DCI Comrade One
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 875
- 1,235
Dah nakumbuka ile siku maana me ni miongoni mwa tulioalikwa.pole sanaaa mkuu uliadhirika sana ile siku
Duuh kweli mkuu??? Me nadhani ni surprise...
Hakuna surprise kwenye kubishana pete, lazima mkachague naye inayomtosha na anayoipenda, baada ya hapo ndo mnapanga hilo tukio liweje.
Aise kumbee mkuu...!![emoji23][emoji23][emoji23] Nimepata kitu kipyaa kikubwa...
Tukienda taratibu ukaacha papara utanielewa tu binti.Tatizo lako unakurupuka..Mimi sio mwandishi mzuri na ndio mana nimefupisha ila kama ningetaka kuandika kila kitu bhas ingekua ni kitabu sasa."kila kitu kinatokea kwa sababu" na SIJUTII HATA KIDOGO.labda ukuelewa kwanini aligoma.Ukisoma vizuri utaona nimeandika wazaz pande zote mbili "wanatufahamu"Labda ulikua unataka nikueleze historia za familia zetu na kila kitu?Ama nikueleze familia zinafahamuje?Mimi sikua mjinga kiasi hicho.Taratibu zote kwa nilikua zimekaribia kukamilika.
Kuhusiana na Restaurant kuchukua wagen zaid ya 90 at once inabidi nikushangae na dunia itakushangaa pia.Hebu jaribu kutembea hapo Zanzibar hapana gharama ukishindwa jaribu kuangalia hata u-tube..
Kama haitoshi nimekwenda Zanzibar likizo miaka mitatu mfululizo so ukipenda naweza kukutajia na majina ya hizo resorts na downtown..Asante
Ila hayo yote aliyataka mkuuHivi ulijisikiaje kwa mfano? Ukupata depression? Haukuzimia? Ulijifungia ndani siku ngapi? Inauma sana ila pole sana ndo ukubwa
Yaan utafikiri alivyopiga goti mwenzao wao wamekatika miguu au wamevishwa skirt ...naona povu limekuwa jingi kweli kweliWanaume wa jf wanavyon'gaka tukio la mlengwa kumvisha Pete aliekua mwandani wake huku akiwa amepiga goti..khaa!! Kila mtu na utaratibu wake jamani
Habari za mida hii wana jf?
Mimi sio mpenzi sana wa uandishi mana mwandiko wangu mbaya.
Wacha niadithie ilivokuwa mwanzo mwisho..
Ni likizo time.Yeye(binti)akiwa anafanya kazi serikalini na mimi nafanya biashara zangu binafsi wakati mwingine napokea tenda za mda mrefu.Sikua na dili la msingi saana kuniingizia pesa ya maana.So tukawa kwenye mipango ya kwenda kuhesabiwa mimi na yeye.
Kwa kumbukumbu zangu ni tarehe 10 mwezi wa 12 tukiwa tumeshapangilia kila kitu kihusu safari ya uchagani..Tukakubaliana kuondoka tarehe 14 ya mwezi wa 12.
Usiku wa kuamkia tarehe 13 nikapata wazo.Kwanini kama tuko kwenye mahusiano ya mda mrefu na kila mmoja anampenda mwenzie tusipeleke mambo levo ingine???"Wazaz"pande zote mbili wanatufahamu.
"Tabia"tunafahamiana vyema japo mikwaruzano ya hapo na pale haikosekani.
Nikalitafakari wazo langu la usiku huo kwa undani na kwa kina nikajisemea mwenyewe"yafaa nimvishe pete ya uchumba"je ni wapi?Lini?Nani na nani awepo?mwisho ikawa mimi na yeye tunatosha mengine tutawajulisha yatakapokamilika..
(Nimechoka kuandika nafupisha)
Asubuh tarehe 14 tunaanza safari ila anashangaa! Ajui tunaelekea wapi.Safari ilikua "Zanzibar"nilipangilia kila kitu.
Kesho yake jion "romantic dinner"hajui chochote.
Namfanyia suprise katika ya dinner nimvishe pete nikiwa nimepiga magoti mbele yake.Siku ile kulikua na bendi inatumbuiza(coconut band)..
Anyway ni hivi aliigomea pete mbele ya wageni zaidi ya 90...mbele ya kila mtu mwenye shauku ya kuona anakubali.Aliniangalia kwa dakika tena halafu akamwagika machozi akasema "siwezi"
Usitake kujua nilikutwa na hali gani?
Nilijisikiaje mbele ya kadamnasi?pia sijui walinichukuliaje ila nilihisi kudhalilika..
Kila mtu alifika dar anavojua yeye.
Toka mwaka juzi lilivotokea hilo tukio hatukuwai kulizungumzia hadi leo na hatukuwai kuwa wapenzi tena.Ninachojua saizi yuko na mtoto mmoja.
Je kama ni wewe ungefanyaje?
Taratibu nauliza zamani kwenye taratibu zetu za ndoa pete za uchumba kwenye mahari na posa zilikuwepo?[emoji848]Mgahawa gani huo una accommodate watu wote hao per one time??
Halafu Nani alikwambia Pete wanavalishana kihuni hivi? Bill kutoa mahari?? Bila ndugu kushiriki??
Yaani anarudi home babake anamwona kavaa Pete kidoleni...hajapewa hata barua ya posa......anaanza kumwambia dadiii kanivalisha fulani....ha ha haaaaa
Vijana wa dotcom mna Mambo ya ajabu Sana...kila kitu ni rahisirahisi tu
Pole mkuu sijaona kama umekosea sababu pete za uchumba wengine wanafanya surpriseHabari za mida hii wana jf?
Mimi sio mpenzi sana wa uandishi mana mwandiko wangu mbaya.
Wacha niadithie ilivokuwa mwanzo mwisho..
Ni likizo time.Yeye(binti)akiwa anafanya kazi serikalini na mimi nafanya biashara zangu binafsi wakati mwingine napokea tenda za mda mrefu.Sikua na dili la msingi saana kuniingizia pesa ya maana.So tukawa kwenye mipango ya kwenda kuhesabiwa mimi na yeye.
Kwa kumbukumbu zangu ni tarehe 10 mwezi wa 12 tukiwa tumeshapangilia kila kitu kihusu safari ya uchagani..Tukakubaliana kuondoka tarehe 14 ya mwezi wa 12.
Usiku wa kuamkia tarehe 13 nikapata wazo.Kwanini kama tuko kwenye mahusiano ya mda mrefu na kila mmoja anampenda mwenzie tusipeleke mambo levo ingine???"Wazaz"pande zote mbili wanatufahamu.
"Tabia"tunafahamiana vyema japo mikwaruzano ya hapo na pale haikosekani.
Nikalitafakari wazo langu la usiku huo kwa undani na kwa kina nikajisemea mwenyewe"yafaa nimvishe pete ya uchumba"je ni wapi?Lini?Nani na nani awepo?mwisho ikawa mimi na yeye tunatosha mengine tutawajulisha yatakapokamilika..
(Nimechoka kuandika nafupisha)
Asubuh tarehe 14 tunaanza safari ila anashangaa! Ajui tunaelekea wapi.Safari ilikua "Zanzibar"nilipangilia kila kitu.
Kesho yake jion "romantic dinner"hajui chochote.
Namfanyia suprise katika ya dinner nimvishe pete nikiwa nimepiga magoti mbele yake.Siku ile kulikua na bendi inatumbuiza(coconut band)..
Anyway ni hivi aliigomea pete mbele ya wageni zaidi ya 90...mbele ya kila mtu mwenye shauku ya kuona anakubali.Aliniangalia kwa dakika tena halafu akamwagika machozi akasema "siwezi"
Usitake kujua nilikutwa na hali gani?
Nilijisikiaje mbele ya kadamnasi?pia sijui walinichukuliaje ila nilihisi kudhalilika..
Kila mtu alifika dar anavojua yeye.
Toka mwaka juzi lilivotokea hilo tukio hatukuwai kulizungumzia hadi leo na hatukuwai kuwa wapenzi tena.Ninachojua saizi yuko na mtoto mmoja.
Je kama ni wewe ungefanyaje?
Sio mapenz ya instagram mbona kabla ya instagram watu wanavalishana pete kimtindo huoUlipiga magoti?
Haya maupuuzi ya Instagram yanawaharibu wanaume sana.Kwani ukimvisha pete ukiwa umesimama inakuaje boss?
Kama ambavyo sipendi kuabudiwa(mwanamke kunipigia magoti ni marufuku) na mimi siwezi kupiga magoti.
Hazikuwepo.Taratibu nauliza zamani kwenye taratibu zetu za ndoa pete za uchumba kwenye mahari na posa zilikuwepo?[emoji848]