Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Kwani tumesahau ya Sumbawanga? na huko ndio yale yale tu.
Kwaini umechagua Foxy?na si bint makhata?...Huyo jamaa alijua kabisa kuwa ni kiongozi wa kisiasa na makundi mengine ya jamii halafu akaenda tena kanisani kutafuta uongozi mwingine ni wazi ,anayo shida.Ni kawaid aya CCM.
Sumbawanga wanayo shida..ni mikoa yenye makabila ambayo ni ngumu sana kuwapa kuwasaidia wawe dini moja angalau kwa kiasi kinachozdi asilimia 40% wale watu siwezi shangaa kumkuta mganga ana dini, ya asili, ya kigeni na anatembea na mke watu au mume wa mtu, na wanatishiana kuuana.Ni yale makabila ukiwatuma Kilimanjaro wakawamalize wachaga wanakwenda olewa huko na kuanza kana kwao , wakitekenywa kidogo wanasema walichotumwa na kwanini wameona ni ujinga na wamependa sana maisha ya wenyeji.