Agoma kuvishwa pete mbele ya kadamnasi

Agoma kuvishwa pete mbele ya kadamnasi

Nili reserve table ya chakula cha jion.Restaurant ilikua na wageni zaidi ya 90.sio wageni wangu ni wateja kama mimi sema asilimia kubwa hawakua raia wa nchi yetu ndio maana nikawaita wageni.
Nina iman umenielewa
Mgahawa gani huo una accommodate watu wote hao per one time??

Halafu Nani alikwambia Pete wanavalishana kihuni hivi? Bill kutoa mahari?? Bila ndugu kushiriki??


Yaani anarudi home babake anamwona kavaa Pete kidoleni...hajapewa hata barua ya posa......anaanza kumwambia dadiii kanivalisha fulani....ha ha haaaaa

Vijana wa dotcom mna Mambo ya ajabu Sana...kila kitu ni rahisirahisi tu
 
Poke sana ulitakiwa umoe hit alafu umsome kwanza, inawezekana alikuwa anakutumia tu. Anapenda dushe lako tu bila kukubali.

Au aliona mbele giza husomeki mavuno ya msimu
 
Mgahawa gani huo una accommodate watu wote hao per one time??

Halafu Nani alikwambia Pete wanavalishana kihuni hivi? Bill kutoa mahari?? Bila ndugu kushiriki??


Yaani anarudi home babake anamwona kavaa Pete kidoleni...hajapewa hata barua ya posa......anaanza kumwambia dadiii kanivalisha fulani....ha ha haaaaa

Vijana wa dotcom mna Mambo ya ajabu Sana...kila kitu ni rahisirahisi tu
Yani mkuu kwa kweli hata mimi nilikuwa simuelewi uyu jamaa ninavyojua pete utolewa ukishatoa mahali ukweni mbele ya kadamnasi ndugu wote wanakuwepo ndo unamvisha pete mwenzio sasa unataka kumvisha pete barua kwao ujapeleka, ujulikani , eti mgahawani jaman embu tuache movie za kuigiza za kizungu waafrica tuna maadili yetu
 
Aisee kuna mambo yanauma sana,wanawake aisee..sijui ningekuwa na hali gani
Matoto ya shetani haya mkuu. Mi limenitibua maqqnina hapa hata sijui naelekea wapi, home ndo shasepa ila destination ndio sijui haya majitu laana sana, sijui pale Eden shetani alimwambiaga nini Eva
 
Matoto ya shetani haya mkuu. Mi limenitibua maqqnina hapa hata sijui naelekea wapi, home ndo shasepa ila destination ndio sijui haya majitu laana sana, sijui pale Eden shetani alimwambiaga nini Eva
Mtakomaaaa

Ujinga wenu...muone wanawake wanakosea.

Eti univalishe Pete mgahawani...ha ha ha ha...nyooooo kajivalishe mwenyewe
 
Kwani hizo ni tamaduni zako hadi ung'anganie?

Si kila kitu cha kuigwa katika dunia hii.

Mungu pekee ndiye wa kupigiwa magoti wala si Binadamu
Kwan jamaa ishu kubwa kaongelea kupiga goti au Pete kukataliwa na kwa uelewa wangu binti alikuwa mjamzito tayari
 
Matoto ya shetani haya mkuu. Mi limenitibua maqqnina hapa hata sijui naelekea wapi, home ndo shasepa ila destination ndio sijui haya majitu laana sana, sijui pale Eden shetani alimwambiaga nini Eva
Hatari sana mzee,tunahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana mkuu.
 
Mgahawa gani huo una accommodate watu wote hao per one time??

Halafu Nani alikwambia Pete wanavalishana kihuni hivi? Bill kutoa mahari?? Bila ndugu kushiriki??


Yaani anarudi home babake anamwona kavaa Pete kidoleni...hajapewa hata barua ya posa......anaanza kumwambia dadiii kanivalisha fulani....ha ha haaaaa

Vijana wa dotcom mna Mambo ya ajabu Sana...kila kitu ni rahisirahisi tu
Tukienda taratibu ukaacha papara utanielewa tu binti.Tatizo lako unakurupuka..Mimi sio mwandishi mzuri na ndio mana nimefupisha ila kama ningetaka kuandika kila kitu bhas ingekua ni kitabu sasa."kila kitu kinatokea kwa sababu" na SIJUTII HATA KIDOGO.labda ukuelewa kwanini aligoma.Ukisoma vizuri utaona nimeandika wazaz pande zote mbili "wanatufahamu"Labda ulikua unataka nikueleze historia za familia zetu na kila kitu?Ama nikueleze familia zinafahamuje?Mimi sikua mjinga kiasi hicho.Taratibu zote kwa nilikua zimekaribia kukamilika.

Kuhusiana na Restaurant kuchukua wagen zaid ya 90 at once inabidi nikushangae na dunia itakushangaa pia.Hebu jaribu kutembea hapo Zanzibar hapana gharama ukishindwa jaribu kuangalia hata u-tube..
Kama haitoshi nimekwenda Zanzibar likizo miaka mitatu mfululizo so ukipenda naweza kukutajia na majina ya hizo resorts na downtown..Asante
 
Habari za mida hii wana jf?
Mimi sio mpenzi sana wa uandishi mana mwandiko wangu mbaya.
Wacha niadithie ilivokuwa mwanzo mwisho..

Ni likizo time.Yeye(binti)akiwa anafanya kazi serikalini na mimi nafanya biashara zangu binafsi wakati mwingine napokea tenda za mda mrefu.Sikua na dili la msingi saana kuniingizia pesa ya maana.So tukawa kwenye mipango ya kwenda kuhesabiwa mimi na yeye.

Kwa kumbukumbu zangu ni tarehe 10 mwezi wa 12 tukiwa tumeshapangilia kila kitu kihusu safari ya uchagani..Tukakubaliana kuondoka tarehe 14 ya mwezi wa 12.

Usiku wa kuamkia tarehe 13 nikapata wazo.Kwanini kama tuko kwenye mahusiano ya mda mrefu na kila mmoja anampenda mwenzie tusipeleke mambo levo ingine???"Wazaz"pande zote mbili wanatufahamu.
"Tabia"tunafahamiana vyema japo mikwaruzano ya hapo na pale haikosekani.

Nikalitafakari wazo langu la usiku huo kwa undani na kwa kina nikajisemea mwenyewe"yafaa nimvishe pete ya uchumba"je ni wapi?Lini?Nani na nani awepo?mwisho ikawa mimi na yeye tunatosha mengine tutawajulisha yatakapokamilika..
(Nimechoka kuandika nafupisha)

Asubuh tarehe 14 tunaanza safari ila anashangaa! Ajui tunaelekea wapi.Safari ilikua "Zanzibar"nilipangilia kila kitu.
Kesho yake jion "romantic dinner"hajui chochote.
Namfanyia suprise katika ya dinner nimvishe pete nikiwa nimepiga magoti mbele yake.Siku ile kulikua na bendi inatumbuiza(coconut band)..

Anyway ni hivi aliigomea pete mbele ya wageni zaidi ya 90...mbele ya kila mtu mwenye shauku ya kuona anakubali.Aliniangalia kwa dakika tena halafu akamwagika machozi akasema "siwezi"

Usitake kujua nilikutwa na hali gani?
Nilijisikiaje mbele ya kadamnasi?pia sijui walinichukuliaje ila nilihisi kudhalilika..

Kila mtu alifika dar anavojua yeye.
Toka mwaka juzi lilivotokea hilo tukio hatukuwai kulizungumzia hadi leo na hatukuwai kuwa wapenzi tena.Ninachojua saizi yuko na mtoto mmoja.

Je kama ni wewe ungefanyaje?
Hukumuandaa kisaikolojia kuwa unataka kumvalisha Pete. Pia unaonekana wewe ni MTU wa kujionesha mbele za watu yaani unapenda show, matangazo. Alikufundisha usirudie tena kuwa MTU wa matangazo. Alikusaidia Sana.
 
Dah
Hapo mwenye makosa ni wewe.
Suala la urafiki wa kimahusiano sio uchumba aisee, uchumba ni ishu ya kuelekea kwenye mkataba wa kudumu wa kimaisha.
Sasa kwa nini hukumshirikisha kabla ya kumvisha pete?

Nampongeza sana huyo binti kwa kuonyesha msimamo bila kukwepesha.
Inaonekana huyo mwanamke yuko smart sana kichwani.

Baadhi ya warembo wa kichaga wapo smart sana kichwani. Huyu ni mfano wa baadhi yao....
 
Nili reserve table ya chakula cha jion.Restaurant ilikua na wageni zaidi ya 90.sio wageni wangu ni wateja kama mimi sema asilimia kubwa hawakua raia wa nchi yetu ndio maana nikawaita wageni.
Nina iman umenielewa

Uzuri hakuna aliyekuwa anakufaham kwenye hao watu, aibu kubwa ni pale kuna wageni umewaalika kwa ajili ya tukio hilo.

Mpaka hapo ulijifunza kitu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chai bila sukari hiii..
Yani mkuu kwa kweli hata mimi nilikuwa simuelewi uyu jamaa ninavyojua pete utolewa ukishatoa mahali ukweni mbele ya kadamnasi ndugu wote wanakuwepo ndo unamvisha pete mwenzio sasa unataka kumvisha pete barua kwao ujapeleka, ujulikani , eti mgahawani jaman embu tuache movie za kuigiza za kizungu waafrica tuna maadili yetu
 
Duuh kweli mkuu??? Me nadhani ni surprise...
Pole mkuu, yale tunayoona kwenye movie huwa yanafanyiwa mazoezi, behind the scene mipango inawekwa then ndo tukio linafanyika.

Huwezi kufanya hiyo kitu bila kumpanga kwanza, ila anatakiwa aact kama alikuwa hajui.
 
Mgahawa gani huo una accommodate watu wote hao per one time??

Halafu Nani alikwambia Pete wanavalishana kihuni hivi? Bill kutoa mahari?? Bila ndugu kushiriki??


Yaani anarudi home babake anamwona kavaa Pete kidoleni...hajapewa hata barua ya posa......anaanza kumwambia dadiii kanivalisha fulani....ha ha haaaaa

Vijana wa dotcom mna Mambo ya ajabu Sana...kila kitu ni rahisirahisi tu
Nilitaka kushangaa tokea lini bongo movie ikawa kweli huku kwenye maisha halisi
 
Back
Top Bottom