Aibu: Tundu Lissu adanganya tena

Aibu: Tundu Lissu adanganya tena

Atafukuzwa kwa kufuata taratibu zote na kwa haki,hakutakua na personal attacks,kumwaga mboga wala matusi,wala kejeli

anajua ndiyo maana anachokoza ili amwage ugali na majibizano ya kuvunjiana heshima. Chadema ni taasisi na inayo watu wenye weledi waku handle issues..
Kauli ya zzk 'nisilaumiwe cdm ikivunjika vipande' ni defence kwa sumu na uzushi atakaouanzisha ukiratibiwa na waliomnunua. He better be professional once lives people's power party

kama kwa uonevu gesi imetoka, Zitto kwa haki atatoka
 
Mkuu usipende kuokota maneno mitaani na kuleta JF ukisimamishwa mahakamani unaweza kuleta ushahidi.

Mahakama ya CCM? no wonder wauza sembe wanapeta mitaani, vijana wanazidi kuwa mateja...
 
Weka mada yako vizuri
'Eti wanadai' kina nani hao?? Lukuvi au Pinda???

Wanaodai hapa nilisu na mnyika.ndio walio sema kuwa zito na mkumbo wamesoma waraka feki wakati wanaongea na wanahabari.pia hata humu jf kuna waraka feki sio ule ambao wao wanao cdm.
 
Mimi nawaamini viongozi wa Chadema kuliko wewe, hata kwenye kikao haukuwepo, maneno yako ni ya uongo Waliomfukuza ZZK wana akili nyingi kuliko zako na zake. tUNA WAMINI NI VIONGOZI WETU, HATUWEZI KUAMINI TOFAUTI NA MAAMUZI YAO. HIKI NI CHAMA SIO MTU BINAFSI. UKIWA KWENYE CHAMA FUATA UTARATIBU BILA UTARATIBU HAKITAKUWA CHAMA TENA. USILETE UONGO KAMA WALIOSEMA WENZAKO KWA WAANDISHI WA HABARI.
 
Eti wanadai ule waraka alioukiri Kitila ni feki! Na kwamba baada ya kikao kijacho wakilazimika kuutoa ule orijino watafanya hivyo!
My take: chadema mtamfanya Zito aseme ambayo hakutaka kuyasema!itakula kwenu!

nimeusoma umejaa!! udaku wa Kubenea!! poor chadema

nimesikia lisu akisema huu waraka tunaousoma hapa jf ni feki.nimeamini hawa jamaa ni makanjanja

Wanataka waandike waraka mwingine ndipo waturetee.

Duh hawa jamaa hawana aibu. Wameamua kuukana waraka. Watanzania watambue waraka uliochapishwa ni huohuo, na tena waliugawa wenyewe na kuutuma JF bila kujua madhara yake. Sasa wameumbuka kwa mambo yaliyopo ndani na sasa wanatapatapa.

Tundu Lissu aliwadanganya wajumbe wa Kamati Kuu kuwa 'tukiwafukuza hawa chama kitakuwa imara mara kumi'.

Eti waraka wa kufanya mapinduzi. Mapinduzi kwenye chama cha siasa yanafanyikaje? Hili sakata limempunguzia heshima sana TL. Sasa Mnyika naye hata kwenye kikao hakuwepo ameingia kichwakichwa.
ZITTO kazini!... Moja ni Id ya Zitto, guess!
 
Kawachezea kwalipi? Yaleyaliyo semwa kwenye ule waraka msipofanyia kazi shauriyenu.

Zito hakatai kufukuzwa.yupo tayari.anacho kataa yeye kesho na keshokutwa cdm ikiwa vipande vipande asilaumiwe yeye.
danganya toto ana uwezo wakusambalatisha chama ata atambikie usiku namchana.
 
Mi nasubiri kwa hamu nisikie jinsi ambavyo yule dogo wa ubungo aliokataa shule atakavyolishwa maneno ya kutamka kwamba Zito amefukuzwa halafu muone!

Mbona unatumia Nguvu nyingi kuhalalisha masuala yasiyo na tija? si bure, ndo tunatambua kua kuna baadhi ya watu hapa JF Wanalipwa kwa ajili ya kufanya Personal attack badala ya kujadili hoja! kama CHADEMA Wamesema ule waraka si original kwa nini usiwe mwelewa kua yawezekana kumefanyika editting kwa baadhi ya Mambo,kwani una ushahidi gani kua ule Walaka umewekwa humu na CHADEMA Wenyewe?
 
Zitto hana ubavu wa kuchezea vichwa za maelefu ya Watanzania wanaokiunga mkono chadema. Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu. Mtu mmoja hawezi kushindana na nguvu za Mungu.

Muambieni akome kabisa, na wala hatuogopi kumtimuwa.



Wapi wewe wakati hapo mlipo CDM iko ICU mnapumulia mashine. Muda si mrefu mtatutoka coz samaki mmoja akioza wote wameoza.
 
Back
Top Bottom