Aina za Ndoa ....

Niko kwenye number one, lakini my next target kuoa mke wa pili, lazima niende kwenye number two :violin:

Makubwa haswaa!wewe kweli hauko no 1.ingekuwa hivyo usingewaza kuobgeza mke wa pili.no1 tamu eti hutamani offsides
 
Ayo magroup umetoa wapi>?mbona hakuna tofauti kati ya group 1 na lingine?
 
ndoa za familia
family friends kutaka zaid ya urafiki washee wajukuu!!
lol

ndoa za mtama mtaani
si mlisema siolewi sasa nimeolewa,kuna mwwny swali!!!

ndoa za kimajukumu
sina namna,familia inanitegemea na siwezi kumudu mahitaji yao ni bora tu nioe /niolewe na huyu!au nibaki kuishi naye
 

aiseeeee
kumbe
 
Mie nikipenda napenda...lkn inategemea unaweza penda mtu
Baada ya muda anabadilika na kukosa adabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…