GE2025 Susan Lyimo: Uchaguzi mkuu wa 2025 kama utaendeshwa kwa kanuni zile zile utakuwa umekosa mvuto

GE2025 Susan Lyimo: Uchaguzi mkuu wa 2025 kama utaendeshwa kwa kanuni zile zile utakuwa umekosa mvuto

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,143
Akizungumza leo Agosti 22,2025 kwa njia ya mtandao, Susan Lyimo Mwenyekiti Mteule wa Baraza la Wazee la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAZECHA), amesema, “Uchaguzi Mkuu wa 2025 kama utaendeshwa kwa Sheria na Kanuni zilizopo utakuwa umekosa mvuto wa Kitaifa na Kimataifa kutokana na madhira yanayofanywa kwa Vyama vya Upinzani hususan CHADEMA”

“BAZECHA tunawataka Watawala kusikiliza matakwa ya wengi kwa maana ya Watanzania na kuchukua hatua za haraka za kufanya mabadiliko ya Kikanuni na Kisheria ya Uchaguzi Mkuu ili taifa liingie kwenye Uchaguzi huru na wa Haki”
 
Wanamtandao suala la legitimacy kama haliwashughulishi kabisa,roho ya ibilisi ilishawakamata
 
Back
Top Bottom