Serikali imeshindwa kutolea muafaka Hospitali ya Dar Group (TOHS)

Aug 15, 2016
47
46
Ndugu watanzania kwa ujumla natumai mnaendelea vizur na ujenzi wa taifa

Mnamo mwezi wa 12, 2020 kuna kadhia iliibuka hapa JF kuhusu hospital ya Dar Group kuhusu uonevu, unyanyasaji wa watumishi wa hospital ya Dar Group (kumbuku uzi huu chini )

Tunaomba Serikali iingilie kati Hospitali ya Dar Group (T.O.H.S), Mmiliki hajulikani

Baada ya kadhia hiyo kuibuka kupitia hapa Jamii Forum , Serikali wakati wa awamu ile ya JPM kupitia Mkuu wa wilaya ya Temeke Mh.Gondwe alifatulia kadhia ile na kufika hospital kuongea na wafanyakazi pamoja na uongozi ,
(Kumbukumbu video ya kikao kati ya mkuu wa wilaya na team na wafanyakazi/viongozi wa hospital )



Kupitia kikao hicho Chini mkuu wa wilaya na kamati yake madudu mengi sana yaliibuka kuhusu hospital ya Dar group
1.TUHUMA ZOTE ZA UNYANYASAJI NA UKIKWAJI WA HAKI ZA WAFANYAKAZI ZILIZOKUA ZINAWAKABILI VIONGOZI HAO (Mkurugenzi Mkuu,mkurugenzi wa utawala na rasilimali watu pamoja na watu wao ) ZILITHIBITIKA NA KUBAINIKA NI KWELI (VIONGOZI HUSIKA WALISHINDWA KUJITETEA NA WALIKIRI MAKOSA YOTE )

2.KUPITIA KIKAO KILE YALIIBUKA MADUDU MENGI KUHUSU MATUMIZI MABAYA YA MAKI YA SHIRIKA (WIZI,UFISADI NA UTAKATISHAJI PESA ULIOKUA UKIFANYWA NA VIONGOZI HAO, (Mfano viongozi hao walikua wakifanya ubadhilifu na ufujaji wa mali za shirika ikiwemo kujichotea pesa za shirika , kutolipa wafanyakazi overtime huku wao wakijilipa takriban million 5 kila mwezi (nje ya mishahara na posho kibao wanazolipwa , pili wizi mkubwa waliokua wakifanya kupitia ununuzi wa vifaa vya hsptl yaan kifaa cha million 6 wao wanapiga million 17, DG kununua gari 2 aina za vanguard (kwa kiasi cha takriban million 90 na ushee ) gari moja ameandika jina la shirika na gari lingine ameandika jina lake binafsi , pia walibainika kujilimbikizia mali kibao tofaut na uhalisia wa mishahara za vipato vyao )

3.Iliundwa kamati uchunguzi kuhusu mambo yote ya hospital pia TAKUKURU walifanya uchunguzi na kufundua madudu na ubadhilifu mkubwa sana , na hospital iliamuliwa iwe chini ya uongozi wa wilaya/mkoa chini ya ofisi ya RAS , na maadhimio kadhaa yalitolewa ikiwemo kufanyika vikao vya mara kwa mara kati ya usimamiz kutoka ofis ya RAS ,wafanyakazi na viongozi lakin cha ajabu ilikua kama nguvu ya soda baada ti ya muda kidogo hali ilirud kuwa kama zaman hamna vikao vinavyofanyika mpaka sasa , na viongoz waliokua wakisimamia huja mara chache nkuongea na viongozi bila kuongea na wafanyakazi, je kuna siri gani inaendelea kati ya wasimamizi na viongozi hao ?

HALI YA SASA YA HOSPITAL
Kwaujumla mwenendo wa hospital kwasasa sio mzuri ,viongozi hao hao wenye tuhuma na incompetent bado wapo ktk nafasi zao na wanafanya sabotage, wanahujumu hospital na kufanya utendaji wa hospital uwe duni na chini
Mfano kugoma kufanyia services vifaa muhimu vya tiba, kuna muda hsptl inakua giza kabisa siku nzima ilihali kuna back up generators 2 kubwaa lakin hawataki kuzifanyia service kuna wakati zinakua hazina mafuta(maajabu kuna muda walikodisha generator toka nje ) pia kuna kipindi hsptl ilikua haina maji kwa siku kadhaa kisa pump ta maji haijatengenezwa (ilikua inategemea maji ta mkokoteni ) , vifaa tiba, mashine za vipimo , ac , gari za kubebea wagonjwa zikiharibika hazifanyiwi matengenezo wa wakati ili mradi tu viongoz hao wafanye huduma za hsptl kuwa ngumu )

2.Morali ya wafanyakazi ipo chini sana maana hawajui hatma yao na wengi wao mikataba imeisha na wanapewa short contract (3months ) huku wakisubiria final say ya serikali . pia kuna uhaba mkubwa wa wafanyakazi

3.Viongozi hao DG,DAHR kwasasa wamekua wakitoa kauli kuwa hawawezi kufanywa lolote na wameshaituliza serikali na sasa hivi watawakomesha wafanyakazi kama sehemu ya kisasi na kweli wamekua wakifanya huduma za hsptl kuwa ngumu..

NINI HATMA !!????
1.JE,SERIKALI YA AWAMU HII IMESHINDWA KUMALIZA KADHIA HII NA KUICHUKUA HOSPITAL KAMA ILIVYODAI MWANZONI

2.WAZI HOSPITAL HAINA MMILIKI JE,KINA NANI WANUFAIKA WA HSPTL YA DAR GROUP KIASI KWAMBA MPAKA LEO SERIKALI HAIJATOA MWAFAKA

3.TAKUKURU,WIZARA YA AFYA , DPP , KAMATI ILIYOUNDWA KUCHUNGUZA KWANINI MPAKA SASA HAMJACHUKUA HATUA YEYOTE KWA VIONGOZI HAWA

4.KWANINI VIONGOZI HAO WENYE TUHUMA NA MAKOSA KIBAO HADI LEO HII WANAENDELEA KUBAKI KTK UONGOZI(tokea december 2020 )

5.SERIKALI KUPITIA WIZARA YA AFYA,KATIBU WIZARA YA AFYA ,TAKUKURU WATOE MWAFAKA RASMI NA KUMALIZA KADHIA YA DAR GROUP HOSPITAL NA KUCHUKUA HATUA STAHIKI KWA MANUFAA YA WATANZANIA NA SIO MUNUFAA YA KIKUNDI CHA WATU WACHACHE WANAOFAIDIKA.


[mention]Wizara ya Afya Tanzania [/mention] [mention]Wizara Katiba Na Sheria [/mention] [mention]Takukuru [/mention] [mention]Pccb [/mention]
[mention]Jamii forum [/mention] [mention]Jamii kwanza [/mention] [mention]Polisi jamii [/mention]
[mention]Zitto [/mention]
 
Poleni sana wana Temeke. Ni kweli kabisa mimi ni shahidi wa kuona DC double G (Godwin Gondwe) akifika pale hospitalini na kuwachimba biti Mgt. Nadhani mnajua kwamba serikali huwa haihami bali wanaohama ni watumishi, hivyo kuondoka kwa jembe double G na kuja yule wa kisarawe (nasikia wakimuita kidoti mimi simjui, hivi ina maana ana ndonya?). Nilichoshangaa ni pale nyie watu wa Temeke mlipimueleza mkuu wenu mpya kuwa kero yenu kubwa eti ni kubadilishiwa taa za barabarani daah!!! Yaani of all the needs hapo Temeke mmeona hilo kweli?
 
Poleni sana wana Temeke. Ni kweli kabisa mimi ni shahidi wa kuona DC double G (Godwin Gondwe) akifika pale hospitalini na kuwachimba biti Mgt. Nadhani mnajua kwamba serikali huwa haihami bali wanaohama ni watumishi, hivyo kuondoka kwa jembe double G na kuja yule wa kisarawe (nasikia wakimuita kidoti mimi simjui, hivi ina maana ana ndonya?). Nilichoshangaa ni pale nyie watu wa Temeke mlipimueleza mkuu wenu mpya kuwa kero yenu kubwa eti ni kubadilishiwa taa za barabarani daah!!! Yaani of all the needs hapo Temeke mmeona hilo kweli?

Ni kweli tuna changamoto sana na tunaomba Serikali ihitimishe suala hili ili wanachi waendelee kupata huduma borana wafanyakazi wawe ktk mazingira mazuri ya kazi
 
Ndugu watanzania kwa ujumla natumai mnaendelea vizur na ujenzi wa taifa

Mnamo mwezi wa 12, 2020 kuna kadhia iliibuka hapa JF kuhusu hospital ya Dar Group kuhusu uonevu, unyanyasaji wa watumishi wa hospital ya Dar Group (kumbuku uzi huu chini )

Tunaomba Serikali iingilie kati Hospitali ya Dar Group (T.O.H.S), Mmiliki hajulikani

Baada ya kadhia hiyo kuibuka kupitia hapa Jamii Forum , Serikali wakati wa awamu ile ya JPM kupitia Mkuu wa wilaya ya Temeke Mh.Gondwe alifatulia kadhia ile na kufika hospital kuongea na wafanyakazi pamoja na uongozi ,
(Kumbukumbu video ya kikao kati ya mkuu wa wilaya na team na wafanyakazi/viongozi wa hospital )



Kupitia kikao hicho Chini mkuu wa wilaya na kamati yake madudi mengi sana yaliibuka kuhusu hospital ya Dar group
1.TUHUMA ZOTE ZA UNYANYASAJI NA UKIKWAJI WA HAKI ZA WAFANYAKAZI ZILIZOKUA ZINAWAKABILI VIONGOZI HAO (Mkurugenzi Mkuu,mkurugenzi wa utawala na rasilimali watu pamoja na watu wao ) ZILITHIBITIKA NA KUBAINIKA NI KWELI (VIONGOZI HUSIKA WALISHINDWA KUJITETEA NA WALIKIRI MAKOSA YOTE )

2.KUPITIA KIKAO KILE YALIIBUKA MADUDU MENGI KUHUSU MATUMIZI MABAYA YA MAKI YA SHIRIKA (WIZI,UFISADI NA UTAKATISHAJI PESA ULIOKUA UKIFANYWA NA VIONGOZI HAO, (Mfano viongozi hao walikua wakifanya ubadhilifu na ufujaji wa mali za shirika ikiwemo kujichotea pesa za shirika , kutolipa wafanyakazi overtime huku wao wakijilipa takriban million 5 kila mwezi (nje ya mishahara na posho kibao wanazolipwa , pili wizi mkubwa waliokua wakifanya kupitia ununuzi wa vifaa vya hsptl yaan kifaa cha million 6 wao wanapiga million 17, DG kununua gari 2 aina za vanguard (kwa kiasi cha takriban million 90 na ushee ) gari moja ameandika jina la shirika na gari lingine ameandika jina lake binafsi , pia walibainika kujilimbikizia mali kibao tofaut na uhalisia wa mishahara za vipato vyao )

3.Iliundwa kamati uchunguzi kuhusu mambo yote ya hospital pia TAKUKURU walifanya uchunguzi na kufundua madudu na ubadhilifu mkubwa sana , na hospital iliamuliwa iwe chini ya uongozi wa wilaya/mkoa chini ya ofisi ya RAS , na maadhimio kadhaa yalitolewa ikiwemo kufanyika vikao vya mara kwa mara kati ya usimamiz kutoka ofis ya RAS ,wafanyakazi na viongozi lakin cha ajabu ilikua kama nguvu ya soda baada ti ya muda kidogo hali ilirud kuwa kama zaman hamna vikao vinavyofanyika mpaka sasa , na viongoz waliokua wakisimamia huja mara chache nkuongea na viongozi bila kuongea na wafanyakazi, je kuna siri gani inaendelea kati ya wasimamizi na viongozi hao ?

HALI YA SASA YA HOSPITAL
Kwaujumla mwenendo wa hospital kwasasa sio mzuri ,viongozi hao hao wenye tuhuma na incompetent bado wapo ktk nafasi zao na wanafanya sabotage, wanahujumu hospital na kufanya utendaji wa hospital uwe duni na chini
Mfano kugoma kufanyia services vifaa muhimu vya tiba, kuna muda hsptl inakua giza kabisa siku nzima ilihali kuna back up generators 2 kubwaa lakin hawataki kuzifanyia service kuna wakati zinakua hazina mafuta( maajabu kuna muda walikodisha generator toka nje ) pia kuna kipindi hsptl ilikua haina maji kwa siku kadhaa kisa pump ta maji haijatengenezwa (ilikua inategemea maji ta mkokoteni ) , vifaa tiba, mashine za vipimo , ac , gari za kubebea wagonjwa zikiharibika hazifanyiwi matengenezo wa wakati ili mradi tu viongoz hao wafanye huduma za hsptl kuwa ngumu )

2.Morali ya wafanyakazi ipo chini sana maana hawajui hatma yao na wengi wao mikataba imeisha na wanapewa short contract (3mnths ) huku wakisubiria final say ya serikali . pia kuna uhaba mkubwa wa wafanyakazi

3.Viongozi hao DG,DAHR kwasasa wamekua wakitoa kauli kuwa hawawezi kufanywa lolote na wameshaituliza serikali na sasa hivi watawakomesha wafanyakazi kama sehemu ya kisasi na kweli wamekua wakifanya huduma za hsptl kuwa ngumu

NINI HATMA !!????
1.JE,SERIKALI YA AWAMU HII IMESHINDWA KUMALIZA KADHIA HII NA KUICHUKUA HOSPITAL KAMA ILIVYODAI MWANZONI

2.WAZI HOSPITAL HAINA MMILIKI JE,KINA NANI WANUFAIKA WA HSPTL YA DAR GROUP KIASI KWAMBA MPAKA LEO SERIKALI HAIJATOA MWAFAKA

3.TAKUKURU,WIZARA YA AFYA , DPP , KAMATI ILIYOUNDWA KUCHUNGUZA KWANINI MPAKA SASA HAMJACHUKUA HATUA YEYOTE KWA VIONGOZI HAWA

4.KWANINI VIONGOZI HAO WENYE TUHUMA NA MAKOSA KIBAO HADI LEO HII WANAENDELEA KUBAKI KTK UONGOZI(tokea december 2020 )

5.SERIKALI KUPITIA WIZARA YA AFYA,KATIBU WIZARA YA AFYA , TAKUKURU WATOE MWAFAKA RASMI NA KUMALIZA KADHIA YA DAR GROUP HOSPITAL NA KUCHUKUA HATUA STAHIKI KWA MANUFAA YA WATANZANIA NA SIO MUNUFAA YA KIKUNDI CHA WATU WACHACHE WANAOFAIDIKA


[mention]Wizara ya Afya Tanzania [/mention] [mention]Wizara Katiba Na Sheria [/mention] [mention]Takukuru [/mention] [mention]Pccb [/mention]
[mention]Jamii forum [/mention] [mention]Jamii kwanza [/mention] [mention]Polisi jamii [/mention]
[mention]Zitto [/mention]
Kweli hatari tupu Ndugu
 
Mkuu Kwani ni nani mmiliki wa hiyo hospital?

Haina mmiliki?(imebaki shamba la bibi ) hapo awali ilikua inarun kama non-profit organization enzi hizo ikiwa na board members kutoka mashirika na taasisi mbali mbali ,baadae ukafanyika ujanja ujanja board members wakabaki watu 4 wakiwemo mkurugenzi mkuu na mkuregenzi wa utawala pamoja na wazee 2 (ila kwasasa board ilivunjwa baada ya ile kadhia )
So hawa viongozi wakageuza kama mali yao binafsi
 
Ndugu watanzania kwa ujumla natumai mnaendelea vizur na ujenzi wa taifa

Mnamo mwezi wa 12, 2020 kuna kadhia iliibuka hapa JF kuhusu hospital ya Dar Group kuhusu uonevu, unyanyasaji wa watumishi wa hospital ya Dar Group (kumbuku uzi huu chini )

Tunaomba Serikali iingilie kati Hospitali ya Dar Group (T.O.H.S), Mmiliki hajulikani

Baada ya kadhia hiyo kuibuka kupitia hapa Jamii Forum , Serikali wakati wa awamu ile ya JPM kupitia Mkuu wa wilaya ya Temeke Mh.Gondwe alifatulia kadhia ile na kufika hospital kuongea na wafanyakazi pamoja na uongozi ,
(Kumbukumbu video ya kikao kati ya mkuu wa wilaya na team na wafanyakazi/viongozi wa hospital )



Kupitia kikao hicho Chini mkuu wa wilaya na kamati yake madudi mengi sana yaliibuka kuhusu hospital ya Dar group
1.TUHUMA ZOTE ZA UNYANYASAJI NA UKIKWAJI WA HAKI ZA WAFANYAKAZI ZILIZOKUA ZINAWAKABILI VIONGOZI HAO (Mkurugenzi Mkuu,mkurugenzi wa utawala na rasilimali watu pamoja na watu wao ) ZILITHIBITIKA NA KUBAINIKA NI KWELI (VIONGOZI HUSIKA WALISHINDWA KUJITETEA NA WALIKIRI MAKOSA YOTE )

2.KUPITIA KIKAO KILE YALIIBUKA MADUDU MENGI KUHUSU MATUMIZI MABAYA YA MAKI YA SHIRIKA (WIZI,UFISADI NA UTAKATISHAJI PESA ULIOKUA UKIFANYWA NA VIONGOZI HAO, (Mfano viongozi hao walikua wakifanya ubadhilifu na ufujaji wa mali za shirika ikiwemo kujichotea pesa za shirika , kutolipa wafanyakazi overtime huku wao wakijilipa takriban million 5 kila mwezi (nje ya mishahara na posho kibao wanazolipwa , pili wizi mkubwa waliokua wakifanya kupitia ununuzi wa vifaa vya hsptl yaan kifaa cha million 6 wao wanapiga million 17, DG kununua gari 2 aina za vanguard (kwa kiasi cha takriban million 90 na ushee ) gari moja ameandika jina la shirika na gari lingine ameandika jina lake binafsi , pia walibainika kujilimbikizia mali kibao tofaut na uhalisia wa mishahara za vipato vyao )

3.Iliundwa kamati uchunguzi kuhusu mambo yote ya hospital pia TAKUKURU walifanya uchunguzi na kufundua madudu na ubadhilifu mkubwa sana , na hospital iliamuliwa iwe chini ya uongozi wa wilaya/mkoa chini ya ofisi ya RAS , na maadhimio kadhaa yalitolewa ikiwemo kufanyika vikao vya mara kwa mara kati ya usimamiz kutoka ofis ya RAS ,wafanyakazi na viongozi lakin cha ajabu ilikua kama nguvu ya soda baada ti ya muda kidogo hali ilirud kuwa kama zaman hamna vikao vinavyofanyika mpaka sasa , na viongoz waliokua wakisimamia huja mara chache nkuongea na viongozi bila kuongea na wafanyakazi, je kuna siri gani inaendelea kati ya wasimamizi na viongozi hao ?

HALI YA SASA YA HOSPITAL
Kwaujumla mwenendo wa hospital kwasasa sio mzuri ,viongozi hao hao wenye tuhuma na incompetent bado wapo ktk nafasi zao na wanafanya sabotage, wanahujumu hospital na kufanya utendaji wa hospital uwe duni na chini
Mfano kugoma kufanyia services vifaa muhimu vya tiba, kuna muda hsptl inakua giza kabisa siku nzima ilihali kuna back up generators 2 kubwaa lakin hawataki kuzifanyia service kuna wakati zinakua hazina mafuta( maajabu kuna muda walikodisha generator toka nje ) pia kuna kipindi hsptl ilikua haina maji kwa siku kadhaa kisa pump ta maji haijatengenezwa (ilikua inategemea maji ta mkokoteni ) , vifaa tiba, mashine za vipimo , ac , gari za kubebea wagonjwa zikiharibika hazifanyiwi matengenezo wa wakati ili mradi tu viongoz hao wafanye huduma za hsptl kuwa ngumu )

2.Morali ya wafanyakazi ipo chini sana maana hawajui hatma yao na wengi wao mikataba imeisha na wanapewa short contract (3mnths ) huku wakisubiria final say ya serikali . pia kuna uhaba mkubwa wa wafanyakazi

3.Viongozi hao DG,DAHR kwasasa wamekua wakitoa kauli kuwa hawawezi kufanywa lolote na wameshaituliza serikali na sasa hivi watawakomesha wafanyakazi kama sehemu ya kisasi na kweli wamekua wakifanya huduma za hsptl kuwa ngumu

NINI HATMA !!????
1.JE,SERIKALI YA AWAMU HII IMESHINDWA KUMALIZA KADHIA HII NA KUICHUKUA HOSPITAL KAMA ILIVYODAI MWANZONI

2.WAZI HOSPITAL HAINA MMILIKI JE,KINA NANI WANUFAIKA WA HSPTL YA DAR GROUP KIASI KWAMBA MPAKA LEO SERIKALI HAIJATOA MWAFAKA

3.TAKUKURU,WIZARA YA AFYA , DPP , KAMATI ILIYOUNDWA KUCHUNGUZA KWANINI MPAKA SASA HAMJACHUKUA HATUA YEYOTE KWA VIONGOZI HAWA

4.KWANINI VIONGOZI HAO WENYE TUHUMA NA MAKOSA KIBAO HADI LEO HII WANAENDELEA KUBAKI KTK UONGOZI(tokea december 2020 )

5.SERIKALI KUPITIA WIZARA YA AFYA,KATIBU WIZARA YA AFYA , TAKUKURU WATOE MWAFAKA RASMI NA KUMALIZA KADHIA YA DAR GROUP HOSPITAL NA KUCHUKUA HATUA STAHIKI KWA MANUFAA YA WATANZANIA NA SIO MUNUFAA YA KIKUNDI CHA WATU WACHACHE WANAOFAIDIKA


[mention]Wizara ya Afya Tanzania [/mention] [mention]Wizara Katiba Na Sheria [/mention] [mention]Takukuru [/mention] [mention]Pccb [/mention]
[mention]Jamii forum [/mention] [mention]Jamii kwanza [/mention] [mention]Polisi jamii [/mention]
[mention]Zitto [/mention]


JPM angekuepo hili suala lingekua tayar limeshamalizika pia hatua stahiki na sheria zingefuata mkondo wake, Chaajabu watu wafujaji na watakatishaji pesa bado ofisini mpaka leo hii licha ya uchunguzi kukamilika ,
 
Ndugu watanzania kwa ujumla natumai mnaendelea vizur na ujenzi wa taifa

Mnamo mwezi wa 12, 2020 kuna kadhia iliibuka hapa JF kuhusu hospital ya Dar Group kuhusu uonevu, unyanyasaji wa watumishi wa hospital ya Dar Group (kumbuku uzi huu chini )

Tunaomba Serikali iingilie kati Hospitali ya Dar Group (T.O.H.S), Mmiliki hajulikani

Baada ya kadhia hiyo kuibuka kupitia hapa Jamii Forum , Serikali wakati wa awamu ile ya JPM kupitia Mkuu wa wilaya ya Temeke Mh.Gondwe alifatulia kadhia ile na kufika hospital kuongea na wafanyakazi pamoja na uongozi ,
(Kumbukumbu video ya kikao kati ya mkuu wa wilaya na team na wafanyakazi/viongozi wa hospital )



Kupitia kikao hicho Chini mkuu wa wilaya na kamati yake madudu mengi sana yaliibuka kuhusu hospital ya Dar group
1.TUHUMA ZOTE ZA UNYANYASAJI NA UKIKWAJI WA HAKI ZA WAFANYAKAZI ZILIZOKUA ZINAWAKABILI VIONGOZI HAO (Mkurugenzi Mkuu,mkurugenzi wa utawala na rasilimali watu pamoja na watu wao ) ZILITHIBITIKA NA KUBAINIKA NI KWELI (VIONGOZI HUSIKA WALISHINDWA KUJITETEA NA WALIKIRI MAKOSA YOTE )

2.KUPITIA KIKAO KILE YALIIBUKA MADUDU MENGI KUHUSU MATUMIZI MABAYA YA MAKI YA SHIRIKA (WIZI,UFISADI NA UTAKATISHAJI PESA ULIOKUA UKIFANYWA NA VIONGOZI HAO, (Mfano viongozi hao walikua wakifanya ubadhilifu na ufujaji wa mali za shirika ikiwemo kujichotea pesa za shirika , kutolipa wafanyakazi overtime huku wao wakijilipa takriban million 5 kila mwezi (nje ya mishahara na posho kibao wanazolipwa , pili wizi mkubwa waliokua wakifanya kupitia ununuzi wa vifaa vya hsptl yaan kifaa cha million 6 wao wanapiga million 17, DG kununua gari 2 aina za vanguard (kwa kiasi cha takriban million 90 na ushee ) gari moja ameandika jina la shirika na gari lingine ameandika jina lake binafsi , pia walibainika kujilimbikizia mali kibao tofaut na uhalisia wa mishahara za vipato vyao )

3.Iliundwa kamati uchunguzi kuhusu mambo yote ya hospital pia TAKUKURU walifanya uchunguzi na kufundua madudu na ubadhilifu mkubwa sana , na hospital iliamuliwa iwe chini ya uongozi wa wilaya/mkoa chini ya ofisi ya RAS , na maadhimio kadhaa yalitolewa ikiwemo kufanyika vikao vya mara kwa mara kati ya usimamiz kutoka ofis ya RAS ,wafanyakazi na viongozi lakin cha ajabu ilikua kama nguvu ya soda baada ti ya muda kidogo hali ilirud kuwa kama zaman hamna vikao vinavyofanyika mpaka sasa , na viongoz waliokua wakisimamia huja mara chache nkuongea na viongozi bila kuongea na wafanyakazi, je kuna siri gani inaendelea kati ya wasimamizi na viongozi hao ?

HALI YA SASA YA HOSPITAL
Kwaujumla mwenendo wa hospital kwasasa sio mzuri ,viongozi hao hao wenye tuhuma na incompetent bado wapo ktk nafasi zao na wanafanya sabotage, wanahujumu hospital na kufanya utendaji wa hospital uwe duni na chini
Mfano kugoma kufanyia services vifaa muhimu vya tiba, kuna muda hsptl inakua giza kabisa siku nzima ilihali kuna back up generators 2 kubwaa lakin hawataki kuzifanyia service kuna wakati zinakua hazina mafuta(maajabu kuna muda walikodisha generator toka nje ) pia kuna kipindi hsptl ilikua haina maji kwa siku kadhaa kisa pump ta maji haijatengenezwa (ilikua inategemea maji ta mkokoteni ) , vifaa tiba, mashine za vipimo , ac , gari za kubebea wagonjwa zikiharibika hazifanyiwi matengenezo wa wakati ili mradi tu viongoz hao wafanye huduma za hsptl kuwa ngumu )

2.Morali ya wafanyakazi ipo chini sana maana hawajui hatma yao na wengi wao mikataba imeisha na wanapewa short contract (3months ) huku wakisubiria final say ya serikali . pia kuna uhaba mkubwa wa wafanyakazi

3.Viongozi hao DG,DAHR kwasasa wamekua wakitoa kauli kuwa hawawezi kufanywa lolote na wameshaituliza serikali na sasa hivi watawakomesha wafanyakazi kama sehemu ya kisasi na kweli wamekua wakifanya huduma za hsptl kuwa ngumu

NINI HATMA !!????
1.JE,SERIKALI YA AWAMU HII IMESHINDWA KUMALIZA KADHIA HII NA KUICHUKUA HOSPITAL KAMA ILIVYODAI MWANZONI

2.WAZI HOSPITAL HAINA MMILIKI JE,KINA NANI WANUFAIKA WA HSPTL YA DAR GROUP KIASI KWAMBA MPAKA LEO SERIKALI HAIJATOA MWAFAKA

3.TAKUKURU,WIZARA YA AFYA , DPP , KAMATI ILIYOUNDWA KUCHUNGUZA KWANINI MPAKA SASA HAMJACHUKUA HATUA YEYOTE KWA VIONGOZI HAWA

4.KWANINI VIONGOZI HAO WENYE TUHUMA NA MAKOSA KIBAO HADI LEO HII WANAENDELEA KUBAKI KTK UONGOZI(tokea december 2020 )

5.SERIKALI KUPITIA WIZARA YA AFYA,KATIBU WIZARA YA AFYA , TAKUKURU WATOE MWAFAKA RASMI NA KUMALIZA KADHIA YA DAR GROUP HOSPITAL NA KUCHUKUA HATUA STAHIKI KWA MANUFAA YA WATANZANIA NA SIO MUNUFAA YA KIKUNDI CHA WATU WACHACHE WANAOFAIDIKA.


[mention]Wizara ya Afya Tanzania [/mention] [mention]Wizara Katiba Na Sheria [/mention] [mention]Takukuru [/mention] [mention]Pccb [/mention]
[mention]Jamii forum [/mention] [mention]Jamii kwanza [/mention] [mention]Polisi jamii [/mention]
[mention]Zitto [/mention]
Tunaomba waziri wa Afya muh Dr Dorothy Gwajima aunde bodi kwa ajiri ya uendeshaji wa hospitali hii na watumishi wapewe mikataba ya muda mrefu itakayo wanufaisha na kuwapa utulivu wa moyo. Haiwezekani mtaaluma umfanyishe kazi kama kibarua kwa mkataba wa miezi mitatu.
Pia serikali kupitia vyombo vyake kama AKUKURU wachunguze kwa kina tuhuma hizi, haiwezekan watakatishaji fedha na wanynyasaji waendelee kuongoza wakati kuna watu wengi wenye uwezo wa kuongoza, hao viongozi wanatakiwa wawe kwenye vyombo vya SHERIA kujibu tuhuma zao na sio OFISINI.
 
Ndugu watanzania kwa ujumla natumai mnaendelea vizur na ujenzi wa taifa

Mnamo mwezi wa 12, 2020 kuna kadhia iliibuka hapa JF kuhusu hospital ya Dar Group kuhusu uonevu, unyanyasaji wa watumishi wa hospital ya Dar Group (kumbuku uzi huu chini )

Tunaomba Serikali iingilie kati Hospitali ya Dar Group (T.O.H.S), Mmiliki hajulikani

Baada ya kadhia hiyo kuibuka kupitia hapa Jamii Forum , Serikali wakati wa awamu ile ya JPM kupitia Mkuu wa wilaya ya Temeke Mh.Gondwe alifatulia kadhia ile na kufika hospital kuongea na wafanyakazi pamoja na uongozi ,
(Kumbukumbu video ya kikao kati ya mkuu wa wilaya na team na wafanyakazi/viongozi wa hospital )



Kupitia kikao hicho Chini mkuu wa wilaya na kamati yake madudu mengi sana yaliibuka kuhusu hospital ya Dar group
1.TUHUMA ZOTE ZA UNYANYASAJI NA UKIKWAJI WA HAKI ZA WAFANYAKAZI ZILIZOKUA ZINAWAKABILI VIONGOZI HAO (Mkurugenzi Mkuu,mkurugenzi wa utawala na rasilimali watu pamoja na watu wao ) ZILITHIBITIKA NA KUBAINIKA NI KWELI (VIONGOZI HUSIKA WALISHINDWA KUJITETEA NA WALIKIRI MAKOSA YOTE )

2.KUPITIA KIKAO KILE YALIIBUKA MADUDU MENGI KUHUSU MATUMIZI MABAYA YA MAKI YA SHIRIKA (WIZI,UFISADI NA UTAKATISHAJI PESA ULIOKUA UKIFANYWA NA VIONGOZI HAO, (Mfano viongozi hao walikua wakifanya ubadhilifu na ufujaji wa mali za shirika ikiwemo kujichotea pesa za shirika , kutolipa wafanyakazi overtime huku wao wakijilipa takriban million 5 kila mwezi (nje ya mishahara na posho kibao wanazolipwa , pili wizi mkubwa waliokua wakifanya kupitia ununuzi wa vifaa vya hsptl yaan kifaa cha million 6 wao wanapiga million 17, DG kununua gari 2 aina za vanguard (kwa kiasi cha takriban million 90 na ushee ) gari moja ameandika jina la shirika na gari lingine ameandika jina lake binafsi , pia walibainika kujilimbikizia mali kibao tofaut na uhalisia wa mishahara za vipato vyao )

3.Iliundwa kamati uchunguzi kuhusu mambo yote ya hospital pia TAKUKURU walifanya uchunguzi na kufundua madudu na ubadhilifu mkubwa sana , na hospital iliamuliwa iwe chini ya uongozi wa wilaya/mkoa chini ya ofisi ya RAS , na maadhimio kadhaa yalitolewa ikiwemo kufanyika vikao vya mara kwa mara kati ya usimamiz kutoka ofis ya RAS ,wafanyakazi na viongozi lakin cha ajabu ilikua kama nguvu ya soda baada ti ya muda kidogo hali ilirud kuwa kama zaman hamna vikao vinavyofanyika mpaka sasa , na viongoz waliokua wakisimamia huja mara chache nkuongea na viongozi bila kuongea na wafanyakazi, je kuna siri gani inaendelea kati ya wasimamizi na viongozi hao ?

HALI YA SASA YA HOSPITAL
Kwaujumla mwenendo wa hospital kwasasa sio mzuri ,viongozi hao hao wenye tuhuma na incompetent bado wapo ktk nafasi zao na wanafanya sabotage, wanahujumu hospital na kufanya utendaji wa hospital uwe duni na chini
Mfano kugoma kufanyia services vifaa muhimu vya tiba, kuna muda hsptl inakua giza kabisa siku nzima ilihali kuna back up generators 2 kubwaa lakin hawataki kuzifanyia service kuna wakati zinakua hazina mafuta(maajabu kuna muda walikodisha generator toka nje ) pia kuna kipindi hsptl ilikua haina maji kwa siku kadhaa kisa pump ta maji haijatengenezwa (ilikua inategemea maji ta mkokoteni ) , vifaa tiba, mashine za vipimo , ac , gari za kubebea wagonjwa zikiharibika hazifanyiwi matengenezo wa wakati ili mradi tu viongoz hao wafanye huduma za hsptl kuwa ngumu )

2.Morali ya wafanyakazi ipo chini sana maana hawajui hatma yao na wengi wao mikataba imeisha na wanapewa short contract (3months ) huku wakisubiria final say ya serikali . pia kuna uhaba mkubwa wa wafanyakazi

3.Viongozi hao DG,DAHR kwasasa wamekua wakitoa kauli kuwa hawawezi kufanywa lolote na wameshaituliza serikali na sasa hivi watawakomesha wafanyakazi kama sehemu ya kisasi na kweli wamekua wakifanya huduma za hsptl kuwa ngumu

NINI HATMA !!????
1.JE,SERIKALI YA AWAMU HII IMESHINDWA KUMALIZA KADHIA HII NA KUICHUKUA HOSPITAL KAMA ILIVYODAI MWANZONI

2.WAZI HOSPITAL HAINA MMILIKI JE,KINA NANI WANUFAIKA WA HSPTL YA DAR GROUP KIASI KWAMBA MPAKA LEO SERIKALI HAIJATOA MWAFAKA

3.TAKUKURU,WIZARA YA AFYA , DPP , KAMATI ILIYOUNDWA KUCHUNGUZA KWANINI MPAKA SASA HAMJACHUKUA HATUA YEYOTE KWA VIONGOZI HAWA

4.KWANINI VIONGOZI HAO WENYE TUHUMA NA MAKOSA KIBAO HADI LEO HII WANAENDELEA KUBAKI KTK UONGOZI(tokea december 2020 )

5.SERIKALI KUPITIA WIZARA YA AFYA,KATIBU WIZARA YA AFYA , TAKUKURU WATOE MWAFAKA RASMI NA KUMALIZA KADHIA YA DAR GROUP HOSPITAL NA KUCHUKUA HATUA STAHIKI KWA MANUFAA YA WATANZANIA NA SIO MUNUFAA YA KIKUNDI CHA WATU WACHACHE WANAOFAIDIKA.


[mention]Wizara ya Afya Tanzania [/mention] [mention]Wizara Katiba Na Sheria [/mention] [mention]Takukuru [/mention] [mention]Pccb [/mention]
[mention]Jamii forum [/mention] [mention]Jamii kwanza [/mention] [mention]Polisi jamii [/mention]
[mention]Zitto [/mention]
Hapa kuna agenda iliyojificha kati ya uongozi uliopo na hao wanaotajwa kua wako ofisi ya RAS kwa sababu ni kama vile uongozi wa RAS unatoa majibu mepesi kwenye swala zito kama hili na kuahidi kuja kuongea na watumishi wa hospital ya dar group lakin hawatokei,lakini cha kushangaza pia viongozi hao hao waliokutwa na makosa bado wanajitapa ya kua baada ya kifo cha mpendwa wetu raisi wa awamu ya tano hayati Dr.John Pombe Magufuli hakuna mtu wa kuwafanya chochote,hivyo swali linabaki wanapata wapi nguvu na ujasiri wa kujitapa na inaleta sintofahamu na kukosa hata imani na uongozi wa mkoa ambao ndo ulipewa dhamana na jukumu la kuisimamia hospital kwa kipindi wanachodai ni cha mpito.
Kwann kuonekane kuwa na silent mutual agreement kati ya uongozi hatiani na badhilifu wa dar group na ofisi ya mkuu wa mko?? Kwann hakuna kikao hata kimoja kati ya uongozi wa mkoa, management na wafanyakazi.?? Je ni kweli serikali ya mama yetu Muh Samia Suruhu haiwezi kufanya jambo juu ya hii kadhia?? Maswali ni mengi yasiyo na majibu.
 
Hapa kuna agenda iliyojificha kati ya uongozi uliopo na hao wanaotajwa kua wako ofisi ya RAS kwa sababu ni kama vile uongozi wa RAS unatoa majibu mepesi kwenye swala zito kama hili na kuahidi kuja kuongea na watumishi wa hospital ya dar group lakin hawatokei,lakini cha kushangaza pia viongozi hao hao waliokutwa na makosa bado wanajitapa ya kua baada ya kifo cha mpendwa wetu raisi wa awamu ya tano hayati Dr.John Pombe Magufuli hakuna mtu wa kuwafanya chochote,hivyo swali linabaki wanapata wapi nguvu na ujasiri wa kujitapa na inaleta sintofahamu na kukosa hata imani na uongozi wa mkoa ambao ndo ulipewa dhamana na jukumu la kuisimamia hospital kwa kipindi wanachodai ni cha mpito.
Kwann kuonekane kuwa na silent mutual agreement kati ya uongozi hatiani na badhilifu wa dar group na ofisi ya mkuu wa mko?? Kwann hakuna kikao hata kimoja kati ya uongozi wa mkoa, management na wafanyakazi.?? Je ni kweli serikali ya mama yetu Muh Samia Suruhu haiwezi kufanya jambo juu ya hii kadhia?? Maswali ni mengi yasiyo na majibu.

Absolutely true, maswali ni mengi kuliko majibu , lakin je,serikali imelala !?? Uchunguzi umeshakamilika kitambo lakini Takukuru wapo kimya na bado wahusika wa makosa na ubadhilifu wa mali za shirika wapo ktk nafasi zao hii inaleta ukakasi sana , Serikali inabidi iangalie maslahi mapana ya wananchi na watumishi walio wengi na kuwachukulia hatua viongozi wa hsptl na hao kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa wanaendelea kushirikiana na viongoz na kuwakikingia vifua badala ya kusimamia usawa na haki za wafanyakazi
Mfano: kuna mmoja ya wasimamizi kutoka Ofis ya ras anaitwa Dr.D.... huyu ndio huwa akienda hsptl na wenzake huwa wanajifungia ndani na viongozi wanaongea kisha anaondoka bila kuongea na wafanyakazi, pia hata akipelekewa malalamiko au mambo ya msingi yafanyiwe kazi huwa ana ignore na kuwakingia kifua viongozi hao incompetent
Inaonenaka viongoz hao kutoka ofis ya ras wamekua sehemu ya wanufaika wa viongozi so kwasasa wanajali maslahi yao binafsi
ILA TUNASEMA HIVI HAKI LAZIMA ITENDEKE
OFISI MKUU WA WILAYA TMK,MKUU WA MKOA RAS NA WIZARA YA AFYA ,JE NI KWELI WATUHUMIWA HAWA WANANGUVU KUWASHINDA NYIE ?? AMKENI KABLA MAPEMA ,TUMEVULIA VYA KUTOSHA SASA NEXT STEP HILI LINAFIKA KWA MAMLAKA ZA WALIOWATEUA
 
Tunaomba waziri wa Afya muh Dr Dorothy Gwajima aunde bodi kwa ajiri ya uendeshaji wa hospitali hii na watumishi wapewe mikataba ya muda mrefu itakayo wanufaisha na kuwapa utulivu wa moyo. Haiwezekani mtaaluma umfanyishe kazi kama kibarua kwa mkataba wa miezi mitatu.
Pia serikali kupitia vyombo vyake kama AKUKURU wachunguze kwa kina tuhuma hizi, haiwezekan watakatishaji fedha na wanynyasaji waendelee kuongoza wakati kuna watu wengi wenye uwezo wa kuongoza, hao viongozi wanatakiwa wawe kwenye vyombo vya SHERIA kujibu tuhuma zao na sio OFISINI.

Exactly, how comes hsptl haina bodi kwa muda wote huu !? Na uchunguzi inaonekana tayar ulishakamilika maana walisema hadi kufika mwezi 4 ingekua tayar wameshatoa mwafaka na sheria kufuata mkondo wake , lakin had leo hii Takukuru wapo mute ilihali kuna taarifa kibao za upigaji wa viongozi hao zipo hadharani kabisa nazinafahamika hata aliyekuwa muhasibu wa hsptl ile alithibitisha kwa ushahid na vielelezo vyote, Pia mmoja wa viongozi huwa anawatambia wafanyakazi kuwa ndugu yake ni boss Takukuru so yeye hawzi fanywa lolote thus bado yupo na ataendelea kuwepo ,THIS IS VERY SHAMEFUL
 
JPM angekuepo hili suala lingekua tayar limeshamalizika pia hatua stahiki na sheria zingefuata mkondo wake, Chaajabu watu wafujaji na watakatishaji pesa bado ofisini mpaka leo hii licha ya uchunguzi kukamilika ,
wakati double g akienda pale ilikuwa ni kipindi cha mwenda zake
 
wakati double g akienda pale ilikuwa ni kipindi cha mwenda zake

Ndio ilikua kipindi cha JPM na wakat ule hili suala lilipewa uzito mkubwa na Mh.DC na team yake walitekeleza majukumu yao vizur sana , ila naamin hata awamu hii ya Mama hili suala wataliza hivi karibun tu japo kuna watu wa chini ndio wanataka kulikwamisha kwa maslahi yao binafsi
. “BUT IT’S NOT OVER UNTIL IT’S OVER “
 
Kiuhalisia awamu hii ni ngumu sana kupata haki na yale mambo ya undugu kwamba fulani ndugu yake ni fulani yamerudiii upyaaa,inasemekana DG wa hapo na waziri mwenye dhamana ya kazi na ajira ni ndugu hivyo kuchelewesha mchakato wote,sasa sisi watanzania ambao hatuna ndugu kwenye uongozi wa juu haki yetu itapatikana wap?ukwel ni kwamba kwente hili swala viongozi wa mkoa wa dar es salaam wanaupiga mwingi.
 
Back
Top Bottom