miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
halafu unachagua saana na pesa huna mfyuuu mkafie mbele huko eti flat screen mfyuuuu kwenda
Hahahaa! Anaona kutoa majibu machafu ndio ujanja.Mwache anajifanya kichaa mbele ya geti la mirembe![]()
Umeonaeee huyo ni mvulana siyo mwanaumeHahahaa! Anaona kutoa majibu machafu ndio ujanja.
Wavulana wana mambo duuh



Hahahaaa! Kabisa aiseehalafu unachagua saana na pesa huna mfyuuu mkafie mbele huko eti flat screen mfyuuuu kwenda
Wakati hawezi kuhonga hata elfu mbili ya padshalafu unachagua saana na pesa huna mfyuuu mkafie mbele huko eti flat screen mfyuuuu kwenda


akwendreeee huko atuachenafanya maombi:Mwanamke mwenye shape kama tuta la viazi akae mbali
Mwanamke mwenye migulu baja I.e miguu kama namba saba ya kirumi akae mbali
Mwanamke mwenye matiti makubwa kama ng'ombe wa kisasa apite mbali
Mwanamke mwenye matiti yaliyo lala Kama plaster kifuani (akiinama kudeki yananing'inia kama nguo zilizoanikwa kwenye kamba) apite mbali
Akwendreeee.Umeonaeee huyo ni mvulana siyo mwanaume![]()
hajielewi kwanza ukiona mtu wa hivi ujue hana kitu njaa tuWakati hawezi kuhonga hata elfu mbili ya padsakwendreeee huko atuache
Yani huyu njaa inamsumbua ana kazi ya kukashifu wakati hawezi mnunulia demu hata chips kavuhajielewi kwanza ukiona mtu wa hivi ujue hana kitu njaa tu




nimesikitika sanaYani huyu njaa inamsumbua ana kazi ya kukashifu wakati hawezi mnunulia demu hata chips kavu![]()
Hakika Mungu amesikianafanya maombi:
MUNGU BABA ULIYE KETI KITI CHA JUU NA UKASEMA MIGUU YAKO INAKANYAGA DUNIANI SIFA NA UTUKUFU NI KWAKO, MWENYENZI NAOMBA TOBA KWA MLETA MADA NA VIJANA WENGINE WANAO KOSOA UUMBAJI WAKO NA KUSAHAHU KILA BINADAMU AMEKUJA DUNIANI KWA KUSIDIO MAALUMU NA KWA AJILI YA UTUKUFU WAKO , LEO HII WAMEKAA NA KUKOSOA UUMBAJI HUO WAREHEMU BABA ..
KATIKA NENO LAKO ULISEMA TUOMBE LOLOTE TUTAPATA , MUNGU MWENYE ENZI NAOMBA HAWA WANAUME WANAO KOSOA UUMBAJI WAKO HAYO MAKOSA WALIOANDIKA NDIYO WAWE WAKE ZAO NA WAKIOA WALE WANAO WATAKA WAO MAISHA YAO YAWE TABU NA SHIDA TUPU... AMEN
kama wanadhani mke ni takoo au urefu haya bwanaMimi zaidi![]()
amenHakika Mungu amesikia
Ndo akili zake zilipofikia. Anawaza makalio tu.kama wanadhani mke ni takoo au urefu haya bwana
nek ni zaidi ya hayo... mamy weekend njema barikiwaNdo akili zake zilipofikia. Anawaza makalio tu.
Nawe pianek ni zaidi ya hayo... mamy weekend njema barikiwa