Aina hii ya wanawake wakae mbali na mimi

Aina hii ya wanawake wakae mbali na mimi

Wewe short chesis na flat screen kaa mbali na mimi, nipanic kwa kipi hasa kwa mfano?!!!.

Kama unajua uko kwenye kundi la watu niliosema wakae mbali na mimi sina namna ya kukusaidia, ndivyo ilivyo.
Yaani ningekua single wewe ungelikua ni kiumbe
Wa kwanza kunipishia mbali nisingetaka hata uniongeleshe, kwa taarifa yako hayo yote ni maumbile ya M/Mungu na unachokikataa wewe mwenzio kinamnyima usingizi upo nyonyo?
 
Watu kama hawa Mungu huwa anajua sana kuwaumbua...
Utakuta anapata wa type yake, yaani mwanamke mrefu, mahaja ya haja lkn utakuta tabia mbovu kupindukia... Kwa sbb ameshakariri kwamba hao (kwake) ndo wanawake wazr utakuta anaingia kichwa kichwa na kuoa... Hapo sasa, atahenyeshwa na tabia mbovu za mwanamke mpaka aombe poh! Siku kama zali anakutana na shortie anasema ngoja nionje anakutana na vitu adimu... mtoto ana tabia njema, anajua love & care, snajituma kitandani na mwisho wa siku jamaa linanasa.
Mapenzi na formula wapi na wapi...
 
Back
Top Bottom