Umefurahiii?!!!! Akili yako haiko sawa wewe
Kimweli lazima utakuwa CHADEMA wewe. Hawa-appreciate chochote. Tunamlaumu Rais wakati sisi wananchi hatutimizi wajibu wetu. Ni usanii mtupu kuanzia wanafunzi mpaka mawaziri. what do you expect?!!!!!!
Umefurahiii?!!!! Akili yako haiko sawa wewe
Hongera sana Rais Kikwete kwa kufungua chuo kikuu.
haya ni maswali ya msingii ambayo huyo zomba alipaswa atudadavulie kwasababu analeta ushabiki wakijinga basi tena akaleta jujuuu ,Great Thinker!!!!!!!!!!Kimejengwa kwa Sh.ngapi na chanzo cha fedha hizo ni nini?
Kitaendeshwa kwa budget ipi?
Kitasomesha watu gani na wangapi kwa mara moja?
haya ni maswali ya msingii ambayo huyo zomba alipaswa atudadavulie kwasababu analeta ushabiki wakijinga basi tena akaleta jujuuu ,Great Thinker!!!!!!!!!!
zomba mjibu huyu Deus F Mallya ndio aliyehitaji hayo maelezo alafu mada yote hamna aliyetamka chadema wee ndio unasema hiv i ukikaa hujatamka dr slaa au chadema unaugua,unamambo yakitoto kitoto sana we dogo let bygones be bygones bana weweChuo kimefunguliwa unauliza bajeti, halafu unasema maswali ya masingi, unafikiri kitajiendesha bila kuombewa bajeti?
Wewe umeshawahi kuuliza bajeti ya chadema na vyanzo vyake vya mapato na zinavyotumika hata siku moja? ingawa kuna tuhuma zimerushwa humuhumu JF kuwa Slaa amekopa chadema na kumjegea jumba la kifahari Josephine. Na tuhuma zingine ni kuwa Mbowe kawauzia chadema mafuso mtumba kwa millioni 350 na viongozi wengine wamekopa mamilioni ya chama kasoro Zitto tu, umeshayauliza yote hayo? Funguka.
Sio Chuo Kikuu, ni Chuo Cha Taifa, kwa kiingereza National Development Collegeeeeeeee, kwa hiyo hii ni colllegeee, ya wanajeshi, sasa kwa sasa ni mapema saana kwa mimi kusema ni cha nini? inawezakana lugha? kiingereza, kiarabu, kifaransa, uongozi nk
hizo ni porojo siasa ni uadui mkubwa kuliko unavyoweza kudhani,acheni kuishi kwa kauli mbiu siasa ni jambo baya sana japo simuungi mkono kwa kukataa hata yaliyo mazuri.asiyeona ubaya na uadui wa siasa huyo ni kipofu.sidhani kama umetafakari vya kutosha ulicho andika, hoja hujibiwa kwa hoja na sio matusi wala kejeli.
Mtu Yeyote anapo patia asifiwe na anapo kosea akosolewe.
Siasa sio uadui, hii nchi ni yetu sote, jk akifanya zuri litatunufaisha sote na anapo kosea litatugharimu sote.
zomba mjibu huyu Deus F Mallya ndio aliyehitaji hayo maelezo alafu mada yote hamna aliyetamka chadema wee ndio unasema hiv i ukikaa hujatamka dr slaa au chadema unaugua,unamambo yakitoto kitoto sana we dogo let bygones be bygones bana wewe
Zomba hana uwezo au uelewa wa kuweza kujibu haya maswali. Yeye anaposikia chuo kikuu cha kijeshi, mawazo yanamtuma kwamba ni Military University. Kumbe hajui kwamba tuna hata chuo kikuu cha polisi kurasini na chuo kikuu cha magereza ukonga. Hapa haina maana kwamba ni universities, bali katika mafunzo yao ya kijeshi vyuo hivyo ndiyo vinatoa mafunzo advanced. Haina maana ukitoka hapo unakuwa na digrii au diploma ya kijeshi, ya polisi au ya magereza.