Aina 10 za wanawake wanaopendwa na wanaume

Aina 10 za wanawake wanaopendwa na wanaume

Chukua like mkuu, nilivyoisoma hii nikahisi itakuwa imelenga jamii tofauti na hii yetu ya kitanzania. Nikaona anatoa credits kwa mtu mwingine ambae ndio inaonekana ndio muandaa makala. Hivyo yawezekana walicopy hiyo kutoka mahali wakatafsiri.
Hahaha, eti wanaume wanapenda wanawake wapenda usawa.

"Baby leo zamu yako kupika na kumbadili mtoto nepi, mi nakwenda kwa shoga zangu tupige soga na kusukana nywele".

Kama umepata bahati akubali, wenzake wakijua watasema umempa limbwata rafiki yao.

Hata dada zake wanawake wenzako watakusakama kwamba umemfanya kaka yao msukule.

Halafu unaambiwa wanaume wanapenda usawa!

Hayo mambo yenu huko huko Marekani.

Kuna siku country cousin wangu mmoja aliona nimepiga picha jikoni kama napika (nilikuwa navunga tu), aliniwakia sana, eti mwanamme wa kweli wa kabila letu hata kuingia jikoni ni mwiko.

Sasa mtu wa jamii hii umwambie habari za usawa, baby zamu yako kupika leo.

Haahaaaa.

Hebu tuambiane ukweli jamani. Au siku hizi tunakwenda na wakati?
 
Hapa hakuna cha kujadili.. Ni kusoma na kuelewa...



Cc: mahondaw


Inategemeana, umesoma hii thread ukiwa eneo lipi , ila pana mengine hapo bila kujadili mada itakosa maana.

Mfano, unasoma hii thread na uko na warembo 10 wamekuzunguka ofisini kila mmoja ana vigezo vilivyotajwa vyote.

Sasa, unahitaji mmoja wa kuoa unadhani hapo huu mjadala hautasaidia!?
Refer, a statement given out by my baby girl [HASHTAG]#rubii[/HASHTAG]. I hope you will understand.
 
Hahaha, eti wanaume wanapenda wanawake wapenda usawa.

"Baby leo zamu yako kupika na kumbadili mtoto nepi, mi nakwenda kwa shoga zangu tupige soga na kusukana nywele".

Kamaumepata bahati akubali,wenzake wakijua watasema umempa limbwata rafiki yao.

Hata dada zake wanawake wenzako watakusakama kwamba umemfanya kaka yao msukule.

Halafu unaambiwa wanaume wanapenda uasawa!

Hayo mambo yenu huko huko Marekani.

Kuna siku country cousin wangu mmoja aliona nimepiga picha jikoni kama napika (nilikuwa navunga tu), aliniwakia sana, eti mwanamme wa kweli wa kabilaletu hata kuingia jikoni ni mwiko.

Sasa mtu wa jamii hii umwambie habari za usawa, baby zamu yako kupika leo.

Haahaaaa.

Hebu tuambiane ukweli jamani. Au siku hizi tunakwenda na wakati?
Hahahaaaa!!!
Kwakweli hii makala sio kwa hii jamii yetu.
 
Hahaha, eti wanaume wanapenda wanawake wapenda usawa.

"Baby leo zamu yako kupika na kumbadili mtoto nepi, mi nakwenda kwa shoga zangu tupige soga na kusukana nywele".

Kama umepata bahati akubali, wenzake wakijua watasema umempa limbwata rafiki yao.

Hata dada zake wanawake wenzako watakusakama kwamba umemfanya kaka yao msukule.

Halafu unaambiwa wanaume wanapenda usawa!

Hayo mambo yenu huko huko Marekani.

Kuna siku country cousin wangu mmoja aliona nimepiga picha jikoni kama napika (nilikuwa navunga tu), aliniwakia sana, eti mwanamme wa kweli wa kabilaletu hata kuingia jikoni ni mwiko.

Sasa mtu wa jamii hii umwambie habari za usawa, baby zamu yako kupika leo.

Haahaaaa.

Hebu tuambiane ukweli jamani. Au siku hizi tunakwenda na wakati?
245fe6160131dd64324b20f97d5b8891.jpg
 
Hahahaaaa!!!
Kwakweli hii makala sio kwa hii jamii yetu.
Ninavyoisoma zaidi, imeandikwa kama kejeli.

Hata Wamarekani hawajafikia huku.

Huu ni usanii.

Ukiona imeandikwa "wanaume wanapenda wanawake wanaopenda usawa", soma "wanaume hawapendi wanawake wanaopenda usawa".

Hapo kikwetu utaelewa.

Ndiyo maana ninayoweza kuiona.

Exceptions ni C,G,H,I na J
 
Back
Top Bottom