Akili za BAVICHA utazijua tu.Tatizo umekurupuka kama mtu anaye kunya kichakani akafumwa...
Eti uchaguzi wa
Kigango! Halafu mtu analeta hiyo habari kwenye jukwaa la siasa. Niseme
nini juu ya uelewa wa mtu kama huyu? Hajaenda shule? Akili zimepungua?
Alipata ajali ya kichwa? Au aliugua degedege utotoni? Niseme
nini?
Ukisikia udini ndio huu.
Hii inadhihirisha kuwa Gaudence Lyimo amechokwa na wananchi, siyo kanisani, msikitini na kwa jamii yote
Ukisikia udini ndio huu.
Maana yake
huyo Meya wenu wa Kichina hana Ushawishi tena... Hata Udiwani hatapata
tena..
Udini kwa nani sasa?Wanaoenda jenga base ktk nyumba za ibada aua wanaowashangaa walichemsha ktk nyumba za ibada.CCM ndio wapo busy ktk nyumba za ibada usiku na mchana.SI maaskofu si masheikh wanalalamika kwa fujoa zilizowaigilia.
Na Uchaga pia kwa sana. Ama unafikiri Lyimo ni Mmasai?
Tumemchoka kiukweli huku Arusha kama ccm ni wajanja wamtoe tu huyu meya wa kichina.
Na Uchaga pia kwa sana. Ama unafikiri Lyimo ni Mmasai?
Akili za Bavicha utazijua tu.
Amechokwa na wananchi amechokwa na hicho kikundi cha watu 58?
Inasikitisha kuona kuwa mtu huwezi kuwa mwana CHADEMA mpaka uwe mzandiki kama huyu Mungi.
Sasa huu uchaguzi unadhani unaweza kuthibitisha kuwa meya Lymo amechokwa?
BTW, sidhani kama taarifa yako ina tija kwa maana madiwani wenu wote wameridhia kufanya nae kazi kama meya wa jiji la Arusha.