Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,920
- 4,242
Hii ndo tz bwana.
Sasa hapo ulichoshangaa ni kipi???
Mi naona bonge la dili.
Yaani huyo kijana ana akili sana.
Mi mmoja nlimshuhudia ponara indiraghandi street ananunuliwa bonge la mcheni white gold na wa haja na bonge la kidani mama zikamtoka kama dola 1000 mi kuzihesabu sana noma
Mi na yule mkaka tukapeana ishara tukacheka ... Hao wakaondoka zao.
Baada ya kijana kuchagua.
Hio ndo inavyotakiwa siyo apoteze nguvu zake za bure.
We unamshangaa mwenzako anaendesha familia anategemewa.
Ha ha shikamoo mamayeyoo
Ha ha ha. binti wewe mcharuko..hujatulia
Last edited by a moderator: