Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,911
- 183,311
Hao sasa ni tatizo.Kweli usemalo mkuu ila kuna wengine hata katika hayo mambo ya msingi bado hawataki haki iwepo.
Hao sasa ni tatizo.Kweli usemalo mkuu ila kuna wengine hata katika hayo mambo ya msingi bado hawataki haki iwepo.
wastani mkuu...sio pasi sio churaWe unapenda pasi
Hakuna post, nauliza tu.Post yangu inaimply hicho?
Kwa kweli kama chura haipo pita hivi!![emoji53][emoji53]Wanaume wengi sasa hawajui wanachokitaka!
Unaweza ukawa na sifa zote hizo na wasikutake kisa huna Chura,
Hilo sasa linakuwa tatizo lingine. Lakini kuna maswala yanakuwa ni ya mwanaume moja kwa moja na kuna maswala ni ya mwanamke moja kwa moja.Kweli usemalo mkuu ila kuna wengine hata katika hayo mambo ya msingi bado hawataki haki iwepo.
Hahahaaaa!!! Mwanaume/mwanamke lazima atambue wapi pa kuchora mstari. Ukiona unashindwa basi tambua kuna tatizo mahali fulani.Hakuna post, nauliza tu.
Kwa maana nyingine, where do you draw the line between a man being overly weak on the one hand, being rightfully assertive in the middle and being out and out abusive on the far hand?
Mwanamme mwingine akisikia unasema yeye awe juu anaona ndiyo umempa leseni ya kuwa abusive.
Akirudi tu "We mwanamkeee, ukowapi, maji ya kuoga ushanichemshia? Mwanamme nimetoka kazini usifanye kulala lala hapa lazima ufanye kama mwanamke anavyotakiwa".
Na unatakiwa ujibu "Hewalla bwana sayyid yangu kipenzi"
Hapo vipi?
Yeereeuwi! Yesu na Maria, umerogwa aisee?na pia madem wanaotoa tigo, ni kipenz cha wanaume wengi Joseverest
Duuh mkuuna pia madem wanaotoa tigo, ni kipenz cha wanaume wengi Joseverest
wapo sana tu mkuu mie nimshuhudia famiia moja mke anapika mume anafua!sema wewe kwako hali ni tofauti(na lazima unatokea kanda zileeeee)mshindwe
Ndio inaitwaje hiyo?wastani mkuu...sio pasi sio chura
Uboya tena!!! Si ndio vizuri!!Hatushindwi na ndio iko hivyo sasa
50 50 ni uboya na upuuzi
Kama unayo F nipo tayar kutangaza ndoa kabisa kwakwelWanaume wengi sasa hawajui wanachokitaka!
Unaweza ukawa na sifa zote hizo na wasikutake kisa huna Chura,