Hii inahusiana vipi na circular politics?
Hii inahusiana vipi na circular politics?
Eti uchaguzi wa Kigango! Halafu mtu analeta hiyo habari kwenye jukwaa la siasa. Niseme nini juu ya uelewa wa mtu kama huyu? Hajaenda shule? Akili zimepungua? Alipata ajali ya kichwa? Au aliugua degedege utotoni? Niseme nini?
Hii inahusiana vipi na circular politics?
Na hao ni viongozi tu ambao wamewakilisha walio wengi. Mbaya zaidi kuna viongozi ambao ni ndugu zake nao wamemkataa
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Lyimo is just cursing himself na siasa chafu za ccm na chadema...
huyo jamaa hafai hata kwa service
too sad kwa Meya Lyimo, ina maana hakujipigia kura?
Daaaah waarusha wakiamua hawarudi nyuma kabisa. Ni somo tosha kwake kwamba hata kama una kila kitu lakini kama hupendwi na wananchi nia aibu.
haha radhia usichukulie kimzaha namna hiyo..Pengine hujaangalia idadi ya watu wa imani yake eneo alilogombea..arusha kuna maneo makanisa bado si mengi na hivyo kanisa moja kuhudumia watu wengi sana..Hii inatosha kabisa kuwa influence hadi nje ya uwanja.Mahali penye waumini wengi ambao nao ni wapiga kura wako engi unaweza chezesha kibuyu ukahamisha mapenzi.Demu uliyewahi wahi chat naye office na kumshirikisha andaa function ya office unaweza kaa naye meza moja km si siti moja ktk safari.
Ndio maana sehemu ambazo kuna waislam au dini fulani moja...kiongozi wa hiyo dini km anaheshimika na rais wa nchi ni muumini wake kuna uwezekano huyo kiongozi wa dini akaongoza nchi indirectly.
Amechokwa na wananchi amechokwa na hicho kikundi cha watu 58?
Inasikitisha kuona kuwa mtu huwezi kuwa mwana CHADEMA mpaka uwe mzandiki kama huyu Mungi.
Sasa huu uchaguzi unadhani unaweza kuthibitisha kuwa meya Lymo amechokwa?
BTW, sidhani kama taarifa yako ina tija kwa maana madiwani wenu wote wameridhia kufanya nae kazi kama meya wa jiji la Arusha.
Wapiga kura 56
Wagombea 2
Jumla 58
???? hata yeye mwenyewe kashindwa jipigia?
Inamaana hata yeye hakujipigia kura!?
Aibu hii...ukiona hadi waumini wenzako wanakukataa jua...