Jana mchana wa saa 8 hivi niliona kituko na nikahisi aibu sana. Nilikuwa ndani ya posta ya Meru(Arusha) kwenye foleni ya dirisha la Western Union. Watu walikuwa wengi wakisubiri kuhudumiwa na wengi tulisimama kwani viti ni vichache. Nilipochoka kusimama nikatupa macho sehemu kwenye viti kama kuna upenyo nikae. Lahaula! Nilimwona kijana wa kiume wa Kiarika mwenye umri kati ya miaka 20-25 akiwa ameketi na mama mzee wa kizungu asiyepungua miaka 60. Uzee wa huyu bibi ulionekana wazi kwani hata ngozi yake ilikuwa imekunjamana na kupwaya. Mama huyo alikuwa amekumbatiwa na huyo kijana kwa mkono mmoja na mkono wa pili wa kijana ulikuwa busy akimkuna kuna bibi kizee yule na kumpapasa papasa kimapenzi. Bibi alikuwa ametulia tuli akionesha kuwa anafurahia zoezi la kijana. Kila mtu pale karibu yao alikuwa akiwatazama lakini kijana hakujali, alikuwa serious na kazi yake. Nilihisi aibu sana kwa sababu yule kijana alikuwa mtoto sana kwa yule bibi na pia niliogopa kuendelea kuwatazama kwa sababu nilihisi yule kijana ni mwanangu nikajikuta nataka nikamchape kibao aache ujinga ule. Mama wa kizungu akaitwa akachukue pesa dirishani. Wakapelekana akiwa bado kakumbatiwa. Mama alipokea pesa akampa mtoto akaziweka kibindoni, haooo wakaondoka wakisindikizwa na macho kama 50 hivi. Jamani! ndo nini hii? Mungu tuhurumie.
Umri ni jambo moja ila issue kubwa ni vile vitendo alivyokuwa akifanya huyu mtoto hadharani. Hapo ndipo AIBU ilipokita zaidi. Kuweka maadili pembeni ndo akili mu kichwa? Haya wee.Sasa wewe unashangaa nini kwa kijana mwenye umri kama huu kutembea na kikongwe? Kuna dada zetu tunawafahamu ila hatutaki kuwataja humu JF wako in their mid 30's wameolewa na wazee wa kizungu in their late 60's. Waswahili wanasema akili mu kichwa, hupo hapoooo?
Umri ni jambo moja ila issue kubwa ni vile vitendo alivyokuwa akifanya huyu mtoto hadharani. Hapo ndipo AIBU ilipokita zaidi. Kuweka maadili pembeni ndo akili mu kichwa? Haya wee.
Kwa sababu hao wote uliotaja wanafanya hayo mambo bado haihalalishi kuwa ni sahihi. Usiwe na hasira kwa watu kutoa maoni yao. Jambo zuri au baya lazima lisemwe tu.Yaani wewe? Unashangaa nini? Dada zetu huko majuu wanalazimishwa kufanya mambo ya hajabu na vizee vyao hadharani mbona hawajifichi? Njoo hapa Dar maeneo ya Coco Beach au kule Kigamboni utaona wazee wa kitanzania (vigogo) wa miaka 60+ na visichana vya kibongo fleva wakila bata. Mtoto wa miaka 17 anapakatwa na kikongwe mvi toka matakoni mpaka nyusoni na demu haoni noma anachekelea tu huku akipapaswa matiti. Au ni kwa kuwa mzungu yuko na mbongo mnaanza kulalamika. Wamependana ni kivyao nyie ama sie havituhusu. Waacheni wale raha zao, alaaaaaaa!:A S angry:
Kwa sababu hao wote uliotaja wanafanya hayo mambo bado haihalalishi kuwa ni sahihi. Usiwe na hasira kwa watu kutoa maoni yao. Jambo zuri au baya lazima lisemwe tu.
Umri ni jambo moja ila issue kubwa ni vile vitendo alivyokuwa akifanya huyu mtoto hadharani. Hapo ndipo AIBU ilipokita zaidi. Kuweka maadili pembeni ndo akili mu kichwa? Haya wee.
Jana mchana wa saa 8 hivi niliona kituko na nikahisi aibu sana. Nilikuwa ndani ya posta ya Meru(Arusha) kwenye foleni ya dirisha la Western Union. Watu walikuwa wengi wakisubiri kuhudumiwa na wengi tulisimama kwani viti ni vichache. Nilipochoka kusimama nikatupa macho sehemu kwenye viti kama kuna upenyo nikae. Lahaula! Nilimwona kijana wa kiume wa Kiarika mwenye umri kati ya miaka 20-25 akiwa ameketi na mama mzee wa kizungu asiyepungua miaka 60. Uzee wa huyu bibi ulionekana wazi kwani hata ngozi yake ilikuwa imekunjamana na kupwaya. Mama huyo alikuwa amekumbatiwa na huyo kijana kwa mkono mmoja na mkono wa pili wa kijana ulikuwa busy akimkuna kuna bibi kizee yule na kumpapasa papasa kimapenzi. Bibi alikuwa ametulia tuli akionesha kuwa anafurahia zoezi la kijana. Kila mtu pale karibu yao alikuwa akiwatazama lakini kijana hakujali, alikuwa serious na kazi yake. Nilihisi aibu sana kwa sababu yule kijana alikuwa mtoto sana kwa yule bibi na pia niliogopa kuendelea kuwatazama kwa sababu nilihisi yule kijana ni mwanangu nikajikuta nataka nikamchape kibao aache ujinga ule. Mama wa kizungu akaitwa akachukue pesa dirishani. Wakapelekana akiwa bado kakumbatiwa. Mama alipokea pesa akampa mtoto akaziweka kibindoni, haooo wakaondoka wakisindikizwa na macho kama 50 hivi. Jamani! ndo nini hii? Mungu tuhurumie.
Jamani hioz ndo ajira alizotengeneza muheshimiwa jk vijana wamekula shavu mradi maisha yanasogeaahahaaaaaa kumbe wengi tumemshangaa huyu kijana....ni bounser pale Pin Point....Yaani ni full kioja...hizi njaa zitawaathiri vijana wanaopenda kubweteka mkuu