Otorong'ong'o
Platinum Member
- Aug 17, 2011
- 39,169
- 28,820
Naona huna hoja ndio maana ameamuwa kuhororoja.
Za asubuhu ustadhat...
Naona huna hoja ndio maana ameamuwa kuhororoja.
Habari za parokia jukwaa la siasa..
Hii inahusiana vipi na circular politics?
Inamaana hata yeye hakujipigia kura!?
Aibu hii...ukiona hadi waumini wenzako wanakukataa jua...
Amechokwa na wananchi amechokwa na hicho kikundi cha watu 58?
Inasikitisha kuona kuwa mtu huwezi kuwa mwana CHADEMA mpaka uwe mzandiki kama huyu Mungi.
Sasa huu uchaguzi unadhani unaweza kuthibitisha kuwa meya Lymo amechokwa?
BTW, sidhani kama taarifa yako ina tija kwa maana madiwani wenu wote wameridhia kufanya nae kazi kama meya wa jiji la Arusha.
Mtumzima🙂Wapi siasa na kanisa?Hivi nashangaa Tangu lini huyu Mayor kalipua watu au kuwamwagia Tindikari Hadi Anuke Damu?Angalia mchangiaji ushabiki wako wa kuhongwa Viroba Usikughalimu mbele za Mungu,ongea kitu cha kweli.
Achana na huyu kuku maana mie pia alishanisababishia hyo mamboHalafu wewe ulinisababishia BAN
by munguatosha🙂mwenye kumwaga Damu anajulikana hata wewe unamjua Hivyo,hizo ni siasa tu,Kelele .za chura hazimzuii .ng'ombe kunywa maji .ananuka damu, asanteni sana wana parokia husika kwakumuangush huyo fisadi wa roho za watu
by munguatosha🙂mwenye kumwaga Damu anajulikana hata wewe unamjua Hivyo,hizo ni siasa tu,Kelele .za chura hazimzuii .ng'ombe kunywa maji .