Air Tanzania’s Airbus A220 suffers engine failure

Ukisoma hii habari. Inaonekana hizi egines za P&W Zina matatizo na sio ATC pekee. Sijui kwa nini watu Wana laumu as if ni Ndege za ATC tu ndo zenye engine failer
Mkuu Chipukizi, hakuna anaelaumu ATCL kwa engine failure kwa sababu bado hatujua the cause ni manufacturer defects or user wear and tear. Ndege hizi ni za long haul minimum optimum performance ni 3 hours flights to six hours, Tanzania tunapaa na kushuka just 1 hour!, tunachosha engines.

Kama tatizo ni manufacturer defects, manufacturers ndio anapaswa kubeba gharama za matengenezo as performance security guarantee, lakini tumezinunua kwa cash, hivyo chochote kikitokea ni inakula kwetu, swali la kujiuliza ni kwa nini tulinunua kwa cash kitu ambacho hatuna uhakika nacho?, tulikuwa na haraka gani to take such a high risk?.
P
 
Ukisoma hii habari. Inaonekana hizi egines za P&W Zina matatizo na sio ATC pekee. Sijui kwa nini watu Wana laumu as if ni Ndege za ATC tu ndo zenye engine failer
Binafsi naona hii ni fake news kutaka kuhari bujina la air Tanzania. Ni vema kupata uhakika toka kwa abiria au wafanyakazi. Je walio uwanja wa Mwanza wana iona imepaki ndege hii?
 
Hitaji la uwanja mkubwa wa ndege Dodoma na Singida linaonekana wazi... tujitathmini
 
Kuharibika kwa ndege ni kawaida. Niwasifu marubani kuamua vyema kuirudisha ndege uwanjani vinginevyo
Mfano? Mara zote ndege ikipata shida huwa inatangazwa siyo kama basi likizima konda anakwenda chini kucheck.
 
uliingizwa chaka unajua. hata ndege hiyo imekujaje kujaje au imepatikanaje...wakati toka uzaliwa hujawahi kulipa hata senti ya kodi serikalini

Hakuna mtanzania ambaye hajawahi kulipa kodi nchi hii, labda kama hujui kodi ni nini? Ni bora uzingumzie hiyo ndege itatengenezwa lini lakini sio kodi maana unaonekana ni juha tu.
 
Shemeji .... your inquisites sound professional as of now
 
Kuharibika kwa ndege ni kawaida. Niwasifu marubani kuamua vyema kuirudisha ndege uwanjani vinginevyo

Hivi una habari kuharibika huko kunamcost mlipa kodi wa Tanzania sh ngapi?

Hizo pesa zinachomolewa kutoka hazina kuhudumia hiyo midege zingeweza kumsaidia mwananchi kwenye ishu nyingi sana za maji, afya, elimu vitu ambavyo bajeti yake bado iko chini kulinganisha na population tuliyonayo
 

Hizo ndege ni zetu au unataka na ww kuonekana ni zako? Mwenye ndege anafahamika, ni vyema ukaenda kumpa huo ushauri maana hataki huo umoja kwani yuko kiitikadi zaidi.
 
Pascal Mayalla, Ukinunua kitu cash haina maana hakina guarantee! Guarantee inakuwapo ya kukitengeneza bure ndani ya guarantee period. Kununua cash unaokoa pesa! Kununua kwa mkopo unalipa zaidi na riba juu wakati huo huo ni chako na watakitengeneza kikiharibika huwezi kuzira heti ukirudishe wakurudishia hela. Mayala acha utoto! Ujawahi kununua kitu cash nini?
 
Nchi inajengwa na tunasonga mbele.wenye kugeuka mawe na wageuke mawe. Tangu muanze kumbeza JPM mmempunguzia nini? Tena ndo kwanza anapata nguvu zaidi kuchapa kazi kuijenga nchi!
 
Kwa hyo mkuu unataka kutuaminisha ukinunua kitu kwa cash u anaondolewa Warrant. Acha kupotosha mkuu
 
Kama taifa na kama serikali lazima hiwe na vyombo vyake vya usafiri viwe vinaingiza faida au la! Nchi kubwa kama Tanzania haiwezi kukosa ndege kwa wananchi wake. Ndege kama mashine au gari la familia lazima liharibike na kufanyiwa matengenezo. Familia/baba/mama zenye magari ya kutembelea hayo magari yanawaingizia nini zaidi ya kutumia hela za familia kuyatengeneza na kuyahudumia? Cha ajabu nini kwa ndege!
 
Sijaelewa..!! Uo usiri unaoulalamikia unataka kila ndege ya ATCL ikipatwa na hitirafu unataka Waziri Kamwele aite press atangaze au CEO wa ATCL atabgaze.?? Shirika gani linafanya hivo hapa duniani?
Kuwa mfatiliaji ndugu usiropoke wenzetu wapo Makini na weledi press lazima hiyo NI class business sio biashara ya matunda
Kuna kipindi kinaitwa aircraft investigation jaribu kuangalia utajua na utajifunza
 
Wiki hii naona ni ya hasira kwa BAVICHA baada ya kusikia Mwenyekiti wao anaomba huruma kesi ya Akwilina maana imekaa vibaya kwake ikithibitika sheria ichukue Mkono wake
 
Wiki naona ni ya hasira kwa BAVICHA baada ya kusikia Mwenyekiti wao anaomba huruma kesi Akwilina maana imekaa vibaya kwake ikithibitika sheria ichukue Mkono wake
Ikishachukua mkondo wake ndiyo uchumi wetu utapanda kwa 6%?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…