Agoma kuvishwa pete mbele ya kadamnasi

Agoma kuvishwa pete mbele ya kadamnasi

Kwan jamaa ishu kubwa kaongelea kupiga goti au Pete kukataliwa na kwa uelewa wangu binti alikuwa mjamzito tayari
Mimi nimeona tatizo la kwanza ni kuigiza uzungu mwingiiii(full kupigiana magoti+ma surprise ya sherehe),vp we umeona tatizo ni ujauzito tayari?
 
Hayo machozi atakuwa anakiwazia kibamia chako, akubali akataee, hatimaye akashindaa hiyo vitaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti hatimae akashinda vita
 
Kweli alifikiria mbali kuzaa nje ya ndoa
Sio wote wanapenda surprise,alifikiria mbali tukio kubwa la namna hiyo kwa nini umfiche au kutokumshirikisha?Kuna wengine hawataki mbwembwe za kuigiza,wanataka maisha halisi ya kitanzania.
 
Huko huru kuchangia unavopenda.Ila nakukumbusha sasa hivi yuko na mtoto mwaka na miez 6.Ujagundua kitu?kama bado soma maelezo yangu kwa makini

Japo ni chai tu

Hao watu ndani ya usiku mmoja uliwaanda saa ngapi?? Halafu Zanzibar??

Watu zaidi ya 90

Mmmmmm...

Mdada Hana kosa.....
 
Hapana zech . Let me give you hostoria fupi about mylife. Niliwahi kumpenda mwanamke.. nikampa almost everything vilivyomo ndani ya uwezo wangu. mpaka nilikuwa nampikia sometimes.

by then nilikuwa namaliza chuo. Nimeshajitambulisha kwao.. na anajulikana kwetu pia. Imebaki mahari.. lakin one day out of blue akasepa.
Nilimuuliza tatizo ni nn hana jibu. It has been five years.. nimekutana nae tena this year.. bado amekosa hatajib la kusema. Anajutia tu.

Tell me alikosa nn?
Amnaaa ukiona humwelewi mwanamke basi wewe pia hueleweki
 
Unaandaaje event kama hiyo bila kumshirikisha mwenzio angalau miezi sita nyuma? Ili ujue feelings zake cos inawezekana alikuwa kwako kwa faida fulani tu.....
 
Mkuu imenifanya niwaze mazingara yako na hali yako ilikuaje nimebaki natoa macho tu, ila wanaume sisi tujifunze banah sio kila mwanamke anafaa kuoa, ina maana hukumjua dalili kabisa za huyo manzi kama sio mkaaji, unajua mwanamke ni rahisi kumsoma hisia zake kuliko sisi wanaume
 
Mi nakupa bahati yankukuoa nikupigie na magoti ....dar ni nn shida
 
Back
Top Bottom