zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, ameendelea kuweka rikodi iliyotukuka katika nyanja ya Elimu na katika kuendeleza kauli mbiu ya Maisha Bora kwa Kila Mtanzania, amefunguwa Rasmi Chuo Kikuu Cha Kwanza Kijeshi Cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania.
Hongera sana Kikwete, mpaka sasa tunaona juhudi zako na hii ni rekodi nyingine adhimu kwako na kwa Taifa.
Kwa hakika Elimu pekee ndio itayompa Maisha Bora kila Mtanzania. Na unafanya kweli!
Photo source: http://2.bp.blogspot.com/-mgh60RLHe8s/UE4oZ3b2WkI/AAAAAAAABOU/mBTX2Erq-Mc/s1600/moja.jpg
Hongera sana Kikwete, mpaka sasa tunaona juhudi zako na hii ni rekodi nyingine adhimu kwako na kwa Taifa.
Kwa hakika Elimu pekee ndio itayompa Maisha Bora kila Mtanzania. Na unafanya kweli!
Photo source: http://2.bp.blogspot.com/-mgh60RLHe8s/UE4oZ3b2WkI/AAAAAAAABOU/mBTX2Erq-Mc/s1600/moja.jpg