uchaguzi... sio umbeya
Ccm haina uwezo wa kutawala milele kama chama cha siasa, bali ccm nguvu za dola ndio itaweza kutawala, tena sio kwa ridhaa ya wananchi, bali kupitia kubaka box la kura.
