Ndugu wana JF
Hali alivyoeleza Mh Zitto inaonyesha wazi kuwa Aga Khan Hospital ni eneo la biashara. Kama kweli Malaria inawashinda je magonjwa mengine. Ni heri ukatibiwa temeke ukapata vipimo sahihi maana hii hali inatisha. Mimi binafsi nikianga aga khan sipati majibu ya kweli kuhusu home au chochote. Na hili la Zito limening'amua.
Tutafakari kama kuna mtu humu JF ni mtumishi wa AGA KHAN basi awafikishie taarifa.
Hali alivyoeleza Mh Zitto inaonyesha wazi kuwa Aga Khan Hospital ni eneo la biashara. Kama kweli Malaria inawashinda je magonjwa mengine. Ni heri ukatibiwa temeke ukapata vipimo sahihi maana hii hali inatisha. Mimi binafsi nikianga aga khan sipati majibu ya kweli kuhusu home au chochote. Na hili la Zito limening'amua.
Tutafakari kama kuna mtu humu JF ni mtumishi wa AGA KHAN basi awafikishie taarifa.