Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,730
- 2,850
Kwa hi
Hiyo huwa ni namna ya kurukaruka tu kama maharage kwenye sufulia lakini lazima yaive.
Kwa ujinga wako unadhani kukataa maelezo uliyoandika police kunaweza kukunasua kwenye kukutwa na makosa?Usijifanye mjuaji kwenye mambo ambayo una ujinga wote. Wawe na majeraha wasiwe nayo, wanaruhusiwa kuyakataa maelezo waliyoyatoa Polisi alimradi kama huko Polisi kulikuwa na mazingira ya kuwalazimisha kama vile mateso, vitisho, au masumbufu kama yale ya kuwaweka kwenye sero za Polisi kwa muda usiojulikana.
Hiyo huwa ni namna ya kurukaruka tu kama maharage kwenye sufulia lakini lazima yaive.