Aibu: Tundu Lissu adanganya tena

Aibu: Tundu Lissu adanganya tena

Eti wanadai ule waraka alioukiri Kitila ni feki! Na kwamba baada ya kikao kijacho wakilazimika kuutoa ule orijino watafanya hivyo!
My take: chadema mtamfanya Zito aseme ambayo hakutaka kuyasema!itakula kwenu!
...wewe unadhani CHADEMA wamesema yote? wamembeep tu Zitto, bado hajaumbuliwa kisawasawa - hata yeye anajua.
 
Kawachezea kwalipi? Yaleyaliyo semwa kwenye ule waraka msipofanyia kazi shauriyenu.

Zito hakatai kufukuzwa.yupo tayari.anacho kataa yeye kesho na keshokutwa cdm ikiwa vipande vipande asilaumiwe yeye.

Asilaumiwe kwani pesa alizopewa alizikabidhi kwa nhasibu wa Chadema au alipekeka mfukoni kwake???? Maajabu haya
 
ahahahahaaaa, simiyu yenu, CDM ni taasisi inayoheshimika na sio mtu binafsi. it will remain strong and stronger ever. am telling you my bro.

yeah! Taasisi imara indeed,maana ni saccos ya wapiga dili mahiri!
 
Acheni undina KAMBONA alifukuzwa TANU nawatu wakasema KAWAWA hawezi kitu bila kambona nakawawa ndo akaja kua waziri MKUU
 
Wewe na zito wote walewale wala hamna tofauti unajua hata mungu alimuumba mwanamke akijua kuwa ni rahisi kushawishika na ndio maana yule nyoka alianza na hawa wala hakuanza nza adam ,sasa nashangaa siku hizi vivulana na zito kabwe na vivulana vyenzie vimebeba tabia za mwanamke kama hawa,yaani hawana hata hadhi ya kuwa wanaume hata kwa vivulana ni kuwapendelea tu huenda hata sifa hiyo hawana bali suruali tu zinawasitiri

we huoni uyo zitto mwenyewe bado anaishi chini ya himaya ya mkewe, katakuwa ni kavulana kenye hulka za kupenda kuóngwa
 
tulia we mama! Kiongozi gani wa makao makuu aliuleta hapa?. Hatumtaki zitto,mchukueni magambani huko.

we lazima utakua unafanya udokta wako kule mochwari. Utasemaje hatumtaki? Sema humtaki usigeneralize hapa.
 
Ng'wanangwa umesomeka vizuri kabisa katika post yako ya hapo juu.

Chama kitabaki kuwa chama cha nguvu ya umma tu.
 
Last edited by a moderator:
we huoni uyo zitto mwenyewe bado anaishi chini ya himaya ya mkewe, katakuwa ni kavulana kenye hulka za kupenda kuóngwa

Na tuhuma hii mpya nayo mmeiweka katika huo waraka mpya ujao?
 
Asilaumiwe kwani pesa alizopewa alizikabidhi kwa nhasibu wa Chadema au alipekeka mfukoni kwake???? Maajabu haya

Unamapunguf ndugu yangu.cdm hilo la pesa waliligoma.nandio maana hajahukumiwa kwa uzushi huo.kuwa mwelewa kijana
 
zitto mwenyewe bado anaishi chini ya himaya ya mkewe, katakuwa ni kavulana kenye hulka za kupenda kuóngwa
wewe na huyo kahaba mwenzio hapo juu hebu nipeni vicheche wenu nitest 3some ili waje watoe ushuhuda.
 
Haifiki tarehe 10 Dec 2013 Zitto hatutakuwa naye tena Chadema. Nilipenda sana tamko la Dr Lwaitama kwamba ni vizuri kuwaondoa mapema hata kama itatugharimu kwa wakati huu kuliko kuwaacha then ikatugharimu zaidi hapo baadae. Viva Chadema.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Sasa mnangoja nini? Mtimueni basi!
 
ahahahahaaaa, simiyu yenu, CDM ni taasisi inayoheshimika na sio mtu binafsi. it will remain strong and stronger ever. am telling you my bro.
kama cdm ni taasisi basi mwambieni macho kumchuzi "mbowe" aitishe uchaguzi wa chama.
 
Unamapunguf ndugu yangu.cdm hilo la pesa waliligoma.nandio maana hajahukumiwa kwa uzushi huo.kuwa mwelewa kijana

kweli una kamasi kwnye kichwa wamelikataa wakat ni waz kuwa amepew mabilion ya fedha na liccm lenu,,,,
 
Eti wanadai ule waraka alioukiri Kitila ni feki! Na kwamba baada ya kikao kijacho wakilazimika kuutoa ule orijino watafanya hivyo!
My take: chadema mtamfanya Zito aseme ambayo hakutaka kuyasema!itakula kwenu!

Hivi unafahamu CDM ni Taasisis?? naona unaandika kama unatumia watu ujumbe mfupi wa simu........Adress kwa Taasisi na si watu.
 
Weee! Waitishe uchaguzi na zito agombee! Thubutu! Babu wa tengeru hataruhusu ujinga huo! Si atawabwaga mbali sana!

ivi mlipoítisha uchaguz wa ccm kikwete alipambana na nani vile? au nyie mbululas mnaangalia ya chadema tu ya upande wa CCM CHAMA CHA MAFISADI mnapotezea.
 
Back
Top Bottom