Aibu: Tundu Lissu adanganya tena

Aibu: Tundu Lissu adanganya tena

Mungu atalitikiasa jiwe mpaka maji mazuri ndiyo yabaki kwa ajili ya matumizi,asilimia tisa (9) ndo wataleta ukombozi,masalia watachujwa wote
 
Mnaonzisha mada za kuushutumu upinzani bila kuwa na HOJA na USHAHIDI wa kutosha kuhusu hizo tuhuma mnafanya wasomaji wanasoma na kufikiri kwa KINA kuongeza mapenzi juu yao HIVYO JIPANGENI
 
Wakimfukuza zitto chadema itabaki machame na tengeru pekee
 
Kwa jinsi Zitto anavyovichezea vibichwa vya mbowe na slaa inatosha kabisa.

aah zitto alibembelezwa kama motto sasa yuko kwenye pipa la takataka , facts zinatolea moja baada ya nyingine aibu zitto msaliti head wa masalia aibu
 
Zitto mwenyewe hata Kigoma aliikataa chadema aliuza majimbo kwa NCCR huyo si mshirika wa chadema aende vyema peponi CCM

Mi nasubiri kwa hamu nisikie jinsi ambavyo yule dogo wa ubungo aliokataa shule atakavyolishwa maneno ya kutamka kwamba Zito amefukuzwa halafu muone!
 
Maccm bana..juzi yalithani yanaikomoa cdm kwa kuandaa press ya zzt,kumbe wamesaidia jamii kuelwa vizur usaliti wa zzt..
 
Eti wanadai ule waraka alioukiri Kitila ni feki! Na kwamba baada ya kikao kijacho wakilazimika kuutoa ule orijino watafanya hivyo!
My take: chadema mtamfanya Zito aseme ambayo hakutaka kuyasema!itakula kwenu!

Weka mada yako vizuri
'Eti wanadai' kina nani hao?? Lukuvi au Pinda???
 
Mungu atalitikiasa jiwe mpaka maji mazuri ndiyo yabaki kwa ajili ya matumizi,asilimia tisa (9) ndo wataleta ukombozi,masalia watachujwa wote

Maji mazuri si ni wanakaskazini!
 
Mi nasubiri kwa hamu nisikie jinsi ambavyo yule dogo wa ubungo aliokataa shule atakavyolishwa maneno ya kutamka kwamba Zito amefukuzwa halafu muone!

usije tafuta sababu na vimaneno vya kicheni pati, hatutakuelewa, manake unamuulizia kifaru porini.
 
Back
Top Bottom