Air Tanzania yadai uhaba wa Injini umesababisha Ndege kukaa muda mrefu Karakana Malaysia

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,452
8,287
1000019586.jpg

Screenshot_2024-05-11-19-13-33-817_com.instagram.android-edit.jpg
 
Daah nadhani Air Tanzania wajifunze kwetu tukitaka kununua gari tu tunauliza uliza mpaka Bibi ataulizwa je nikinunua Mazda BT 50 ntapata parts zake pindi ikiharibika ila ninyi Ndege mnanunua na hamjui mtapata Engine wapi pindi ikisumbua na navyojua ndege inavyokaa bila kutumika gharama zake ni kubwa sana na pia uchakavu unaendelea, ila naomba mfanikishe maana mwanzo ni mgumu.
 
Daah nadhani Air Tanzania wajifunze kwetu tukitaka kununua gari tu tunauliza uliza mpaka Bibi ataulizwa je nikinunua Mazda BT 50 ntapata parts zake pindi ikiharibika ila ninyi Ndege mnanunua na hamjui mtapata Engine wapi pindi ikisumbua na navyojua ndege inavyokaa bila kutumika gharama zake ni kubwa sana na pia uchakavu unaendelea... ila naomba mfanikishe maana mwanzo ni mgumu..
Umesema sahihi Mkuu

Nadhani Serikali kupitia wataalamu wao, watashauri mamlaka vyema kwenye ununuzi wa ndege nyingine wakati Ujao

All in all, Serikali ilifanyika uamuzi sahihi kwenye ununuzi wa ndege japo Kuna haja reforms zikafanyika kwenye upande wa Uendeshaji
 
Hii kali ya mwaka. Hii ndege si ilikuja ikiwa mpya na injini zake? kama C-check ilifanyika hapa nchini Matengenezo makubwa huko Malaysia yanahusu nini? Kama ndege iko Malaysia kwa D-check na sio USA au KIA ina maana tuliuziwa ndege mtumba-Ilipakwa rangi ikakabidhiwa kwa mamlaka zetu kama Kanyabwoya za Kariakoo?:mad:
 
Umesema sahihi Mkuu

Nadhani Serikali kupitia wataalamu wao, watashauri mamlaka vyema kwenye ununuzi wa ndege nyingine wakati Ujao

All in all, Serikali ilifanyika uamuzi sahihi kwenye ununuzi wa ndege japo Kuna haja reforms zikafanyika kwenye upande wa Uendeshaji
Shirika linaweza kwenda vizuri sema wahusika wengi sio Wazalendo na pia shirika lina Siasa nyingi sana...sidhani kwenye manunuzi wanahusishwa wataalamu hata kutoka Nje maana sisi wenywe sio wajuvi wa hizi mambo watakachoangalia ni % zao tu hata kama shirika bado ni changa...kama Bus tu zinatushinda hizo ndege naona wanajitahidi mno mno..
 
Daah nadhani Air Tanzania wajifunze kwetu tukitaka kununua gari tu tunauliza uliza mpaka Bibi ataulizwa je nikinunua Mazda BT 50 ntapata parts zake pindi ikiharibika ila ninyi Ndege mnanunua na hamjui mtapata Engine wapi pindi ikisumbua na navyojua ndege inavyokaa bila kutumika gharama zake ni kubwa sana na pia uchakavu unaendelea... ila naomba mfanikishe maana mwanzo ni mgumu..
Kwani marubani si wako Malaysia na posho wanapiga mkuu sijui mnaita per diem sijui nini vile jumlisha anayeidhinisha jibu ni urefu wa kamba kutoka Tanganyika mpaka Malaysia.
 
Umesema sahihi Mkuu

Nadhani Serikali kupitia wataalamu wao, watashauri mamlaka vyema kwenye ununuzi wa ndege nyingine wakati Ujao

All in all, Serikali ilifanyika uamuzi sahihi kwenye ununuzi wa ndege japo Kuna haja reforms zikafanyika kwenye upande wa Uendeshaji
Hamna usahihi wa kununua mindege kibao huku tunaendelea kupata hasara kama taifa, Ila bado serikali inaagiza ndege.
 
Hamna usahihi wa kununua mindege kibao huku tunaendelea kupata hasara kama taifa, Ila bado serikali inaagiza ndege.
Hasara tunazopata ni kutokana na Uendeshaji mbovu unaotokana na menejimenti mbaya...

Siku tukitafuta CEO ambaye ataajiriwa Kwa merits zake badala ya Uteuzi wa Rais ndiyo Siku ambapo tutaanza kupata Faida kwenye hizo ndege
 
Shirika linaweza kwenda vizuri sema wahusika wengi sio Wazalendo na pia shirika lina Siasa nyingi sana...sidhani kwenye manunuzi wanahusishwa wataalamu hata kutoka Nje maana sisi wenywe sio wajuvi wa hizi mambo watakachoangalia ni % zao tu hata kama shirika bado ni changa...kama Bus tu zinatushinda hizo ndege naona wanajitahidi mno mno..
Ili hayo mashirika yaanze kuendeshwa Kwa faida hatuna budi kuajiri ma-CEOs Kwa kuangalia merits na kuwapatia malengo ya kuyafikia (KPIs) na mwisho wa Mwaka tunawaita Kwa kuwahoji

Otherwise tutaendelea kupata hasara hadi Yesu arudi 🙌
 
Daah nadhani Air Tanzania wajifunze kwetu tukitaka kununua gari tu tunauliza uliza mpaka Bibi ataulizwa je nikinunua Mazda BT 50 ntapata parts zake pindi ikiharibika ila ninyi Ndege mnanunua na hamjui mtapata Engine wapi pindi ikisumbua na navyojua ndege inavyokaa bila kutumika gharama zake ni kubwa sana na pia uchakavu unaendelea... ila naomba mfanikishe maana mwanzo ni mgumu..
Mkuu, ndege siyo kama magari. Sikatai kuwa kuna uzembe wa planning au business plan kwa ujumla kwenye shirika letu, ila hii comment yako hailengi kwenye kiini cha tatizo.
 
Back
Top Bottom