Ahsante Kikwete - Chuo Kikuu Kingine

Ahsante Kikwete - Chuo Kikuu Kingine

Zomba hana uwezo au uelewa wa kuweza kujibu haya maswali. Yeye anaposikia chuo kikuu cha kijeshi, mawazo yanamtuma kwamba ni Military University. Kumbe hajui kwamba tuna hata chuo kikuu cha polisi kurasini na chuo kikuu cha magereza ukonga. Hapa haina maana kwamba ni universities, bali katika mafunzo yao ya kijeshi vyuo hivyo ndiyo vinatoa mafunzo advanced. Haina maana ukitoka hapo unakuwa na digrii au diploma ya kijeshi, ya polisi au ya magereza.

Kumbe ni hivyo mie nilidhani ukitoka hapo unatoka hapo na labda Bachelor of Science in dealing with explosive weapons for journalist ambayo inatambulika, kumbe ni taaluma tu za kijeshi kwa ujumla
 
hapo umenena mkuu, tunahitaji uwekezaje mkubwa kwenye viwanda ili tuwatumie wasomi tunao watengeneza ipasavyo.
Mi nadhani ifike wakati sasa serekali isitegemee wawekezaji pekee, nayo iwekeze yenyewe kwenye viwanda kwa kufufua vilivyokufa na kujenga vingine vipya, then iuze 51 asilimia ya hisa nayo ibaki na 49 ktk umiliki.
Hili linawezekana kabisa, serekali inao uwezo huo na rais kikwete akiamua anaweza kulifanya hilo bila shida yoyote.
Kuna mengi kaamua na kayaweza, ni wakati sasa wa kuwekeza zaidi kwenye viwanda na kilimo cha umwagiliaji ili kupunguza tatizo la ajira na kuinua uchumi wetu.

Naungana na wewe mia kwa mia. Ila sitaki afufue viwanda vya zamani maana technologia ya viwanda hivyo imepitwa na wakati. Anatakiwa ajenge viwanda vipya ili kuendana na ushindani ulioko sokoni.

Kuhusu uwezo wa kujenga tunao mkubwa sana ila lazima tuachane na ubinafsi pamoja na kujali matumbo na sifa zisizo na maana(kununua magari ya kifahari, kutumia pesa kwa wingi katika pombe, kula na burudani). Tujibane na kuwekeza katika shughuli za uzalishaji zaidi. Tuachane na kulamba viatu vya watu kutoka nje wanaokuja kwa jina la wawekezaji au wahisani. Mambo iwe ni biashara kwa biashara na si vinginevyo
 
Kuanzia Gas, Mafuta na hata Madini yaligunduliwa tangu enzi za Nyerere. Mwalimu akaamulu viachwe vyote ili tujenge uwezo binafsi wa kuchimba na kuyatumia, Kikwete akakurupuka kutumia vyote hadi wanyama pori kaanza kuwauza. Leo unasema kagundua. itakuchukua muda kuelewa ukweli huu mpaka ntakapo kueleza bro. Na ndo nimeanza

Hakuna kitu kama hicho. Utafiti ulifanywa mwaka 1952, hiyo ni kabla ya Nyerere. Nani aje ku invest wakati wa Nyerere? hukijui kisa cha Tiny Rowlands na LONRHO? uliza.

Kikwete kafanya kazi kubwa kuwakinaisha hawa wawekezaji wa Kimataifa waje kuwekeza hapa, usifikiri zile safari anazokwenda anakwenda kucheza kule, hawa wawekezaji wanagombaniwa duniani kama mpira wa kona.
 
Mimi ningemsifu zaidi kama angeimarisha kwanza hivi vilivyopo. Vyote kwasasa havina waadhiri wa kutosha, havina vifaa na majengo (vyumba vya miadhara, maabara, hostel) ya kutosha. Vilevile viwango vya wanaodahailiwa vipo chini mnoo kutokana na kudhorota kwa elimu ya sekondari.
 
Hakuna kitu kama hicho. Utafiti ulifanywa mwaka 1952, hiyo ni kabla ya Nyerere. Nani aje ku invest wakati wa Nyerere? hukijui kisa cha Tiny Rowlands na LONRHO? uliza.

Kikwete kafanya kazi kubwa kuwakinaisha hawa wawekezaji wa Kimataifa waje kuwekeza hapa, usifikiri zile safari anazokwenda anakwenda kucheza kule, hawa wawekezaji wanagombaniwa duniani kama mpira wa kona.

Hamna lolote, wanagombaniwa na nchi zisizo na unique resources na sio kwa Tz ambayo inadefeat wapinzani kwa Copmetitive advantages ambazo zimejaa kemkem kila mahali Tz. Kama wanagombaniwa kwanini wanawahonga viongozi wetu vitu kama suti, ofa za kusafirishwa na kulala bure kwenye hotel za nje, kwa nini mataifa makubwa yanajengeana bifu pindi yanapozidiana katika kupata nafasi za uwekezaji katika nchi zinazoendelea? Kama hukumuelewa aliye kuambia "anaisifia Man U hata ikifanya makosa ua ujinga sababu ya ushabiki" alimaanisha wewe ni ushabiki ulionao kwa Kikwete ndio maana husikii wala huambiliki. Hata hivyo siachi kukujuza
 
big up presidaa, umejitahidi.
Binafsi naamini jk anaweza kufanya mengi zaidi, hajaamua tu kufanya.
Naamini hakuna linalo mshinda ila ni uamuzi wake tu unahitajika.

Kwa mwenye akili ataona matusi uliyomtusi kikwete (assuming kikwete anajua anachotakiwa kufanya). Vyovyote mtu mwenye akili timamu akitafsiri post yako ataona ama
1. kikwete ana uwezo wa kufanya mambo mazuri ila hataki tu (and only a f.o.ol would do that)
au
2. kikwete hajui anachofanya au anachotakiwa kukifanya (maana angejua basi angekifanya) which again makes him a fo.ol!
 
Nadhani ingekuwa vizuri kama ungemuuliza Waziri wa Elimu Dr Shukuru Kawambwa ungepata majibu murua, tunachojua JK kajenga chuo kikuu.

RITZ UMEKOSEA KAKA HICHO NI CHUO kikuu cha kijeshi hakipo chini ya wizara ya Elimu, bali kipo chini ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa hausomi hapo kama wewe si Mwanajeshi, Polisi, Magereza au TISS na Mkuu wa chuo hicho anaitwa Major General Makakala kwenye hiyo picha amevaa uniform za bluu na hajakanyaga red carpet kulia
 
Nadhani ingekuwa vizuri kama ungemuuliza Waziri wa Elimu Dr Shukuru Kawambwa ungepata majibu murua, tunachojua JK kajenga chuo kikuu.

Kumbe wengi humu ni mbumbumbu!
Mhe. Kawambwa na chuo cha jeshi wapi na wapi?

Michango iliyomo humu katika jamvi wakati mwingine hunikumbusha hadithi za Idi Amini wa Uganda alipomtaka msomi asiye daktari wa watu bali wa filosofia aende hospitali akatibu wagonjwa ati kwa sababu anaitwa dokta!!!???
 
RITZ UMEKOSEA KAKA HICHO NI CHUO kikuu cha kijeshi hakipo chini ya wizara ya Elimu, bali kipo chini ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa hausomi hapo kama wewe si Mwanajeshi, Polisi, Magereza au TISS na Mkuu wa chuo hicho anaitwa Major General Makakala kwenye hiyo picha amevaa uniform za bluu na hajakanyaga red carpet kulia

 
Last edited by a moderator:
Hakuna kitu kama hicho. Utafiti ulifanywa mwaka 1952, hiyo ni kabla ya Nyerere. Nani aje ku invest wakati wa Nyerere? hukijui kisa cha Tiny Rowlands na LONRHO? uliza.

Kikwete kafanya kazi kubwa kuwakinaisha hawa wawekezaji wa Kimataifa waje kuwekeza hapa, usifikiri zile safari anazokwenda anakwenda kucheza kule, hawa wawekezaji wanagombaniwa duniani kama mpira wa kona.

Sio Chuo Kikuu, ni Chuo Cha Taifa, kwa kiingereza National Development Collegeeeeeeee, kwa hiyo hii ni colllegeee, ya wanajeshi, sasa kwa sasa ni mapema saana kwa mimi kusema ni cha nini? inawezakana lugha? kiingereza, kiarabu, kifaransa, uongozi nk
 
Chuo kikuu cha kijeshi kinahusiana vp na mwananchi wa kawaida? We dont give a s*** about it
 
Usijekukuta chuo hicho kinaratibiwa na AFRICOM i.e US African Command! Inaendeshwa na wizara ya Ulinzi ya Marekani. Yaani kama ndo hao basi tuiondoe CCM madarakani haraka sana. AFRICOM ni mpango wa Marekani kushindana na China kwenye kumiliki rasilimali zetu

kaka kwani hujawaona wenyewe hapo kwenye taarifa ya habari? Ngojeni wawatangulizie advance ya chuo cha kijeshi waje mamalize raslimali zenu. Wachina wana mchezo na maisha?
 
HICHO CHUO NI MADRASA? KINATOA DEGREE, MASTERS GANI? LECTURERS WANATOKA WAPI? ELIGIBILITY YA KUJIUNGA WANACHUO NI IPI? TAKBIRRRRRRRRRRRRRRRR:shetani:
 
Building and university, wo-o-ooh, yeah! -
Receiving the people continually, yea-ea!
Me say them graduatin' thieves and murderers;
Look out now: they suckin' the blood of
the sufferers (sufferers).
Yea-ea-ea! (sufferers) Bob Marley
 
Halafu Kikwete anawafungulia vyuo vikuu, kusoma hamtaki.
Msiotaka kusoma si mnajulikana? then Chuo kimejengwa kwa fedha zetu wenyewe usipende kua na kipaji cha Upayukaji
 
Nadhani ingekuwa vizuri kama ungemuuliza Waziri wa Elimu Dr Shukuru Kawambwa ungepata majibu murua, tunachojua JK kajenga chuo kikuu.

JK rais wangu mpendwa kajenga chuo kikuu.
 
Msiotaka kusoma si mnajulikana? then Chuo kimejengwa kwa fedha zetu wenyewe usipende kua na kipaji cha Upayukaji

Zomba bana !!! Anasema hatutaki kusoma

Yale matokeo waliyoshinikiza yarudiwe yakawa published magazetini ndio yalizidi kuonyesha F kwa kwenda mbele...

Ukweli ni kuwa mjizatiti sana kuwekeza kwenye elimu

Chuo chetu cha TANESCO mrudishe bwana anzisheni mavyuo kedekede kama kanisa katoliki linavyofanya ....heheheheh
 
Baba wa Taifa alitunyima sana elimu.....hakujenga vyuo vya elimu ya juu ili watz wawe mazumburkuku..

na ndio maana alimpinga sana JK asiwe rais, alijua kuwa atakuja kutupa elimu na kutuamsha mwamsho wa kielimu
 
Back
Top Bottom