Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,223
- 7,408
Kwa ule uwanja wa Kaitaba aka uwanja wa kifoKufuatia ongezeko la abiria toka mkoa wa Kagera kwenda nchi nyingi za Ulaya. Shirika la Ndege la Air France linatarajia kuanza safari zake kutokea kiwanja cha ndge cha BUKOBA (BKZ) - Paris Charles de Gaulle (CDG) airport.
Utakuwa umepitiliza kipiga maji si bure. Yamekumwagikia usoni?Kufuatia ongezeko la abiria toka mkoa wa Kagera kwenda nchi nyingi za Ulaya. Shirika la Ndege la Air France linatarajia kuanza safari zake kutokea kiwanja cha ndge cha BUKOBA (BKZ) - Paris Charles de Gaulle (CDG) airport.
Daahndege aina ya kwelea kwelea
Wahaya mmeshindikana.Kufuatia ongezeko la abiria toka mkoa wa Kagera kwenda nchi nyingi za Ulaya. Shirika la Ndege la Air France linatarajia kuanza safari zake kutokea kiwanja cha ndge cha BUKOBA (BKZ) - Paris Charles de Gaulle (CDG) airport.
Wahaya wamejizima dataKwa ndege gani za kimataifa zitatua kwenye kale kauwanja?
Saa zingine inabidi utumie akili.