Aina hii ya wanawake wakae mbali na mimi

Aina hii ya wanawake wakae mbali na mimi

Halafu wewe hujui. Wale flat screen ni 'wachacharikaji' wazuri kwenye 6 x 6. Na single mums walidanganywa na wanaume kama wewe halafu wakaachwa solemba. Unaposema hutaki 'short chasis' unamtukana Mungu. Hakuna binadamu yeyote aliyechagua kuzaliwa mrefu au mfupi. Na unaposema namna hiyo Mungu anaweza akakasirika akakupa watoto wa kike tu tena wote mbilikimo. Chunga sana unachokisema.
Kw mtazamo wng me huwa nahc humu Jf watu wanafanya jokes zaidi ili kuchangamsha kijiwe, maana kuna story na comments ngumu ambazo ukizitafakari nying hazina uhalisia...so niwaombe tuchukuliane wadau!
 
Habari za wakati huu wakubwa.

Natanguliza pole zangu kwa wale mliokumbwa na ridandansi mubashara toka chamwino na ambao majina yenu yatachapishwa kuanzia kesho magazetini kwa kugushi vyeti na kuliibia hili taifa mabilioni ya shilingi.

Mimi binafsi nina vigezo vyangu inapokuja swala la mahusiano na wanawake, sifa yangu kubwa kwa mwanamke ni jinsi alivyo kiumbile, akili, pesa, sijui mafanikio gani hua sio kigezo kwangu, ila wanawake wa aina hii wakae mbali na mimi;

1. Mwanamke flat screen akae mbali na mimi, mwanamke ambae amepitiwa na msumeno wa chuma kwa nyuma akae mbali na mimi, hata awe na sura nzuri namna gani ila kama beki yake haiko imara huyo akae mbali na mimi.

2. Mwanamke short chesis, mwanamke mfupi hata awe mzuri na mafanikio ya aina gani ila kama amerefuka kwenda chini akae mbali na mimi, najua ghubu za watu short chesis mnazijua, hivyo mwanamke wa namna hiyo akae mbali na mimi.

3. Single moms[naomba ieleweke kua nawaheshimu sana single mamas, naheshimu sana wanawake], ila kwa kweli single moms wakae mbali na mimi.

Naomba ieleweke kua haya ni maoni yangu binafsi na wala sina lengo la kumkashifu mtu hapa.


Hamna haja ya kuwapa pole....wababaishaji hawatakiwi kuonewa haibu wala kupewa pole hata kidogo. Hawa ndio walikuwa wanashindana kuiba mali za umma serikalini na kuwa na vimada lukuki kila kona ya nchi. Waende tu kunyea pipa/ndoo.
 
Habari za wakati huu wakubwa.

Natanguliza pole zangu kwa wale mliokumbwa na ridandansi mubashara toka chamwino na ambao majina yenu yatachapishwa kuanzia kesho magazetini kwa kugushi vyeti na kuliibia hili taifa mabilioni ya shilingi.

Mimi binafsi nina vigezo vyangu inapokuja swala la mahusiano na wanawake, sifa yangu kubwa kwa mwanamke ni jinsi alivyo kiumbile, akili, pesa, sijui mafanikio gani hua sio kigezo kwangu, ila wanawake wa aina hii wakae mbali na mimi;

1. Mwanamke flat screen akae mbali na mimi, mwanamke ambae amepitiwa na msumeno wa chuma kwa nyuma akae mbali na mimi, hata awe na sura nzuri namna gani ila kama beki yake haiko imara huyo akae mbali na mimi.

2. Mwanamke short chesis, mwanamke mfupi hata awe mzuri na mafanikio ya aina gani ila kama amerefuka kwenda chini akae mbali na mimi, najua ghubu za watu short chesis mnazijua, hivyo mwanamke wa namna hiyo akae mbali na mimi.

3. Single moms[naomba ieleweke kua nawaheshimu sana single mamas, naheshimu sana wanawake], ila kwa kweli single moms wakae mbali na mimi.

Naomba ieleweke kua haya ni maoni yangu binafsi na wala sina lengo la kumkashifu mtu hapa.


Haya ni maoni yako na mimi nimekuelewa, ila natafuta kujua thima yako nzima ya kuandika haya, una maanisha wanakusogeleaga au? yani una nini mpaka unawaambia wakae mbali na wewe, nyie ndio mnaojiangalia kwenye kioo na kujiona wa maana kumbe hakuna kitu.
 
mwanaume mwenye kifua utadhani mtoto wa drs la 5 akae mbali namimi
mwanaume mweupee akae mbali na mm
mwanaume mwenye kitambi akae mbali namimi
mwanaume asie flat nyuma akae mbali namimi
mwanaume asie na akili ya kutafuta pesa akae mbali namimi
 
Mbona flat screen mnanishambulia hivi, hata kama uliyoyaandika ni kweli haina maana kua mimi nisiwe na preferences zangu kwenye mahusiano, mtu akizaliwa na single mom ndio maana kwamba apende single moms? Ukiwa na kibamia au huna hela hutakiwi kua na vipendeleo vyako? huo utakua ni upungufu mkubwa sana wa kukosa kujiamini.
Hahah
 
Kwahiyo hio ni precaution sio ??

Sawa

Mimi na Smart911 wangu tu
Alipo nipo
Wewe mahondaw wangu... Mungu amaekupendelea kitu kitu/Kila kona... Macho, sura, lips, kifua, kiuno, hips, nyuma ndiyo amazing... And you have a very sweet and soft touch... Macho ndiyo daaah.... Na naniliuu... Woyooooo

Am lucky to have you...
 
Inasikitisha sana unapojifanya una machaguo wakati hata kuumba hujui. Mapenzi yanajumuisha vitu vingi na sio maumbile pekee.

Hivyo pole kwa kuchelewa kulijua hilo.
Kwenye sifa alizozitaja kuwa hazipendi we unayo ipi?
 
Mwanamke mwenye shape kama tuta la viazi akae mbali

Mwanamke mwenye migulu baja I.e miguu kama namba saba ya kirumi akae mbali

Mwanamke mwenye matiti makubwa kama ng'ombe wa kisasa apite mbali

Mwanamke mwenye matiti yaliyo lala Kama plaster kifuani (akiinama kudeki yananing'inia kama nguo zilizoanikwa kwenye kamba) apite mbali
Unadhani mkeo akizaa titi hazitaning'inia?
 
Habari za wakati huu wakubwa.

Natanguliza pole zangu kwa wale mliokumbwa na ridandansi mubashara toka chamwino na ambao majina yenu yatachapishwa kuanzia kesho magazetini kwa kugushi vyeti na kuliibia hili taifa mabilioni ya shilingi.

Mimi binafsi nina vigezo vyangu inapokuja swala la mahusiano na wanawake, sifa yangu kubwa kwa mwanamke ni jinsi alivyo kiumbile, akili, pesa, sijui mafanikio gani hua sio kigezo kwangu, ila wanawake wa aina hii wakae mbali na mimi;

1. Mwanamke flat screen akae mbali na mimi, mwanamke ambae amepitiwa na msumeno wa chuma kwa nyuma akae mbali na mimi, hata awe na sura nzuri namna gani ila kama beki yake haiko imara huyo akae mbali na mimi.

2. Mwanamke short chesis, mwanamke mfupi hata awe mzuri na mafanikio ya aina gani ila kama amerefuka kwenda chini akae mbali na mimi, najua ghubu za watu short chesis mnazijua, hivyo mwanamke wa namna hiyo akae mbali na mimi.

3. Single moms[naomba ieleweke kua nawaheshimu sana single mamas, naheshimu sana wanawake], ila kwa kweli single moms wakae mbali na mimi.

Naomba ieleweke kua haya ni maoni yangu binafsi na wala sina lengo la kumkashifu mtu hapa.
Haya bwana na skirini mbinuko senu,sisi vigezo ni tabia mengine mbwembwe tu,kuna Ukweli unaosema ukitaka kujua ukubwa w shimo cheki kifusi
 
Kwangu mapenzi nyanaanza na maumbile na maumbile ndio kigezo kikuu, hayo mengine ni yako. Usitake mimi nifanye unachokiwaza wewe, kila mtu ana upendeleo wake kwenye mambo yake.
Ingekuwa unataka ukifanye hicho unachowaza usingeleta hili gazeti humu jf ungebaki nalo huko huko.

Kwa kuwa umeyaleta huku kuwa tayari kwa kila aina ya jibu.
 
Back
Top Bottom