The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,151
- 20,068
- Thread starter
- #61
Hata ukilia, non of my bizinezi.Hahahahaaa nacheeka kwa dharau![]()
![]()
![]()
Hata ukilia, non of my bizinezi.Hahahahaaa nacheeka kwa dharau![]()
![]()
![]()
Bro, kama hayakuhusu yaache tu.Bro. Akae Mbali Na Ww,Who Are You?! Does Anyone In Here Know You?? Man Up And STFU!!!
Teh teh teh acha Ku panic vitu vidogo vidogo hivi mdogo wangu mwanaume gani unakua na tabia za kushoboka namna hii,eti non of ur business!!! So what?? Nani alikwambia uje ujidabue humuHata ukilia, non of my bizinezi.
Paprika wangu ata uwe na vinasaba vya wahindi NAKUPENDA TU.Kwani nani anakufuata mkuu?
Maneno ya hekima haya!Halafu wewe hujui. Wale flat screen ni 'wachacharikaji' wazuri kwenye 6 x 6. Na single mums walidanganywa na wanaume kama wewe halafu wakaachwa solemba. Unaposema hutaki 'short chasis' unamtukana Mungu. Hakuna binadamu yeyote aliyechagua kuzaliwa mrefu au mfupi. Na unaposema namna hiyo Mungu anaweza akakasirika akakupa watoto wa kike tu tena wote mbilikimo. Chunga sana unachokisema.
Uzi huu umeleta mwenyewe bila shuruti so kubali criticism, la sivyo haina maana kuleta Uzi huu hapa.Kwangu mapenzi nyanaanza na maumbile na maumbile ndio kigezo kikuu, hayo mengine ni yako. Usitake mimi nifanye unachokiwaza wewe, kila mtu ana upendeleo wake kwenye mambo yake.
Kwangu mapenzi nyanaanza na maumbile na maumbile ndio kigezo kikuu, hayo mengine ni yako. Usitake mimi nifanye unachokiwaza wewe, kila mtu ana upendeleo wake kwenye mambo yake.
Akaombe msamaha kwa Mungu kabisa coz atabadilishiwa mawazo yake usiku huu kesho aangukie puaHalafu wewe hujui. Wale flat screen ni 'wachacharikaji' wazuri kwenye 6 x 6. Na single mums walidanganywa na wanaume kama wewe halafu wakaachwa solemba. Unaposema hutaki 'short chasis' unamtukana Mungu. Hakuna binadamu yeyote aliyechagua kuzaliwa mrefu au mfupi. Na unaposema namna hiyo Mungu anaweza akakasirika akakupa watoto wa kike tu tena wote mbilikimo. Chunga sana unachokisema.

Vinasaba ni nini love?Paprika wangu ata uwe na vinasaba vya wahindi NAKUPENDA TU.
We ukiwa unasema hivyo wenzio tunasema 'achumbile Mungu cha kumemena'!Habari za wakati huu wakubwa.
Natanguliza pole zangu kwa wale mliokumbwa na ridandansi mubashara toka chamwino na ambao majina yenu yatachapishwa kuanzia kesho magazetini kwa kugushi vyeti na kuliibia hili taifa mabilioni ya shilingi.
Mimi binafsi nina vigezo vyangu inapokuja swala la mahusiano na wanawake, sifa yangu kubwa kwa mwanamke ni jinsi alivyo kiumbile, akili, pesa, sijui mafanikio gani hua sio kigezo kwangu, ila wanawake wa aina hii wakae mbali na mimi;
1. Mwanamke flat screen akae mbali na mimi, mwanamke ambae amepitiwa na msumeno wa chuma kwa nyuma akae mbali na mimi, hata awe na sura nzuri namna gani ila kama beki yake haiko imara huyo akae mbali na mimi.
2. Mwanamke short chesis, mwanamke mfupi hata awe mzuri na mafanikio ya aina gani ila kama amerefuka kwenda chini akae mbali na mimi, najua ghubu za watu short chesis mnazijua, hivyo mwanamke wa namna hiyo akae mbali na mimi.
3. Single moms[naomba ieleweke kua nawaheshimu sana single mamas, naheshimu sana wanawake], ila kwa kweli single moms wakae mbali na mimi.
Naomba ieleweke kua haya ni maoni yangu binafsi na wala sina lengo la kumkashifu mtu hapa.
Unaweza kuchagua sana na kumchambua sana binadamu mwenzako mungu anaweza kesho yako akakugeuza kiumbe cha ajabu na hao ulio wakataa ndiyo wakawa msaada kwako ni hayo tuHabari za wakati huu wakubwa.
Natanguliza pole zangu kwa wale mliokumbwa na ridandansi mubashara toka chamwino na ambao majina yenu yatachapishwa kuanzia kesho magazetini kwa kugushi vyeti na kuliibia hili taifa mabilioni ya shilingi.
Mimi binafsi nina vigezo vyangu inapokuja swala la mahusiano na wanawake, sifa yangu kubwa kwa mwanamke ni jinsi alivyo kiumbile, akili, pesa, sijui mafanikio gani hua sio kigezo kwangu, ila wanawake wa aina hii wakae mbali na mimi;
1. Mwanamke flat screen akae mbali na mimi, mwanamke ambae amepitiwa na msumeno wa chuma kwa nyuma akae mbali na mimi, hata awe na sura nzuri namna gani ila kama beki yake haiko imara huyo akae mbali na mimi.
2. Mwanamke short chesis, mwanamke mfupi hata awe mzuri na mafanikio ya aina gani ila kama amerefuka kwenda chini akae mbali na mimi, najua ghubu za watu short chesis mnazijua, hivyo mwanamke wa namna hiyo akae mbali na mimi.
3. Single moms[naomba ieleweke kua nawaheshimu sana single mamas, naheshimu sana wanawake], ila kwa kweli single moms wakae mbali na mimi.
Naomba ieleweke kua haya ni maoni yangu binafsi na wala sina lengo la kumkashifu mtu hapa.
Utapata mke unaemtaka ila usishangae kizazi chako kikawa cha watoto wa kike tu, wenye hizo flat screen,short chesis na ukajaziwa wajukuu nyumbani kwako.
Usitukane mamba............
stay blessedWewe short chesis na flat screen kaa mbali na mimi, nipanic kwa kipi hasa kwa mfano?!!!.Teh teh teh acha Ku panic vitu vidogo vidogo hivi mdogo wangu mwanaume gani unakua na tabia za kushoboka namna hii,eti non of ur business!!! So what?? Nani alikwambia uje ujidabue humu
Unamwambia avue umkague kwanza mkuu?we can't date if u have small dick aka kibamia
Wanaume dizain yako ndo unakuta wabayaaaaaa...pesa huna ,halafu unakibamia...halafu mwenyewe ulizaliwa na singo maza...then unajifanya kuchagua wanawake....
Mungu awarehemu