Mkuu Nyleptha, kwa mujibu wa sheria zetu hapa jf, hili ni kosa la "neme calling" na adhabu yake ni ban!.
Hapa tunatumia pen names zetu tuu, kama umemuona mtu amejiandika Pasco, hata afanane vipi na Pasco Mayalla, huruhusiwi kumfananisha au kumuita Pasco Mayalla!, kwa taarifa tuu, mimi ni Pasco wa jf, full stop!.
Pasco.
Tupa ndani nyang'au huyo! Kama kosa la Kuvamia kiwanja mtu yupo ndani zaid ya miezi 5 seuze la umafia? Awe na kisukari au kichumvi haituhusu, Tanzania bila ya Ulwakatare inawezekana, iyo safari imeanza wasakwe mpaka wanaojianya wako bize shinyanga mpaka watambue kuwa ncha ya Mkuki haipigwi kichwa![/QUOTm
mjinga wewe
:high5:
Mkuu Chakaza, sina ujumbe wowote zaidi ya kuuliza "the motive behind!". Tangu clip imetoka, concentration ya wengi ni on genuinity ya clip, mimi huko nilishatoka concern yangu sasa ni "if he was acting alone au ndio mpango wa chama?!.
Pasco.
Tupa ndani nyang'au huyo! Kama kosa la Kuvamia kiwanja mtu yupo ndani zaid ya miezi 5 seuze la umafia? Awe na kisukari au kichumvi haituhusu, Tanzania bila ya Ulwakatare inawezekana, iyo safari imeanza wasakwe mpaka wanaojianya wako bize shinyanga mpaka watambue kuwa ncha ya Mkuki haipigwi kichwa!
Mkuu Kapotolo, ni kweli nilianzia kwenye kuandika habari, nikaja kwenye kutangaza redio, then kutangaza kwenye TV, na baada ya "kiti moto" nilijikita kwenye production, "behind the camera", mimi sasa sio mtangazaji bali ni mtayarishaji "producer", na naomba kusema wazi na sio kujidai, TBC, ITV na Channel Ten, wote bado wanatumia camera za DV zinazotumia Div Tapes au Mini Div, Star TV ndio wana camera za HDV zinazotumia card ila TX yao nao bado ni analogy, mimi studio yangu ya PPR, tuko kwenye full digital, HDV tukitumia XD video card, ila kwa vile TV zetu zote bado zinarusha analogue signal, then nalazamika kuwapelekea kwenye DV quality, ukipeleka Full HDV, picha inaonekana kama inaungua!. Hivyo naomba nikuthibitishie Pasco wa jf, sio mwandishi tuu, au mtangazaji tuu, bali ni 'AV Digital Producer"
na endapo jf itaamua kuwa na TV channel yake, mimi naamini nitakuwa ni mtu wa msaada sana!.
Pasco.
Mkuu Nyleptha, kwa mujibu wa sheria zetu hapa jf, hili ni kosa la "neme calling" na adhabu yake ni ban!.
Hapa tunatumia pen names zetu tuu, kama umemuona mtu amejiandika Pasco, hata afanane vipi na Pasco Mayalla, huruhusiwi kumfananisha au kumuita Pasco Mayalla!, kwa taarifa tuu, mimi ni Pasco wa jf, full stop!.
Pasco.
mwizi wa roho za watu na mwizi wa sementi nani ni wa kuogopa?Sio hoja kwa magaidi kama nyie,huyo unaemsema kavamia kiwanja na kuiba mali kwa mgongo wa Uislamu hivi hii ni dini kweli au kikundi fulani cha maharamia na wahuni waoaojiita waislamu
Wala usilinganishe suala la Lwakatare na la mwizi huyo
Zile chafya, mafua na kuvuja kwa makamasi kwenye ile video, ni ishara tosha kwamba yule mjomba afya yake ni mgogoro mtupu. Ni vyema serikali ikawa makini na watu wenye afya mbovu kama yule na ikibidi awekwe katika cell ambayo hatachanganyika na wengine. Au ni vizuri zaidi kama aliruhusiwa kuishi nyumbani kwake huku akiwa chini ya ulinzi na polisi wamuone tuu pale wanapotaka kumsaili.
Tupa ndani nyang'au huyo! Kama kosa la Kuvamia kiwanja mtu yupo ndani zaid ya miezi 5 seuze la umafia? Awe na kisukari au kichumvi haituhusu, Tanzania bila ya Ulwakatare inawezekana, iyo safari imeanza wasakwe mpaka wanaojianya wako bize shinyanga mpaka watambue kuwa ncha ya Mkuki haipigwi kichwa!
polis leo mnawaona wabaya kisa Lwakatare,me huwa nawaambia hapa unafki si mzuri,polisi huwa mnawasifia wanapowabughudhi waislam,,,,,,
kumtoa mtu jicho sio hatia kama vipi andamaneni,? Yaan hatuna maendeleo kwa kuwa wengine tunapinga Umafia wenu?
Kwa hiyo IGP anaruhusu Polisi kumyima haki yake ya kikatiba mtuhumiwa ili kupata matibabu hivi Kikwete anajua hawa watu wake wanavyochafua jina la nchi hii kwa udikteta waoAkifia jela atakuwa amekufa natural death, ni mgonjwa sana yule and at no point kifo chake kihusishwe with his detention
mwizi wa roho za watu na mwizi wa sementi nani ni wa kuogopa?
Mkuu Kapotolo, ni kweli nilianzia kwenye kuandika habari, nikaja kwenye kutangaza redio, then kutangaza kwenye TV, na baada ya "kiti moto" nilijikita kwenye production, "behind the camera", mimi sasa sio mtangazaji bali ni mtayarishaji "producer", na naomba kusema wazi na sio kujidai, TBC, ITV na Channel Ten, wote bado wanatumia camera za DV zinazotumia Div Tapes au Mini Div, Star TV ndio wana camera za HDV zinazotumia card ila TX yao nao bado ni analogy, mimi studio yangu ya PPR, tuko kwenye full digital, HDV tukitumia XD video card, ila kwa vile TV zetu zote bado zinarusha analogue signal, then nalazamika kuwapelekea kwenye DV quality, ukipeleka Full HDV, picha inaonekana kama inaungua!. Hivyo naomba nikuthibitishie Pasco wa jf, sio mwandishi tuu, au mtangazaji tuu, bali ni 'AV Digital Producer"
na endapo jf itaamua kuwa na TV channel yake, mimi naamini nitakuwa ni mtu wa msaada sana!.
Pasco.