Babu Kijana
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 589
- 278
Madhara gani mkuu?
Pengine elimu umekosa,lakini ungetumia hata akili ya kawaida tu aliyokupa Mungu kuchangia hoja!Sheikh Ponda alifikishwa mahakamani Lwakatare bado yuko ndani ya mikono ya polisi kwa zaidi ya masaa 24 kitu ambacho ni kinyume na sheria,na kuonyesha ulivyo mwepesi upstairs eti unasema bora afie huko huko,then wewe utafaidika nini?au haujui madhara yanayoweza tokea na suala ilo?shame on you!