Aibu: Watuhumiwa watatu kesi ya Mbowe wadai kuteswa na Polisi ili wakubali kuandika maelezo ya uongo

Tayari tunapata triangle au pembe tatu ya faulo hii ilivyosukwa, ilivyochezwa na inavyoendelea kuchezwa na serikali ya CCM kujaribu kuzima upinzani.

Na hakika Mahakama Kuu yenye majaji wake wazoefu katika fani yao watafanya kilicho haki bin haki.

Vyombo vya habari / Media nayo waombe viti vya mbele katika Mahakama Kuu ili waweze kunukuu mwenendo wote wa kesi toka pande zote za utetezi na ya mashtaka na pia jinsi majaji watavyokuwa wanatawala ukumbi wa Mahakama Kuu kuwaweka wadau wote sawa ili haki ionekane ikitendeka siyo tu mbele ya wasikilizaji walio ukumbini mahakamani bali pia kwa wafuatiliaji ambao hawapo Mahakamani.
 
14 May 2021
Kilimanjaro, Tanzania

DC ole Sabaya alivyomkata Jicho Kali RC wa Kilimanjaro



DC SABAYA alivyomkata Jicho Kali RC wa Kilimanjaro Bi. Anna Mghwira baada ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro kumkemea na kumwambia aache Tabia Hii
 
14 May 2021
Kilimanjaro, Tanzania

DC ole Sabaya alivyomkata Jicho Kali RC wa Kilimanjaro



DC SABAYA alivyomkata Jicho Kali RC wa Kilimanjaro Bi. Anna Mghwira baada ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro kumkemea na kumwambia aache Tabia Hii

Sabaya alipaswa ashtakiwe kwa ugaidi.
 
2 Agosti 2021

"MBOWE SIO MALAIKA, USHAHIDI TUNAO, ASEME UKWELI WAKE SI ANASALI" IGP SIRRO



Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 amezungumza na waandishi wa habari na miongoni aliyoyazungumza ni kuhusu suala la kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia (CHADEMA) Taifa.
Source : Millard Ayo
 
2 Agosti 2021

"MBOWE SIO MALAIKA, USHAHIDI TUNAO, ASEME UKWELI WAKE SI ANASALI" IGP SIRRO



Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 amezungumza na waandishi wa habari na miongoni aliyoyazungumza ni kuhusu suala la kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia (CHADEMA) Taifa.
Source : Millard Ayo

Huyu ni miongoni mwa mashahidi wa utetezi
 
07 October 2020
Hai, Kilimanjaro
Tanzania

OCD wilaya ya Hai, Kilimanjaro kamanda Mpina aahidi kutumia jeshi la Polisi ili Freeman Mbowe asitangazwe

 
23 August 2021
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkuu
Kisutu,
Dar es Salaam, Tanzania

MAELEZO YA MASHAHIDI UPANDE WA SERIKALI (a.k.a JAMHURI) : MBOWE ADAIWA KUTAFUTA MAKOMANDOO WA JWTZ KUMDHURU SABAYA



Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe aliomba kutafutiwa Makomandoo Wanajeshi waliofukuzwa kazi au Wastaafu, ili awatumie katika kuwadhuru Viongozi wa Serikali akiwemo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Arusha Lengai Ole Sabaya.
Source : Millard Ayo
 
23 August 2021
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkuu
Kisutu,
Dar es Salaam, Tanzania

MAELEZO YA MASHAHIDI UPANDE WA SERIKALI (a.k.a JAMHURI) : MBOWE ADAIWA KUTAFUTA MAKOMANDOO WA JWTZ KUMDHURU SABAYA



Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe aliomba kutafutiwa Makomandoo Wanajeshi waliofukuzwa kazi au Wastaafu, ili awatumie katika kuwadhuru Viongozi wa Serikali akiwemo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Arusha Lengai Ole Sabaya.
Source : Millard Ayo

hivi mtu duni kama Sabaya ndio wa kumtafutia makomandoo ?
 
hivi mtu duni kama Sabaya ndio wa kumtafutia makomandoo ?

Hii kesi itaiumbua CCM na serikali yake kwa kushindwa kuwa chama cha siasa na kuamua kuwa chama dola kandamizi kinachotumia vyombo vya ulinzi na usalama kupunguza eneo la uwepo wa demokrasia nchini Tanzania wakati takwa hilo lipo kikatiba lakini CCM imeamua kukaba, kubana na kufifisha uwepo wa demokrasia na hivyo raia kukosa Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu.
 
Hii kesi itaiumbua CCM na serikali yake kwa kushindwa kuwa chama cha siasa na kuamua kuwa chama dola kandamizi kinachotumia vyombo vya ulinzi na usalama kupunguza eneo la uwepo wa demokrasia nchini Tanzania wakati takwa hilo lipo kikatiba lakini CCM imeamua kukaba, kubana na kufifisha uwepo wa demokrasia na hivyo raia kukosa Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu.
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
 
Watuhumiwa hao watatu walioshitakiwa pamoja na Mbowe Wameiomba Mahakama kutoyatambua maelezo waliyoyaandika Polisi kwa vile waliyaandika kwa shinikizo la vipigo na mateso, hayakuwa maelezo ya kweli , bali waliyaandika ili wasiuawe kwa mateso .

Ombi hilo limetolewa Mahakamani na washitakiwa hao watatu , waliodai kwamba walilazimishwa kuandika maelezo ya uongo kibabe na kwa mateso makubwa mno , Polisi walitesa watuhumiwa hao kinyama ili kulazimisha kwamba walitumwa na Mbowe kufanya ugaidi kwa lengo la kuhalalisha Tuhuma dhidi ya Freeman Mbowe zilizopangwa kishamba ili kuwafurahisha watawala

Washitakiwa hao wamedai kwamba ili kujinusuru na mateso makubwa ya kinyama na ya kudhalilisha walipokuwa mikononi mwa Polisi , walilazimika kuandika MAELEZO YA UONGO WALIYOYATAKA POLISI ili kuokoa uhai wao
Washitakiwa hao wamedai kwamba ili kujinusuru na mateso makubwa ya kinyama na ya kudhalilisha walipokuwa mikononi mwa Polisi , walilazimika kuandika MAELEZO YA UONGO WALIYOYATAKA POLISI ili kuokoa uhai wao
Mungu ibariki CHADEMA
 
YAANI NDIVYO MBOWE ALIVYOWAAMBIA WAKASEME MAHAKAMANI ILI WAMNUSURU? HIYO IMETOKA MBOWE ALIWATELEKEZA WALIPOKAMATWA WALINZI WAKAAMBUA KUJILIPUA KUSEMA UKWELI ILI WAWE HURU MBOWE HANA UJANJA HAPO
Mungu akikupa macho ya kuona mshukuru.
Huwezi kutumia hayo macho kuona?
 
Watuhumiwa hao watatu walioshitakiwa pamoja na Mbowe Wameiomba Mahakama kutoyatambua maelezo waliyoyaandika Polisi kwa vile waliyaandika kwa shinikizo la vipigo na mateso, hayakuwa maelezo ya kweli , bali waliyaandika ili wasiuawe kwa mateso .

Ombi hilo limetolewa Mahakamani na washitakiwa hao watatu , waliodai kwamba walilazimishwa kuandika maelezo ya uongo kibabe na kwa mateso makubwa mno , Polisi walitesa watuhumiwa hao kinyama ili kulazimisha kwamba walitumwa na Mbowe kufanya ugaidi kwa lengo la kuhalalisha Tuhuma dhidi ya Freeman Mbowe zilizopangwa kishamba ili kuwafurahisha watawala

Washitakiwa hao wamedai kwamba ili kujinusuru na mateso makubwa ya kinyama na ya kudhalilisha walipokuwa mikononi mwa Polisi , walilazimika kuandika MAELEZO YA UONGO WALIYOYATAKA POLISI ili kuokoa uhai wao
Wew ulikuwepo , kwa nini aibu hii usiione wew
 
Hii imekaaje kisheria?
Kisheria, shahidi au mtuhumiwa anaruhusiwa kutakataa maelezo aliyoyaandika Polisi kama kulikuwa na mazingira ya kulazimishwa kama vile kuteswa au kutishiwa kifo.

Ikidhihirika hivyo, maelezo yote aliyoyatoa akiwa Polisi hufutwa, na mahakama huzingatia tu maelezo atakayoyatoa akiwa mahakamani.
 
Hao watuhumiwa walionekana na majeraha au viashiria vya mateso?

Kama hawana ni sawa na mbwmbwe za kawaida za watuhumiwa.
Usijifanye mjuaji kwenye mambo ambayo una ujinga wote. Wawe na majeraha wasiwe nayo, wanaruhusiwa kuyakataa maelezo waliyoyatoa Polisi alimradi kama huko Polisi kulikuwa na mazingira ya kuwalazimisha kama vile mateso, vitisho, au masumbufu kama yale ya kuwaweka kwenye sero za Polisi kwa muda usiojulikana.
 
Mbowe gaidi jamani hamkumbuki alimuua Akwilina hivihivi kimasihara na SMG yake ambayo aliielekezea juu lakini risasi zikapinda all the way kwa yule binti mmesahau jamani ama?
 
Back
Top Bottom