Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,802
- 71,229
Hii ni aibu kuwa na viongozi wanajiita eti wa upinzani kisha wanawapinga wenzao wanao endesha harakati za maandamano ya kupinga hali ngumu ya maisha inayotokana na dira mbovu za serikali, kutaka katiba mpya na kupinga miswaada isiyo fuata mawazo ya wananchi wakati wapo Wanachama wa CCM ambao pamoja na kuwa huko wanaunga mkono ili kurekebisha mambo.
Hawa ni mzigo kwa taifa.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hawa ni mzigo kwa taifa.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app