Ahsante Kikwete - Chuo Kikuu Kingine

Ahsante Kikwete - Chuo Kikuu Kingine

Zomba, asilimia kubwa ya Watanzania wameshaweza kutofautisha Chuo Kikuu na chuo cha kawaida.., achilia mbali chuo cha mafunzo fulani peke yake. Jaribu kuweka propaganda zako kitaalamu zaidi huenda ikasaidia, kwa hii nadhani impact imekuwa ndogo sana.
 
kwani ukiwa mpinzani ndo upinge kila kitu? wewe ni mpingaji au mpinzani? Ukweli lazimwe unenwe japo kwa wengine mchungu
 
Kizuri kwanini hakipewe sifa yake
Huyu president wetu mbona kila zuri analofanya halisifiwi?
Yeye ana mabaya tu! Acheni mambo yenu nyinyi! Bias hizo ila dr. Slaaa hata matope ni mazuri wa jamaa wachache ila la kikwete zuri lolote ni utumbo.
Mungu ni mkubwa sana kuweza kufanya batili na haki visichanganyike!
Ukweli

Kiongozi mzuri hasifiwi kwa kufanya kazi ambayo anapaswa aifanye katika hali ya kawaida, bali husifiwa pale anapofanya kwa uzuri zaidi. Hiki chuo kimejengwa na wachina na si yeye, sasa sifa ya nini? Halafu tuna mahitaji mengi sana kama wananchi zaidi ya chuo kama hiki
 
Asante kwa taarifa..,ila mtaarifu mh. Nahodha kuwa walalahoi tunadhani nchi na usalama wa raia unaweza kuwa bora zaid kama POLIS WAKIPIGWA CHINI na nafasi yao wakapewa SUNGUSUNGU maana nadhani sungusungu ni weledi zaidi na hawali rushwa.Polis wamegeuka wahalifu wenye yunifom
 
Wewe umeshawahi kuuliza bajeti ya chadema na vyanzo vyake vya mapato na zinavyotumika hata siku moja? ingawa kuna tuhuma zimerushwa humuhumu JF kuwa Slaa amekopa chadema na kumjegea jumba la kifahari Josephine. Na tuhuma zingine ni kuwa Mbowe kawauzia chadema mafuso mtumba kwa millioni 350 na viongozi wengine wamekopa mamilioni ya chama kasoro Zitto tu, umeshayauliza yote hayo? Funguka.[/QUOTE]

Zomba acha kuatack personalities, hakuna siasa kama hizo duniani. Credibility ya mtu hupimwa kwa kutii sheria. Hivi tumerudi era ya uhuru ya kujengewa kila kitu na wageni na sisi kuchekealea. Ni sawa na jirani yako kukabidhi bunduki na mbinu za kujilinda nyumbani kwako akafunga mtambo wa CCTV camera na ukadhani upo salama na majambazi.
 
ndo kukosa muelekeo huko.kwa nchi kama hii yenye njaa na ujinga uliopitiliza hicho chuo kitatusaidia nini?hivi kweli tunahitaji wanajeshi wengi kuliko tunavyohitaji madaktari,wauguzi na walimu?tuache ushabiki.
 
Chuo hiki nafikiri kipo kwenye orodha ndefu za ahadi zilizotolewa!
 
Kiongozi mzuri hasifiwi kwa kufanya kazi ambayo anapaswa aifanye katika hali ya kawaida, bali husifiwa pale anapofanya kwa uzuri zaidi. Hiki chuo kimejengwa na wachina na si yeye, sasa sifa ya nini? Halafu tuna mahitaji mengi sana kama wananchi zaidi ya chuo kama hiki

Kwanza hiki sio Chuo Kikuu kama Zomba anavyosema, pili ieleweke pia kwamba hizi ni juhudi za Wachina kuweka miguu yao hapa kijeshi maana tukae tukijua Mataifa yenye nguvu yanaangalia mbali sana kushinda sisi. Wakati sisi tunashindwa kuangalia wingi wa watu na kuwekeza miundombinu inayoendana na idadi hiyo, wenzetu wanawekeza miundombinu yenye kuwapa access kwa makoloni miaka inayofuata.

Mliwahi kusikia China waliwauzia Marekani vifaa vyenye uwezo wa kuingilia mitambo ya kijeshi Marekani? China wanafanya mambo kama hayo kupitia mitambo inayotengenezwa na kampuni za Huawei na ZTE ambazo zinakuwa funded specifically kwa shughuli fulani fulani, hizi kampuni zimeweka mizizi hapa siku nyingi na nadhani wanatuona sisi wote akiwemo JK hata wakati tunapoenda kujisaidia.
 
Hongera sana Rais Kikwete kwa kufungua chuo kikuu.

Emu toa upunguani wako umu kumpongeza mtu anafungua chuo cha kusomesha mawaziri na makatibu wa wizara(kama hujui ndio lengo la icho chuo) uku maelfu ya watoto wa kitanzania wanashindwa kuendelea na masomo ya juu baada ya kumaliza elimu kwenye secondary za kata.
 
Kiongozi mzuri hasifiwi kwa kufanya kazi ambayo anapaswa aifanye katika hali ya kawaida, bali husifiwa pale anapofanya kwa uzuri zaidi. Hiki chuo kimejengwa na wachina na si yeye, sasa sifa ya nini? Halafu tuna mahitaji mengi sana kama wananchi zaidi ya chuo kama hiki

Wewe kama mwananchi utakuwa ni mjinga ukitegemea Serikali ikupatie mahitaji yako yote. Serikali yenye maana inakupa elimu ili ujisimamie kwenye mahitaji yako.

Ask not what your country can do for you, Ask what you can do for your country - JFK
 
sidhani kama kuna cha kumpongeza
ametimiza wajibu wake tuache unafiki.
hakugombea urais ili aje kusifiwa
yapo mengi aliahidi 70% hajatimiza na miaka inayoyoma
atakaegombea atakuja na sera hizi hizo na kwa ujuha wetu tunamchagua tena tukiota maendeleo
kama ni haki kumkosoa anapokosea basi ni haki vilex2 kumsifu anapotenda mazuri hata kama ni jukumu lake, na sioni kama ni unafiki kumsifu mtu yeyote anapofanya vizuri. Big Up Kikwete. tunajua unatimiza wajibu kwa ari zote.
 
Wewe kama mwananchi utakuwa ni mjinga ukitegemea Serikali ikupatie mahitaji yako yote. Serikali yenye maana inakupa elimu ili ujisimamie kwenye mahitaji yako.

Ask not what your country can do for you, Ask what you can do for your country - JFK

Mimi na wewe sijui nani mjinga (kama unaelewa maana yake).Yaani nitozwe kodi zote hizo halafu nikae kimya? Kwanza nani anataka hiyo elimu ya mchakamchaka? Ndio priority kwenu sio?

Kulikuwa na umuhimu gani wa kujenga hiki chuo wakati tuna TMA kule Monduli, Arusha ambayo inahitaji maboresho tu?

Tatizo lako Zomba unaingia hapa kwa ToR unazopewa na wengine bila kutumia akili yako mwenyewe.
 
Mkuu hivi mzigo huwa unapiga saa ngapi?
Wewe kama mwananchi utakuwa ni mjinga ukitegemea Serikali ikupatie mahitaji yako yote. Serikali yenye maana inakupa elimu ili ujisimamie kwenye mahitaji yako.

Ask not what your country can do for you, Ask what you can do for your country - JFK
 
Mimi na wewe sijui nani mjinga (kama unaelewa maana yake).Yaani nitozwe kodi zote hizo halafu nikae kimya? Kwanza nani anataka hiyo elimu ya mchakamchaka? Ndio priority kwenu sio?

Kulikuwa na umuhimu gani wa kujenga hiki chuo wakati tuna TMA kule Monduli, Arusha ambayo inahitaji maboresho tu?

Tatizo lako Zomba unaingia hapa kwa ToR unazopewa na wengine bila kutumia akili yako mwenyewe.

Elimu ndio priority kwenye nyanja zote. Huna ujanja katika hilo na kama hulikubali unadhihirisha ujinga wako bayana.

Kikwete toka kaingia madarakani kaweka rikodi ya kutukuka kwenye elimu zote kuanzia msingi, sekondari, vyuo vyote. Hakuna intake kubwa ya wanafunzi wa nyanja zote kama wakati wa Kikwete. Kikwete anafanya kweli.
 
Zomba hana uwezo au uelewa wa kuweza kujibu haya maswali. Yeye anaposikia chuo kikuu cha kijeshi, mawazo yanamtuma kwamba ni Military University. Kumbe hajui kwamba tuna hata chuo kikuu cha polisi kurasini na chuo kikuu cha magereza ukonga. Hapa haina maana kwamba ni universities, bali katika mafunzo yao ya kijeshi vyuo hivyo ndiyo vinatoa mafunzo advanced. Haina maana ukitoka hapo unakuwa na digrii au diploma ya kijeshi, ya polisi au ya magereza.

Pamoja na PhD yako bwana Zomba unaonekana unaishi kwa Kura za Mungu hapo UD .Napata mashaka makubwa mno na mwenendo na PhD yako hakika .Anyway unaweza kubahatika si unaona mwenzio Mkandara ?
 
Elimu ndio priority kwenye nyanja zote. Huna ujanja katika hilo na kama hulikubali unadhihirisha ujinga wako bayana.

Kikwete toka kaingia madarakani kaweka rikodi ya kutukuka kwenye elimu zote kuanzia msingi, sekondari, vyuo vyote. Hakuna intake kubwa ya wanafunzi wa nyanja zote kama wakati wa Kikwete. Kikwete anafanya kweli.

Okay tufanye uko sahihi........
 
Another wastage of taxpayer money.The ay doesnt have modern equipment.still building military college.Who
will come from outside toyour learn your primitive military kwnowledge
 
Si jambo la kufurahia sana hii misaada tunayo pewa na hawa weupe. tutakuja juta. kila kitu kinacho fanyika utasikia wafadhiri wamechangia. "take care" malipo yake yatakuwa makubwa sana> mimi naona Tanzania ni kama tumeisha laaniwa, unshobokea misaada we uana akili timamu? na kuhusu rais kutoa uhuru wa vyomb avya habari, hii ni seheu ya unafki "akumulikae mchana usiku hukuchima 'mind you. mtakwisha kwa ubwege wenu
 
quote_icon.png
By Binti.com

Zomba hana uwezo au uelewa wa kuweza kujibu haya maswali. Yeye anaposikia chuo kikuu cha kijeshi, mawazo yanamtuma kwamba ni Military University. Kumbe hajui kwamba tuna hata chuo kikuu cha polisi kurasini na chuo kikuu cha magereza ukonga. Hapa haina maana kwamba ni universities, bali katika mafunzo yao ya kijeshi vyuo hivyo ndiyo vinatoa mafunzo advanced. Haina maana ukitoka hapo unakuwa na digrii au diploma ya kijeshi, ya polisi au ya magereza.

Huwa sikisii:

The NDC, which is situated at Kunduchi area in Dar Es Salaam, will partner wit the University of Dar Es Salaam to offer MA course in Strategic and Peace Studies.

Source: http://dailynews.co.tz/index.php/lo...hes-national-defence-college-in-dar-es-salaam
 
Back
Top Bottom