Air Tanzania’s Airbus A220 suffers engine failure

Air Tanzania’s Airbus A220 suffers engine failure

Hizi ndege, mh!!!!!

Wahariri kazi kuandika habari za kusifia tu hasa kumsifu bwana yule, ila kuandika habari kama hizi, hawaandiki!!

Inawezekana kweli mnatishwa,lakini swali ni je,na kusifia mnalazimishwa?
Mkuu umeisoma taarifa ukaielewa? Engine failures za Airbus kote ulimwenguni zimesababishwa na JPM? Ukiwa nyumbu bwana!
 
Hiyo ni kweli. Lakini ukisoma hii article ni wazi kwamba hakuna birdstrike iliyotokea. Ni kwamba engine ili fail tu angani. Tena wanasema ndege aina hiyo imekua ikipata hayo matatizo hata kwenye makampuni mengine duniani wanayotumia ndege aina hiyo. Isije ikawa yake ya B737MAX tena
Engine yaweza haribika kutokana na debris au bird strikes of which its common in aircraft (as a Future Cessna 208 Pilot speaking)
 
Boya kweli wewe...inaelekea hujui namna ndege zinavyofanya kazi. Ndege engine moja ikizima...inaweza ikaendelea kuruka na engine nyingine iliyobaki lakini ni lazma rubani atue kwenyw uwanja wa karibu. Ndio maana hiyo atcl baada ya engine moja kuzima aliamua kurudi mwanza...ilirudi ikiwa inaendeshwa na engine moja tu. Ndio maana ya emergency landing
Ingezima ingeweza kurudi Mwanza?
 
Kuna jambo lisilokuwa na siasa nchi hii?
Ndio maana tupo kama tulivyo. Mkao wa haraka. Haiwezekani kila kitu tukiangalie law jicho moja tu, la kisiasa.
Ile ndege ya Ethiopian Airline iliyoanguka ilisababisha ndege zote za aina ile kusimamishwa mpaka uchunguzi ukamilike. Lile Toledo, Boeing iliuza ndege nyingi kuliko kampuni nyingine. Matatizo kama haya ya kiufundi, yanaweza kutokea, tena popote pale. Tunapogeuza kuwa siasa, inaonyesha jinsi tulivyo na uwezo mdogo wa kuangalia mambo.
Nashukuru ndege haikuleta madhara kwa abiria
 
Ndio maana tupo kama tulivyo. Mkao wa haraka. Haiwezekani kila kitu tukiangalie law jicho moja tu, la kisiasa.
Ile ndege ya Ethiopian Airline iliyoanguka ilisababisha ndege zote za aina ile kusimamishwa mpaka uchunguzi ukamilike. Lile Toledo, Boeing iliuza ndege nyingi kuliko kampuni nyingine. Matatizo kama haya ya kiufundi, yanaweza kutokea, tena popote pale. Tunapogeuza kuwa siasa, inaonyesha jinsi tulivyo na uwezo mdogo wa kuangalia mambo.
Nashukuru ndege haikuleta madhara kwa abiria

Kwa taarifa yako hata huyo aliyeinunua aliongozwa na utashi wa kisiasa, na ndio maana anachukulia kama kete yake muhimu ya kujiongezea muda wa kukaa madarakani.
 
Kwa taarifa yako hata huyo aliyeinunua aliongozwa na utashi wa kisiasa, na ndio maana anachukulia kama kete yake muhimu ya kujiongezea muda wa kukaa madarakani.

Kuwa muafrika raha sana. Maana tunapenda kujifariji hata kama tunajidanganya nafsi
 
Du yani ni mikasa tu...
Ila watubu kwa zile figisu walizowafanyia FastJet...!
 
Sijaelewa..!! Uo usiri unaoulalamikia unataka kila ndege ya ATCL ikipatwa na hitirafu unataka Waziri Kamwele aite press atangaze au CEO wa ATCL atabgaze.?? Shirika gani linafanya hivo hapa duniani?
Hujielewi wewe. Eti shirika gani linafanya hivyo hapa duniani!!! Mkuu mashirika ya nchi za nje huko ndege zao zikipata itilafu huwa wanatangaza tena bila usiri wowote.
 
Siku nyingine lianukie karibu na hapo serengeti ili tuongeze vivutio kwa watalii .. ni wazo tu lakizalendo.
Uchumi kwanza watu badae, leo nimewaza kilumumba zaidi.
 
Mi nilijua unamawazo chanya kumbe na ww n mbumbu... Yaan umeanza vizur lakin ushaur uliotoa sijaamin kama n ww... Au we uliandka mwanzo sehem ya ushaur ukampa mtu....
Tukiuza ndege hela tukawasaidia wajane umaskini utaisha!!?
Tunawezaje kuzalisha kipato endelevu cha nchi?
Tutawezaje kutatua tatizo la ajira tz?
Tutawezaje kuendelea kuingiza kipato?
Kupanua sector ya utaliii?
Kuharakisha maendeleo??

Mi nafikir unajua kuriport lakin huwez kutoa wayfoward ndo udhaifu wako mkuu...
Si mtu wa kutegemea kwenye kutoa suluhu
Wakuu,

Ile Ndege yetu aina ya Airbus A220-300 iliyokuwa imeshikiliwa Afrika kusini katika uwanja wa Oliver Tambo jijini Johannesburg, jana imeendelea kupatwa na Majanga baada ya kudaiwa kwamba injini yake kupata matatizo wakati ikiwa angani ikitokea Mwanza kwenda Dar.

Imedaiwa rubani wa ndege hiyo aliamua kuirudisha Mwanza na kutua salama japo Injini itahitajika kubadilishwa ili iweze kupaa. Alikuwa kapaa angani urefu wa futi 7,500.

Matatizo kwenye ndege ni jambo la kawaida, tatizo ni kwanini tunafichwa habari? Kwa usiri huu napata wasiwasi kama ATCL inafanya kazi kwa viwango vya kimataifa. Wasafiri walitakiwa waambiwe tatizo na kuombwa radhi.

Nashauri tuiuze na hela tuwanununulie Bima ya Afya wajane na wote wasiojiweza Tanzania.

Angalia mchoro hapa chini ya U turn ya nguvu akiwa Singida njiani kwenda Dar akaamua kurudi Mwanza. Rubani apewe tuzo au cheo Serikalini. Kaokoa roho za watu..

image

Air Tanzania’s flight TC 123 from Mwanza to Dar es Salaam yesterday suffered an engine failure not long after taking off from the lakeside city.

The aircraft had reached an altitude of just over 7.500 feet when the engine failed and the pilots decided to immediately return to their airport of origin as the nearest point of landing.

The aircraft landed safely but will have to remain on the ground for an engine change.

Meanwhile does this seem to be another case of an Airbus A220 engine failing, which prompted the FAA earlier this month to issue an Air Worthiness Directive about several similar engine failures of the Pratt and Whitney Geared Turbofan engine, which affected Air Baltic but also other airlines operating this aircraft type.

The FAA notice, which was published on September 10th, i.e just over two weeks ago, proposes the inspections of the PW1500Gs and PW1900G. It also requires that the gap between the oil supply of the engine and the fuel oil cooler must to be inspected on a more regular basis. Operators of this engine type are already exchaning the fuel oil cooler and the supply tube for new components to comply with Pratt & Whitney’s own service guidance.

The issue came to light earlier this year when P&W addressed it with its service bulletins.

Meanwhile has Swiss recently also suffered two engine failures in flight, raising additional questions about the PW engines used, more so as Airbus had similar experiences when the A320NEO family was launched, using this engine type.

These engine failures have in the past also affected Korean Air and other operators, raising serious questions about P&W’s workmanship, component reliability and generally the safety of this engine type.

Air Tanzania has two Airbus A220-300 in service and only recently ordered an additional two such aircraft for delivery in 2021.

 
Kuharibika kwa ndege ni kawaida. Niwasifu marubani kuamua vyema kuirudisha ndege uwanjani vinginevyo
Aisee Unajua imefanya kazi miaka takrinani 10 so jambo ilo ni kawaida
 
Ndege brand new namna hii engine kuzima angani si jambo la kawaida kabisa.
Umesoma habari yote? Hii ndege ni toleo jipya. Wamesema hili tatizo limekuwa likitokea kwa ndege nyingine za aina hiyo. Uzuri ni kwamba tatizo linajulikana na kama ni kubadilisha engine basi Airbus ndiyo wabaeba gharama.
 
utaratibu ni kupewa taarifa kila ndege ikiharibika?????
upinzani unapogeuzwa kuwa udaku2

Kwa akili hizi CCM itatawala milele..

tutumie nguvu kujadili katiba mpya na tume huru ya uchaguzi... sio umbeya
Wakuu,

Ile Ndege yetu aina ya Airbus A220-300 iliyokuwa imeshikiliwa Afrika kusini katika uwanja wa Oliver Tambo jijini Johannesburg, jana imeendelea kupatwa na Majanga baada ya kudaiwa kwamba injini yake kupata matatizo wakati ikiwa angani ikitokea Mwanza kwenda Dar.

Imedaiwa rubani wa ndege hiyo aliamua kuirudisha Mwanza na kutua salama japo Injini itahitajika kubadilishwa ili iweze kupaa. Alikuwa kapaa angani urefu wa futi 7,500.

Matatizo kwenye ndege ni jambo la kawaida, tatizo ni kwanini tunafichwa habari? Kwa usiri huu napata wasiwasi kama ATCL inafanya kazi kwa viwango vya kimataifa. Wasafiri walitakiwa waambiwe tatizo na kuombwa radhi.

Nashauri tuiuze na hela tuwanununulie Bima ya Afya wajane na wote wasiojiweza Tanzania.

Angalia mchoro hapa chini ya U turn ya nguvu akiwa Singida njiani kwenda Dar akaamua kurudi Mwanza. Rubani apewe tuzo au cheo Serikalini. Kaokoa roho za watu..

image

Air Tanzania’s flight TC 123 from Mwanza to Dar es Salaam yesterday suffered an engine failure not long after taking off from the lakeside city.

The aircraft had reached an altitude of just over 7.500 feet when the engine failed and the pilots decided to immediately return to their airport of origin as the nearest point of landing.

The aircraft landed safely but will have to remain on the ground for an engine change.

Meanwhile does this seem to be another case of an Airbus A220 engine failing, which prompted the FAA earlier this month to issue an Air Worthiness Directive about several similar engine failures of the Pratt and Whitney Geared Turbofan engine, which affected Air Baltic but also other airlines operating this aircraft type.

The FAA notice, which was published on September 10th, i.e just over two weeks ago, proposes the inspections of the PW1500Gs and PW1900G. It also requires that the gap between the oil supply of the engine and the fuel oil cooler must to be inspected on a more regular basis. Operators of this engine type are already exchaning the fuel oil cooler and the supply tube for new components to comply with Pratt & Whitney’s own service guidance.

The issue came to light earlier this year when P&W addressed it with its service bulletins.

Meanwhile has Swiss recently also suffered two engine failures in flight, raising additional questions about the PW engines used, more so as Airbus had similar experiences when the A320NEO family was launched, using this engine type.

These engine failures have in the past also affected Korean Air and other operators, raising serious questions about P&W’s workmanship, component reliability and generally the safety of this engine type.

Air Tanzania has two Airbus A220-300 in service and only recently ordered an additional two such aircraft for delivery in 2021.

 
Back
Top Bottom