Aibu Vyama Mamluki Kugomea Maandamano Wakati Wanaccm Wapo Waungao Mkono

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,802
71,229
Hii ni aibu kuwa na viongozi wanajiita eti wa upinzani kisha wanawapinga wenzao wanao endesha harakati za maandamano ya kupinga hali ngumu ya maisha inayotokana na dira mbovu za serikali, kutaka katiba mpya na kupinga miswaada isiyo fuata mawazo ya wananchi wakati wapo Wanachama wa CCM ambao pamoja na kuwa huko wanaunga mkono ili kurekebisha mambo.
Hawa ni mzigo kwa taifa.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Hii ni aibu kuwa na viongozi wanajiita eti wa upinzani kisha wanawapinga wenzao wanao endesha harakati za maandamano ya kupinga hali ngumu ya maisha inayotokana na dira mbovu za serikali, kutaka katiba mpya na kupinga miswaada isiyo fuata mawazo ya wananchi wakati wapo Wanachama wa CCM ambao pamoja na kuwa huko wanaunga mkono ili kurekebisha mambo.
Hawa ni mzigo kwa taifa.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Basi nyie bavicha na bawacha shirikianeni na hao Wana CCM wenu muandamane. Hii ni nchi ya huru na ya kidemokrasia. Tusipangiane.
 
Hii ni aibu kuwa na viongozi wanajiita eti wa upinzani kisha wanawapinga wenzao wanao endesha harakati za maandamano ya kupinga hali ngumu ya maisha inayotokana na dira mbovu za serikali, kutaka katiba mpya na kupinga miswaada isiyo fuata mawazo ya wananchi wakati wapo Wanachama wa CCM ambao pamoja na kuwa huko wanaunga mkono ili kurekebisha mambo.
Hawa ni mzigo kwa taifa.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mkuu kwenye nchi yoyote kukishakuwa na chama kilichokaa muda mrefu madarakani kwa shuruti, lazima kitengeneze vyama vya mfukoni ili kuvuruga upinzani wa kweli. Uzuri wananchi Sasa hivi ni waelewa, wanajua kipi chama Cha upinzani, na wapi ni washenga wa siasa. Hivyo usiumize kichwa
 
Hii ni aibu kuwa na viongozi wanajiita eti wa upinzani kisha wanawapinga wenzao wanao endesha harakati za maandamano ya kupinga hali ngumu ya maisha inayotokana na dira mbovu za serikali, kutaka katiba mpya na kupinga miswaada isiyo fuata mawazo ya wananchi wakati wapo Wanachama wa CCM ambao pamoja na kuwa huko wanaunga mkono ili kurekebisha mambo.
Hawa ni mzigo kwa taifa.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mafisadi uchwara hao, pitia mbeleko wa ccm,
 
Hii ni aibu kuwa na viongozi wanajiita eti wa upinzani kisha wanawapinga wenzao wanao endesha harakati za maandamano ya kupinga hali ngumu ya maisha inayotokana na dira mbovu za serikali, kutaka katiba mpya na kupinga miswaada isiyo fuata mawazo ya wananchi wakati wapo Wanachama wa CCM ambao pamoja na kuwa huko wanaunga mkono ili kurekebisha mambo.
Hawa ni mzigo kwa taifa.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Wote hao wanapata mgao na ma V8 ya ccm.

Vyama vya siasa halisi vinajulikana wala si lazima kuvitaja
 
Kwa maoni yangu kwanza inatakiwa wananchi wawe wapinzani wao binafsi bila kujali vyama. Nionayo mitaani ni kwamba asilimia kubwa yetu hatujali. Tunalalamika gharama za maisha kuwa juu na ufisadi lakini wakati huo huo tunasema anayepata nafasi ya kufisadi afanye hivyo kwa bidii.
 
Hii ni aibu kuwa na viongozi wanajiita eti wa upinzani kisha wanawapinga wenzao wanao endesha harakati za maandamano ya kupinga hali ngumu ya maisha inayotokana na dira mbovu za serikali, kutaka katiba mpya na kupinga miswaada isiyo fuata mawazo ya wananchi wakati wapo Wanachama wa CCM ambao pamoja na kuwa huko wanaunga mkono ili kurekebisha mambo.
Hawa ni mzigo kwa taifa.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Wameshanunuliwa hao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni aibu kuwa na viongozi wanajiita eti wa upinzani kisha wanawapinga wenzao wanao endesha harakati za maandamano ya kupinga hali ngumu ya maisha inayotokana na dira mbovu za serikali, kutaka katiba mpya na kupinga miswaada isiyo fuata mawazo ya wananchi wakati wapo Wanachama wa CCM ambao pamoja na kuwa huko wanaunga mkono ili kurekebisha mambo.
Hawa ni mzigo kwa taifa.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
manyumbu na mapanyarodi yanakataana na kenge 🐒
 
Watanzania wote tuseme "hatuwezi kuwa ngazi au punda kwa viongozi wa chadema wenye ubinafsi wa kutengeneza njia zao za vipato kupitia sisi punda"
""TUMECHOKA KUSWAGWA KAMA NGOMBE KWA MASLAHI YA WATU WASIOZIDI 6 WANAOTAKA KUTUSWAGA KWA MASLAHI YAO ""
 
Hii ni aibu kuwa na viongozi wanajiita eti wa upinzani kisha wanawapinga wenzao wanao endesha harakati za maandamano ya kupinga hali ngumu ya maisha inayotokana na dira mbovu za serikali, kutaka katiba mpya na kupinga miswaada isiyo fuata mawazo ya wananchi wakati wapo Wanachama wa CCM ambao pamoja na kuwa huko wanaunga mkono ili kurekebisha mambo.
Hawa ni mzigo kwa taifa.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hao itoshe tu kuwaita mamluki wa ccm wakiwa na kaka yao ACT
 
Mkuu kwenye nchi yoyote kukishakuwa na chama kilichokaa muda mrefu madarakani kwa shuruti, lazima kitengeneze vyama vya mfukoni ili kuvuruga upinzani wa kweli. Uzuri wananchi Sasa hivi ni waelewa, wanajua kipi chama Cha upinzani, na wapi ni washenga wa siasa. Hivyo usiumize kichwa
Namchukia sana ZZK
 
Back
Top Bottom