Air Tanzania yadai uhaba wa Injini umesababisha Ndege kukaa muda mrefu Karakana Malaysia

Hasara tunazopata ni kutokana na Uendeshaji mbovu unaotokana na menejimenti mbaya...

Siku tukitafuta CEO ambaye ataajiriwa Kwa merits zake badala ya Uteuzi wa Rais ndiyo Siku ambapo tutaanza kupata Faida kwenye hizo ndege
Biashara ya ndege kwa ujumla ni ngumu ila inapokutana tena na mtanzania basi mambo yanakuwa mabaya zaidi. Nakubali kuwa tuna tatizo la management.
 
Biashara ya ndege kwa ujumla ni ngumu ila inapokutana tena na mtanzania basi mambo yanakuwa mabaya zaidi. Nakubali kuwa tuna tatizo la management.
Me natamani Siku Moja tupate CEO Mhindi tumpe kazi hata Kwa miaka miwili hivi tuone Uendeshaji wake

Kifupi sisi Wabongo tunaangalia zaidi kula badala ya kutanguliza uzalendo
 
Me natamani Siku Moja tupate CEO Mhindi tumpe kazi hata Kwa miaka miwili hivi tuone Uendeshaji wake

Kifupi sisi Wabongo tunaangalia zaidi kula badala ya kutanguliza uzalendo
Hili litawezekana tu siku tutakayokuwa na viongozi makini. hawa kina Kizimkazi wanaweza kwenda kuchukuwa mwarabu wakamwambia jifanye wewe ni mhindi.
 
Hii kali ya mwaka. Hii ndege si ilikuja ikiwa mpya na injini zake? kama C-check ilifanyika hapa nchini Matengenezo makubwa huko Malaysia yanahusu nini? Kama ndege iko Malaysia kwa D-check na sio USA au KIA ina maana tuliuziwa ndege mtumba-Ilipakwa rangi ikakabidhiwa kwa mamlaka zetu kama Kanyabwoya za Kariakoo?:mad:
Hakuna ndege ya mtumba, C & D check inaweza kufanyika kokote benye maintenance and overhaul facilities ( MRO), East africa hakuna such facility
 
Ili hayo mashirika yaanze kuendeshwa Kwa faida hatuna budi kuajiri ma-CEOs Kwa kuangalia merits na kuwapatia malengo ya kuyafikia (KPIs) na mwisho wa Mwaka tunawaita Kwa kuwahoji

Otherwise tutaendelea kupata hasara hadi Yesu arudi 🙌
Inaweza kuwa hivyo iwapo Air Tanzania itathaminiwa na kuorodhesha hisa zake kwenye soko letu la hisa, vinginevyo Serikali kuendelea kumiliki kampuni ya ndege kwa asilimia mia ndio chanzo cha ufisadi wa kitaasisi.
 
Kwani marubani si wako Malaysia na posho wanapiga mkuu sijui mnaita per diem sijui nini vile jumlisha anayeidhinisha jibu ni urefu wa kamba kutoka Tanganyika mpaka Malaysia.
Kimsingi tulihoji kwanini tununue ndege zenye engene makampuni mengine wanalalamikia ni mbovu? Tulishauri kampuni lianze na ndege ndogondogo aina ya bombadiar kabla ya kuhangaika na dreamliner ambazo KQ zimewatia umasikini
 
Inaweza kuwa hivyo iwapo Air Tanzania itathaminiwa na kuorodhesha hisa zake kwenye soko letu la hisa, vinginevyo Serikali kuendelea kumiliki kampuni ya ndege kwa asilimia mia ndio chanzo cha ufisadi wa kitaasisi.
Mkuu, umenigusa maini hili shirika liorodheshwe dse liendeshwe kibiashara kodi zetu zitumike kwenye mambo yenye tija
 
Me natamani Siku Moja tupate CEO Mhindi tumpe kazi hata Kwa miaka miwili hivi tuone Uendeshaji wake

Kifupi sisi Wabongo tunaangalia zaidi kula badala ya kutanguliza uzalendo
Wapo ngozi nyeusi wazuri tu, tusiangalie uchawa, ona ceo wa vodacom ni mganda na anafanyakazi nzuri
 
Inaweza kuwa hivyo iwapo Air Tanzania itathaminiwa na kuorodhesha hisa zake kwenye soko letu la hisa, vinginevyo Serikali kuendelea kumiliki kampuni ya ndege kwa asilimia mia ndio chanzo cha ufisadi wa kitaasisi.
Sahihi Mkuu

Vyema liuze hisa zake japo Kwa 49 na hizo 51 zibaki za Serikali
 
Wapo ngozi nyeusi wazuri tu, tusiangalie uchawa, ona ceo wa vodacom ni mganda na anafanyakazi nzuri
Wapo ngozi nyeusi wazuri ndiyo lakini Wahindi wako vizuri zaidi kwenye biashara.

Ukiwapa Mkataba wa miaka mitatu mitatu hivi, usishangae kuona wanavuka lengo

To be honest, Wahindi kwenye Sekta ya biashara wako miles away 🙌
 
Hakuna ndege ya mtumba, C & D check inaweza kufanyika kokote benye maintenance and overhaul facilities ( MRO), East africa hakuna such facilities
Taarifa inasema ndege hizo mbili za Boeing 787-8 ziliishafanyiwa C-check nchini, Sasa hii ya Malaysia ni ya kuibadirisha injini ambazo bado ni mpya? Na kumbuka ndege iliyoko sasa Malaysia haikuruka sana tangu ilipopokelewa.. 🤔
 
Hili litawezekana tu siku tutakayokuwa na viongozi makini. hawa kina Kizimkazi wanaweza kwenda kuchukuwa mwarabu wakamwambia jifanye wewe ni mhindi.
Me nadhani tuangalie zaidi merits kuliko hicho kingine

Iwapo mtu tunampa malengo na anayatimiza hata kama atakuwa Msafwa ama Msukuma wa Misungwi tumpe hiyo kazi
 
Wapo ngozi nyeusi wazuri ndiyo lakini Wahindi wako vizuri zaidi kwenye biashara.

Ukiwapa Mkataba wa miaka mitatu mitatu hivi, usishangae kuona wanavuka lengo

To be honest, Wahindi kwenye Sekta ya biashara wako miles away 🙌
Hili la kuleta wahindi sikubaliani nalo, yuliwaleta trc walituliza hujawahi ona, walichukua behewa na kuzipiga chenjikota kwako, nimefanyakazi na wahindo no kabisa, wakifanyakazi kwa makampuni yao yes they do best wanaogopa kurogwa, wakifanyakazi arabuni yes wanaogopa kuchinjwa, hii nchi ya wala rushwa watauza hadi majengi ya atcl, wapo watu wazuri tu yule mama aliyekuwa ceo wa Rwanda air ni mzuri sana tena mzaliwa wa ngara, pili ceo sio lazima awe rubani, tunaweza mpa huyu mama ceo wa nmb atatufanyia kazi nzuri.
 
Taarifa inasema ndege hizo mbili za Boeing 787-8 ziliishafanyiwa C-check nchini, Sasa hii ya Malaysia ni ya kuibadirisha injini ambazo bado ni mpya? Na kumbuka ndege iliyoko sasa Malaysia haikuruka sana tangu ilipopokelewa.. 🤔
kuna service ya engine ambazo zina require engine za ndege husika kutolewa, kufanyiwa service pembeni.

Now why ndege haijaruka, ni kwamba engine ambazo zingewekwa ili ndege isisimame (wataki service inaendelea), while engine zake original zikifanyiwa service. Zilizokosena ni engine za ziada ambazo zingetumika kwa muda wkt engine og zinafanyiwa matemgenezo.

Last time boeing ime receive 787-8 ya kwanza in july 2018, na model inayozungumziwa hapa ni ile ya kwanza.
So ime undergo service ngapi since then? How many service ziko required kwa 787-8?

Nikirudi kwenye mada yako C-check ya mwisho ilifanyika lini?
 
Hili la kuleta wahindi sikubaliani nalo, yuliwaleta trc walituliza hujawahi ona, walichukua behewa na kuzipiga chenjikota kwako, nimefanyakazi na wahindo no kabisa, wakifanyakazi kwa makampuni yao yes they do best wanaogopa kurogwa, wakifanyakazi arabuni yes wanaogopa kuchinjwa, hii nchi ya wala rushwa watauza hadi majengi ya atcl, wapo watu wazuri tu yule mama aliyekuwa ceo wa Rwanda air ni mzuri sana tena mzaliwa wa ngara, pili ceo sio lazima awe rubani, tunaweza mpa huyu mama ceo wa nmb atatufanyia kazi nzuri.
Niliwahi kufanya kazi kwenye Kampuni mbili zinazoongozwa na Wahindi.

Walikuwa wazuri sana kwenye Sales/Marketing

Waliniambukiza na Mimi mbinu za ku-survive kwenye high tension market those days

Me nadhani Siku hizi Kuna mifumo ambayo inaweza kumfanya Mwajiri ambaye ni Serikali kuweza kuwa na check-balance

Kuibiwa hata sasa tunaibiwa na Wabongo wenzetu.

Hao Wahindi wakija tunawapora Passports zao ili wafanye kazi Kwa kujua our eyes on and hands are unfolds respectively
 
Niliwahi kufanya kazi kwenye Kampuni mbili zinazoongozwa na Wahindi.

Walikuwa wazuri sana kwenye Sales/Marketing

Waliniambukiza na Mimi mbinu za ku-survive kwenye high tension market those days

Me nadhani Siku hizi Kuna mifumo ambayo inaweza kumfanya Mwajiri ambaye ni Serikali kuweza kuwa na check-balance

Kuibiwa hata sasa tunaibiwa na Wabongo wenzetu.

Hao Wahindi wakija tunawapora Passports zao ili wafanye kazi Kwa kujua our eyes on and hands are unfolds respectively
No myfriend, Mwenye kampuni alikuwa nani?
 
Back
Top Bottom