Aibu kubwa

Aibu kubwa

Hapo shida ni nini?
1. Utofauti wa umri
2. Kushikana kimahaba mbele ya kadamnasi

Mleta mada naona kama yote umeona ni kero lakini binafsi naona kwa habari ya umri hakuna shida yoyote...iweje mwanaume akiwa mkubwa ni sawa lakini si kwa mwanamke???

Umri sio issue kivile...ila kila mtu aliyemuona amekereheka mkuu....ni wa hovyo....so to speak
 
Umri sio issue kivile...ila kila mtu aliyemuona amekereheka mkuu....ni wa hovyo....so to speak

na wewe ukikuwepo???ulimuona??
Au wewe ndo mamayeyo
 
Last edited by a moderator:
Afadhali ya huyo anaelelewa kuliko angekua shoga................
 
mzee ni yupi
na kiajana ni yupi?
 
Mkuu tuheshimiane,hapa mjini kila na kazi yake!
 
Siku mtamkutA. Kainamishwa na bwana kizungu..sijui mtasema anatafuta Pesa

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Penal code(Cap 16) inakataza mtu kufanya mapenzi na msichana alie chini ya umri wa miaka 18 na kama akifanya nae mapenzi kwa ridhaa au bila ridhaa ya huyo mwanamke basi mwanaume atakuwa amebaka!,law of Marriage Act,1971 R.E2002 inakakataza mwanamke kuolewa akiwa hajafikisha miaka 18 ingawa kama ana miaka 15 anaweza olewa kwa ridhaa ya wazazi!vitabu vitakatifu havisemi ni umri upi hasa mtu anaweza kuaza kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi! Wanawake wengi tu wanatoka na vibabu watu wanaona kawaida tu so acheni kijana ajitume na ulimwengu ujue kuwa ana mpenda kikongwe wake!
 
na wewe ukikuwepo???ulimuona??
Au wewe ndo mamayeyo
mimi sikuwepo hapo posta meru,..ila nilimuona sehemu ingine,na kwasababu alikuwa gumzo na namfahamu haikuwa shida...need more expla..?

By the way..mimi sio mamayeyo ni babayeyo.
 
Pesa ndo mpango mzima hapa town,watu wapo kimaslahi zaidi na mambo ya true love hayo yatakuja baadaye sana.Usicheze na pesa,unaweza hata ukanyang'anywa mke kwa sababu tu ya pesa.
 
Hii ndo tz bwana.Sasa hapo ulichoshangaa ni kipi???Mi naona bonge la dili.Yaani huyo kijana ana akili sana.Mi mmoja nlimshuhudia ponara indiraghandi street ananunuliwa bonge la mcheni white gold na wa haja na bonge la kidani mama zikamtoka kama dola 1000 mi kuzihesabu sana nomaMi na yule mkaka tukapeana ishara tukacheka ... Hao wakaondoka zao.Baada ya kijana kuchagua.Hio ndo inavyotakiwa siyo apoteze nguvu zake za bure.We unamshangaa mwenzako anaendesha familia anategemewa.Ha ha shikamoo mamayeyoo
kwaio unaona fresh mtu kuuza utu wake kisa matatizo au ili kuendesha maisha? umasikini bwana..ndo mana wazungu wanasemaga TIA..This Is Africa..there is no true love in Africa...nafikiri kama angekua ni mwanao au mdogo wako ungekua na msimamo tofauti..hapo..ova...
 
Last edited by a moderator:
duh! Jamaa anapiga mapenzi kama kukuku
Tz aisee noma!!
 
Acha wafurahie hizo dola wanazopata,wakipewa mbwa wafanye naye mapenzi wafurahi pia!
 
duh jamaa anafanya mapenzi kama kuku
Wavyungu bana wanatuharibia maadili
 
wewe ulifuata yako, yao waachie!! mbona dada zetu wana megwa na vibabu vizungu haushangai?! hii ndo bongo Kazi ni Kwako!
 
hivi huo umri huwa unaonekana kwa wanaume kwa vibibi tu...mbona visichana na vibabu hamjengi hoja?
 
Nakupenda bibi kizee,nakupenda kikongweeeeee!una macho mekundu kama pilipili
 
Ng'ombe hazeeki maini, hapa wanadengua sana, acha kijana ampumzishe bibi, atamchapa nao tu..
 
Back
Top Bottom