Aibu: Picha za Mameya wa jiji la Dar tokea Uhuru zimebandikwa ukumbi wa Karimjee isipokuwa ya Isaya Mwita

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,034
144,387
Nashindwa kuamini kabisa kuwa hii ndio chuki iliyopo katika siasa zetu.

Hapa ni Ofisi za Meya wa Jiji Karimujee hall Wamewaka Picha za Mameya wote Kabla ya Tanganyika Kupata Uhuru na baada ya Uhuru, Mpaka Meya huyu wa Sasa. Wanatambua Mameya wa Kizungu na Kihindi ila Wamegoma Kutambua Meya wa Chadema 2016 to 2020 Nchi hii inanuka Chuki na Ubaguzi



 
Nashindwa kuamini kabisa kuwa hii ndio chuki iliyopo katika siasa zetu.

Hapa ni Ofisi za Meya wa Jiji Karimujee hall Wamewaka Picha za Mameya wote Kabla ya Tanganyika Kupata Uhuru na baada ya Uhuru, Mpaka Meya huyu wa Sasa...
chuki ambazo hazina faida,akwezwaye atashushwa ipo siku.
 
Uhuni tu huu. Kwanini hakuna picha ya meya wa Chadema? Kama walijisahau warekebishe haraka.
 
yaani wameweka picha za wahindi na wazungu wakasahau picha ya nyani-ulaya mwenzetu kweli limagufool lilikokuwa likiipeleka nchi linajua lenyewe
 
yaani wameweka picha za wahindi na wazungu wakasahau picha ya nyani-ulaya mwenzetu kweli limagufool lilikokuwa likiipeleka nchi linajua lenyewe
Magufuli hivi bado yupo duniani hadi useme hivyo as if yeye ndiyo kawapa hiyo order.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…