Agoma kuvishwa pete mbele ya kadamnasi

Agoma kuvishwa pete mbele ya kadamnasi

Wao tu ndo waliongea na Shetani direct na kuonana naee...!! Achana kabisa na mwanamke hujui shetani alimwambia nini.. na siku ile ulipolala usingizi mzito ili apatikane hujui baada ya kuumbwa Mungu nae alimwambia nini...

MWANAMKE NI FUMBO KUBWA SANA...
Mmmmmmh
 
Upande flani alikua sahihi kutokana na kwamba mipango yote uliyofanya hakushirikishwa kikamilifu kama ambavyo ulikua umemshirikisha kwenda kuhesabiwa pia pete yenye nguvu inavalishiwa mskitin/kanisani
 
Simple tu ni kwamba kuna muhuni mmoja hvi alikuwa anaisugua papuchi yake haswaaaaaaa, na ndio maana halikuwa bado dilema kwamba aende kwa nan.
 
Hapo kwenye single mother,aliikataa pete akiwa tayari na mimba uliyompa ww au?
 
Pole sana......hata hivyo mshukuru Mungu amekuepusha na mengi ya kuumiza zaidi.
 
Shukuru kwa hilo. Ni dhahiri kuwa ulikuwa hupendwi kabisa
 
Habari za mida hii wana jf?
Mimi sio mpenzi sana wa uandishi mana mwandiko wangu mbaya.
Wacha niadithie ilivokuwa mwanzo mwisho..

Ni likizo time.Yeye(binti)akiwa anafanya kazi serikalini na mimi nafanya biashara zangu binafsi wakati mwingine napokea tenda za mda mrefu.Sikua na dili la msingi saana kuniingizia pesa ya maana.So tukawa kwenye mipango ya kwenda kuhesabiwa mimi na yeye.

Kwa kumbukumbu zangu ni tarehe 10 mwezi wa 12 tukiwa tumeshapangilia kila kitu kihusu safari ya uchagani..Tukakubaliana kuondoka tarehe 14 ya mwezi wa 12.

Usiku wa kuamkia tarehe 13 nikapata wazo.Kwanini kama tuko kwenye mahusiano ya mda mrefu na kila mmoja anampenda mwenzie tusipeleke mambo levo ingine???"Wazaz"pande zote mbili wanatufahamu.
"Tabia"tunafahamiana vyema japo mikwaruzano ya hapo na pale haikosekani.

Nikalitafakari wazo langu la usiku huo kwa undani na kwa kina nikajisemea mwenyewe"yafaa nimvishe pete ya uchumba"je ni wapi?Lini?Nani na nani awepo?mwisho ikawa mimi na yeye tunatosha mengine tutawajulisha yatakapokamilika..
(Nimechoka kuandika nafupisha)

Asubuh tarehe 14 tunaanza safari ila anashangaa! Ajui tunaelekea wapi.Safari ilikua "Zanzibar"nilipangilia kila kitu.
Kesho yake jion "romantic dinner"hajui chochote.
Namfanyia suprise katika ya dinner nimvishe pete nikiwa nimepiga magoti mbele yake.Siku ile kulikua na bendi inatumbuiza(coconut band)..

Anyway ni hivi aliigomea pete mbele ya wageni zaidi ya 90...mbele ya kila mtu mwenye shauku ya kuona anakubali.Aliniangalia kwa dakika tena halafu akamwagika machozi akasema "siwezi"

Usitake kujua nilikutwa na hali gani?
Nilijisikiaje mbele ya kadamnasi?pia sijui walinichukuliaje ila nilihisi kudhalilika..

Kila mtu alifika dar anavojua yeye.
Toka mwaka juzi lilivotokea hilo tukio hatukuwai kulizungumzia hadi leo na hatukuwai kuwa wapenzi tena.Ninachojua saizi yuko na mtoto mmoja.

Je kama ni wewe ungefanyaje?

Taratibu za uchumba unazielewa lakini!! Ana haki ya kukubwaga aiseee....!!! Mambo ya mahusiano hayaendi hivyo!!

Ngoja nikupe hatua usijekosea tena:
1. Jadiliana na mwenzio mtume washenga kwao!!
2. Wazazi wake watamuita aulizwe kama yupo tayari au laah!!
3. Akikubali mtapewa jibu akikataa hali kadhalika.
4. Hapa sasa kuna wengine wanaingiza uchumba baada ya jibu la wazazi kutoka lakini kuna wengine wanasubiri majadiliano ya mahari then analipa kabisa ndiyo unaingiza uchumba!!

Yaan mmekutana mtaani tuu unaingiza uchumba?? Huo uchumba wa vilio huo, akitokea mtu anakulindua!! Ila uchumba wa kwa wazazi hata utokomee miaka kumi huyo ushampiga pini labda akaliwe kihuni bila kufikishwa kwa wazazi!!
 
Hapana zech . Let me give you hostoria fupi about mylife. Niliwahi kumpenda mwanamke.. nikampa almost everything vilivyomo ndani ya uwezo wangu. mpaka nilikuwa nampikia sometimes.

by then nilikuwa namaliza chuo. Nimeshajitambulisha kwao.. na anajulikana kwetu pia. Imebaki mahari.. lakin one day out of blue akasepa.
Nilimuuliza tatizo ni nn hana jibu. It has been five years.. nimekutana nae tena this year.. bado amekosa hatajib la kusema. Anajutia tu.

Tell me alikosa nn?
Hapo nimeikumbuka nyimbo ya Sugu. Hayakuwa Mapenzi
 
Nilichokielewa kutoka kwako mtoa mada ni kwamba kilichopelekea bint kukataa Pete ya uchumba ni kuwa alikuwa na ujauzito na sio wakwako, she is genius
 
Boss mistake yako ni kwamba haukumchunguza huyo mdada. Wadada wengi sikuhizi wanakuwa kwemye multiple relationship na usipokuwa makini unafall kwa mtu ambaye wala hana mpango na wewe.

Sheria yangu, siwezi kufanya chochote kabla sijakupiga spy ya ukweli hasa kwenye simu maana ndio kuna maovu yote huko. Yaani hata simu mpya nitakununulia ili mradi tu niweke tracking system ninayoitaka na itakayonihakikishia salama wangu.

Siku nyingine acha ujinga.
 
Goti umepiga hola Pvmbv wamepiga wengine na mtoto juu!!!

Vijana wa siku hizi mnatudhalilisha sana kaka zenu,ulichotakiwa kufanya ni kumtia mimba kisha umuache aamue mwenyewe kwamba aishi na wewe au asiishi na wewe.

Umeona wajanja walivyo?wame-skip ishu ya kuvishana pete wakamvisha pete ya ukweli sasa anahangaika nayo wewe umeenda kupiga magoti,kwani uliambiwa Mungu yule?
Hahaa jf raha sana
 
Back
Top Bottom