Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
Niliwahi kuleta uzi hapa nikiwasihi wabunge wa CHADEMA waliokuwa wakitoka kuhojiwa takukuru wasitupe majibu tusiyoyahitaji.
Hasa suala la makato ya pesa kwa wabunge wao, kwani hakuna aliyekuwa anahoji makato, bali maswali yalikuwa ni matumizi.
Sasa leo kupitia itv mbunge Cecil Mwambe ameliweka wazi kuwa, tatizo siyo makato, tatizo ni matumizi!
Makamanda naomba mje hapa mjibu ufisadi huu uliolalamikiwa na mh. Lijualikali mbunge wa Chadema wakati huo.
Je, Mwamba na kundi lake watatoka?
Sijaiona kamati ya wapigaji bungeni muda mrefu, nadhani wanahangaika namna bora ya kuvuka ukizingatia Bunge linaisha kesho.
Hivyo zile kelele za ooh mbunge au kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni hazitakuwepo.
Mwamba atabaki kama mwamba.
Bulaya atabaki kama Bulaya.
Mdee atabaki kama Mdee
Msigwa atabaki kama Msigwa
Naona sasa kumekucha!
Hivyo tunataka majibu.
Hasa suala la makato ya pesa kwa wabunge wao, kwani hakuna aliyekuwa anahoji makato, bali maswali yalikuwa ni matumizi.
Sasa leo kupitia itv mbunge Cecil Mwambe ameliweka wazi kuwa, tatizo siyo makato, tatizo ni matumizi!
Makamanda naomba mje hapa mjibu ufisadi huu uliolalamikiwa na mh. Lijualikali mbunge wa Chadema wakati huo.
Je, Mwamba na kundi lake watatoka?
Sijaiona kamati ya wapigaji bungeni muda mrefu, nadhani wanahangaika namna bora ya kuvuka ukizingatia Bunge linaisha kesho.
Hivyo zile kelele za ooh mbunge au kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni hazitakuwepo.
Mwamba atabaki kama mwamba.
Bulaya atabaki kama Bulaya.
Mdee atabaki kama Mdee
Msigwa atabaki kama Msigwa
Naona sasa kumekucha!
Hivyo tunataka majibu.