Agoma kuvishwa pete mbele ya kadamnasi

Agoma kuvishwa pete mbele ya kadamnasi

Goti umepiga hola Pvmbv wamepiga wengine na mtoto juu!!!

Vijana wa siku hizi mnatudhalilisha sana kaka zenu,ulichotakiwa kufanya ni kumtia mimba kisha umuache aamue mwenyewe kwamba aishi na wewe au asiishi na wewe.

Umeona wajanja walivyo?wame-skip ishu ya kuvishana pete wakamvisha pete ya ukweli sasa anahangaika nayo wewe umeenda kupiga magoti,kwani uliambiwa Mungu yule?
Naona wewe ndio ume comment point
 
Suprise gani hizo sasa, mie nisuprise kwa kunitumia pesa tu.
 
Dah
Hapo mwenye makosa ni wewe.
Suala la urafiki wa kimahusiano sio uchumba aisee, uchumba ni ishu ya kuelekea kwenye mkataba wa kudumu wa kimaisha.
Sasa kwa nini hukumshirikisha kabla ya kumvisha pete?

Nampongeza sana huyo binti kwa kuonyesha msimamo bila kukwepesha.
Inaonekana huyo mwanamke yuko smart sana kichwani.
Naona umewai siti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana zech . Let me give you hostoria fupi about mylife. Niliwahi kumpenda mwanamke.. nikampa almost everything vilivyomo ndani ya uwezo wangu. mpaka nilikuwa nampikia sometimes.

by then nilikuwa namaliza chuo. Nimeshajitambulisha kwao.. na anajulikana kwetu pia. Imebaki mahari.. lakin one day out of blue akasepa.
Nilimuuliza tatizo ni nn hana jibu. It has been five years.. nimekutana nae tena this year.. bado amekosa hatajib la kusema. Anajutia tu.

Tell me alikosa nn?
Doh[emoji25] Kuna watu wanachezea shillingi kwenye tundu la choo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za mida hii wana jf?
Mimi sio mpenzi sana wa uandishi mana mwandiko wangu mbaya.
Wacha niadithie ilivokuwa mwanzo mwisho..

Ni likizo time.Yeye(binti)akiwa anafanya kazi serikalini na mimi nafanya biashara zangu binafsi wakati mwingine napokea tenda za mda mrefu.Sikua na dili la msingi saana kuniingizia pesa ya maana.So tukawa kwenye mipango ya kwenda kuhesabiwa mimi na yeye.

Kwa kumbukumbu zangu ni tarehe 10 mwezi wa 12 tukiwa tumeshapangilia kila kitu kihusu safari ya uchagani..Tukakubaliana kuondoka tarehe 14 ya mwezi wa 12.

Usiku wa kuamkia tarehe 13 nikapata wazo.Kwanini kama tuko kwenye mahusiano ya mda mrefu na kila mmoja anampenda mwenzie tusipeleke mambo levo ingine???"Wazaz"pande zote mbili wanatufahamu.
"Tabia"tunafahamiana vyema japo mikwaruzano ya hapo na pale haikosekani.

Nikalitafakari wazo langu la usiku huo kwa undani na kwa kina nikajisemea mwenyewe"yafaa nimvishe pete ya uchumba"je ni wapi?Lini?Nani na nani awepo?mwisho ikawa mimi na yeye tunatosha mengine tutawajulisha yatakapokamilika..
(Nimechoka kuandika nafupisha)

Asubuh tarehe 14 tunaanza safari ila anashangaa! Ajui tunaelekea wapi.Safari ilikua "Zanzibar"nilipangilia kila kitu.
Kesho yake jion "romantic dinner"hajui chochote.
Namfanyia suprise katika ya dinner nimvishe pete nikiwa nimepiga magoti mbele yake.Siku ile kulikua na bendi inatumbuiza(coconut band)..

Anyway ni hivi aliigomea pete mbele ya wageni zaidi ya 90...mbele ya kila mtu mwenye shauku ya kuona anakubali.Aliniangalia kwa dakika tena halafu akamwagika machozi akasema "siwezi"

Usitake kujua nilikutwa na hali gani?
Nilijisikiaje mbele ya kadamnasi?pia sijui walinichukuliaje ila nilihisi kudhalilika..

Kila mtu alifika dar anavojua yeye.
Toka mwaka juzi lilivotokea hilo tukio hatukuwai kulizungumzia hadi leo na hatukuwai kuwa wapenzi tena.Ninachojua saizi yuko na mtoto mmoja.

Je kama ni wewe ungefanyaje?
Hivi bahati Kama hizi kwanini hazituangukii watu tunaozihitaji
Ila zinaendaga kwa mijitu ambayo ndo kwanza Haina mpango[emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za mida hii wana jf?
Mimi sio mpenzi sana wa uandishi mana mwandiko wangu mbaya.
Wacha niadithie ilivokuwa mwanzo mwisho..

Ni likizo time.Yeye(binti)akiwa anafanya kazi serikalini na mimi nafanya biashara zangu binafsi wakati mwingine napokea tenda za mda mrefu.Sikua na dili la msingi saana kuniingizia pesa ya maana.So tukawa kwenye mipango ya kwenda kuhesabiwa mimi na yeye.

Kwa kumbukumbu zangu ni tarehe 10 mwezi wa 12 tukiwa tumeshapangilia kila kitu kihusu safari ya uchagani..Tukakubaliana kuondoka tarehe 14 ya mwezi wa 12.

Usiku wa kuamkia tarehe 13 nikapata wazo.Kwanini kama tuko kwenye mahusiano ya mda mrefu na kila mmoja anampenda mwenzie tusipeleke mambo levo ingine???"Wazaz"pande zote mbili wanatufahamu.
"Tabia"tunafahamiana vyema japo mikwaruzano ya hapo na pale haikosekani.

Nikalitafakari wazo langu la usiku huo kwa undani na kwa kina nikajisemea mwenyewe"yafaa nimvishe pete ya uchumba"je ni wapi?Lini?Nani na nani awepo?mwisho ikawa mimi na yeye tunatosha mengine tutawajulisha yatakapokamilika..
(Nimechoka kuandika nafupisha)

Asubuh tarehe 14 tunaanza safari ila anashangaa! Ajui tunaelekea wapi.Safari ilikua "Zanzibar"nilipangilia kila kitu.
Kesho yake jion "romantic dinner"hajui chochote.
Namfanyia suprise katika ya dinner nimvishe pete nikiwa nimepiga magoti mbele yake.Siku ile kulikua na bendi inatumbuiza(coconut band)..

Anyway ni hivi aliigomea pete mbele ya wageni zaidi ya 90...mbele ya kila mtu mwenye shauku ya kuona anakubali.Aliniangalia kwa dakika tena halafu akamwagika machozi akasema "siwezi"

Usitake kujua nilikutwa na hali gani?
Nilijisikiaje mbele ya kadamnasi?pia sijui walinichukuliaje ila nilihisi kudhalilika..

Kila mtu alifika dar anavojua yeye.
Toka mwaka juzi lilivotokea hilo tukio hatukuwai kulizungumzia hadi leo na hatukuwai kuwa wapenzi tena.Ninachojua saizi yuko na mtoto mmoja.

Je kama ni wewe ungefanyaje?

Na wewe ulikuwa hujui chochote....sasa kama mlikwenda wawili tu...hiyo kadamnasi ilitokea wapi?
 
Something is wrong smwhr..hujatuambia bayana full story
 
Back
Top Bottom