Ahsante Kikwete - Chuo Kikuu Kingine

Ahsante Kikwete - Chuo Kikuu Kingine

zomba, unaweza kutupa details zaidi kuhusu hicho chuo kikuu kipya cha kijeshi? i.e kiko affiliated, na chuo gani? funding zinatoka ndani au kwa nje, na kama ni nje ni nchi gani? kinajengwa/kimejengwa wapi? na kitachukuwa wananfunzi wangapi? shukrani.

Usijekukuta chuo hicho kinaratibiwa na AFRICOM i.e US African Command! Inaendeshwa na wizara ya Ulinzi ya Marekani. Yaani kama ndo hao basi tuiondoe CCM madarakani haraka sana. AFRICOM ni mpango wa Marekani kushindana na China kwenye kumiliki rasilimali zetu
 
mipango sio matumizi japo matumizi huanza kwa mipango. Afanye tuone

Sema, na jingine?

[h=3]Kiwanda cha chuma cha dola mil 220 kujengwa Dar[/h]

Mkurugenzi Mtendaji na Mwenyekiti wa Kampuni ya Kamal Group, Gagan Gupta (kulia), akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo Dar es Salaam juu ya kuwasili nchini kwa mitambo ya kutengeneza chuma inayotarajiwa kufungwa katika eneo la uwekezaji la Kamal lililopo Zinga wilayani Bagamoyo tayari kwa uzalishaji wa chuma. Kushoto ni mmoja wa wakurugenzi wa kampuni hiyo, Joe Kabisa.





Mitambo ambayo imeshaanza kuwasili tayari kwa kusimikwa.

Source:
lukwangule entertainment: Kiwanda cha chuma cha dola mil 220 kujengwa Dar
 
big up presidaa, umejitahidi.
Binafsi naamini jk anaweza kufanya mengi zaidi, hajaamua tu kufanya.
Naamini hakuna linalo mshinda ila ni uamuzi wake tu unahitajika.

Hapo kwenye red umesema kweli. ila Mh ! hajaamua mpaka lini ? maana bado miaka mitatu tu aondoke !
 
Hivi una mcho au una una ushahidi? umesoma hizo link nilizokuwekea? mpaka Oprah yuko USA ameona na ame appreciate, wewe uko hapa nyumbani huoni? amma kweli "wana macho lakini hayaoni, wana masikio lakini hayasikii".

Kalagabaho.

Oyaaah, na treni ya mjini Dar imeanza safari ya majaribio leo. October inaanza kazi rasmi, na Mabasi ya mwendo kasi barabara zake zimeshaanza kutengenezwa, umepita mtaa wa Morogoro road? labda hujaona, basi hata kusikia?

Kikwete anafanya kweli.

open you mind brother, nakuombe Mungu akupe macho yatakayokuwezesha kuona japo kwa umbali wa kurusha jiwe tu. Maendeleo ya kweli hayapimwi kwa vitu vilivyotekelezwa au vinavyotekelezwa. Maendeleo ya kweli hupimwa kwa usawa kati ya malighafi iliypo dhidi ya utekelezaji halisia. Na ndio maana hata hapo zamani kuna mtu aliwahi kutoa sh 1 na akaonekana ametoa zaidi kuliko wote, akiwazidi hata wale waliopata kutoa sh 1000. Sasa JK anapoteza nane na kuweka mbili bado unanishawishi nimsifie eti kwasababu mbili zinaoneka? Hainiingii akilini bro
 
open you mind brother, nakuombe Mungu akupe macho yatakayokuwezesha kuona japo kwa umbali wa kurusha jiwe tu. Maendeleo ya kweli hayapimwi kwa vitu vilivyotekelezwa au vinavyotekelezwa. Maendeleo ya kweli hupimwa kwa usawa kati ya malighafi iliypo dhidi ya utekelezaji halisia. Na ndio maana hata hapo zamani kuna mtu aliwahi kutoa sh 1 na akaonekana ametoa zaidi kuliko wote, akiwazidi hata wale waliopata kutoa sh 1000. Sasa JK anapoteza nane na kuweka mbili bado unanishawishi nimsifie eti kwasababu mbili zinaoneka? Hainiingii akilini bro

Kuna mtu aliyefanya jitihada ya kugunduwa malighafi Tanzania zaidi ya Kikwete? Hujasikia kuhusu Gas? na juzi Mafuta ziwa Tanganyika? hujui kuwa hizo zilikuwa ni jitihada binafsi za Kikwete kuwahakikishia haya mashirika makubwa usalama wao na mali zao watapokuwa wanafanya utafiti?

Kweli "wana macho lakini hayaoni, wana masikio lakini hayasikii".
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, ameendelea kuweka rikodi iliyotukuka katika nyanja ya Elimu na katika kuendeleza kauli mbiu ya Maisha Bora kwa Kila Mtanzania, amefunguwa Rasmi Chuo Kikuu Cha Kwanza Kijeshi Cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania
Hongera sana Kikwete, mpaka sasa tunaona juhudi zako na hii ni rekodi nyingine adhimu kwako na kwa Taifa.
Kwa hakika Elimu pekee ndio itayompa Maisha Bora kila

Mtanzania. Na unafanya kweli!

Vilaza hupongezana ! silly reasoning
 
Mimi naona JK amefanya vizuri katika hili. Ameanza na shule ili kuzalisha wataalamu wa kutosha na tunawona magraduate ambao sasa tunawaita majobless. sasa wanatosha. Naomba sasa tuhamie katika kujenga viwanda maana wataalamu tayari tunao. Vp hapo?

hapo umenena mkuu, tunahitaji uwekezaje mkubwa kwenye viwanda ili tuwatumie wasomi tunao watengeneza ipasavyo.
Mi nadhani ifike wakati sasa serekali isitegemee wawekezaji pekee, nayo iwekeze yenyewe kwenye viwanda kwa kufufua vilivyokufa na kujenga vingine vipya, then iuze 51 asilimia ya hisa nayo ibaki na 49 ktk umiliki.
Hili linawezekana kabisa, serekali inao uwezo huo na rais kikwete akiamua anaweza kulifanya hilo bila shida yoyote.
Kuna mengi kaamua na kayaweza, ni wakati sasa wa kuwekeza zaidi kwenye viwanda na kilimo cha umwagiliaji ili kupunguza tatizo la ajira na kuinua uchumi wetu.
 
"Master" anapozidiwa kwenye kila nyanja na kijana aliyemchezea rafu mwaka 1995, hapo sasa!
kikwete anaondoka 2015 mtafute mahandaki ya kujificha akiingia lowassa mmekwisha na akiingia chadema muhame nchi maana hakuna kulala chuo hichohicho kitawatokea puani.
 
Utasema sana,ya Global Publisher yamekushinda, nimekuwekea na IPP na Radio Free Africa, kubali tu hauna ujanja kwa hili, Ukweli unabaki kuwa Ukweli huna njia ya kuubadili. Na ni rikodi nyingine kwa Kikwete. Usiidanganye nafsi yako, Kikwete anafanya kweli.


Bahati nzuri umeweka picha ya banner kwenye post yako ya mwanzo. Soma vizuri, imeandikwa NDC - National Defence College. Then nenda kwenye maelezo ya post yako -University or college?
 
kikwete anaondoka 2015 mtafute mahandaki ya kujificha akiingia lowassa mmekwisha na akiingia chadema muhame nchi maana hakuna kulala chuo hichohicho kitawatokea puani.

Haijawahi kutokea Afrika mashariki na ya Kati, hii ni college of education tu, chuo chote hakienei kwenye camera. MashaAllah, Kikwete anafanya kweli:

udom-012-college-of-education-hostels23.jpg
 
Bahati nzuri umeweka picha ya banner kwenye post yako ya mwanzo. Soma vizuri, imeandikwa NDC - National Defence College. Then nenda kwenye maelezo ya post yako -University or college?

Tatizo lako ni elimu.

Chuo Kikuu.
 
Unatumwa illiterate kati ya Mnyika na Nape unachukua nani? Mbowe na Mzee wa Masafa unachukua nani? Halima Mdee na Bibi Kiroboto? Msalimie Wasira mwambie tunamsubili Bunda kwa hamu

Dah hii Bi kiroboto imenichekesha sana, alafu nikavuta picha ya zile meno ndo balaa!
 
Haijawahi kutokea Afrika mashariki na ya Kati, hii ni college of education tu, chuo chote hakienei kwenye camera. MashaAllah, Kikwete anafanya kweli:

udom-012-college-of-education-hostels23.jpg

UDOM Islamic college of Education au sio?
 
Kuna mtu aliyefanya jitihada ya kugunduwa malighafi Tanzania zaidi ya Kikwete? Hujasikia kuhusu Gas? na juzi Mafuta ziwa Tanganyika? hujui kuwa hizo zilikuwa ni jitihada binafsi za Kikwete kuwahakikishia haya mashirika makubwa usalama wao na mali zao watapokuwa wanafanya utafiti?

Kweli "wana macho lakini hayaoni, wana masikio lakini hayasikii".

Kuanzia Gas, Mafuta na hata Madini yaligunduliwa tangu enzi za Nyerere. Mwalimu akaamulu viachwe vyote ili tujenge uwezo binafsi wa kuchimba na kuyatumia, Kikwete akakurupuka kutumia vyote hadi wanyama pori kaanza kuwauza. Leo unasema kagundua. itakuchukua muda kuelewa ukweli huu mpaka ntakapo kueleza bro. Na ndo nimeanza
 
Back
Top Bottom