Afya ya Lwakatare YAZOROTA

Afya ya Lwakatare YAZOROTA

Dhamana ya nn? Huyu hatari kuliko kina ponda na uamsho tusifanye mchezo na usalama wa nchi
Kama kina ponda wamenyimwa dhamana tena mahakamani huyu anaweza kuzuiwa kutumia sheria ya ugaidi hapa inafaa
Tusiwe double standard tuhuma ni nzito na zinahusu uhai wa watu


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Mbona Ust Ilunga anadunda mitaani au yeye siyo hatari kwa ustawi wa amani ya Tanzania.
 
Tumuombe uzima na salama, maana mahabusu za polisi wetu na baadhi ya mbinu chafu za mahojiano, Mungu bariki Rwakatare sio tuu ni public fugure, bali pia anazijua hakizake mikononi mwa polisi!, angekuwa ni mwenzangu za mimi, saa hizi angekuwa umekwisha sema kila kitu!.

Pamoja na yote, mimi nimeiangalia clip ile na kujiridhisha ni "bonafide genuine!".

Pasco.
ndio maana huwa napenda kukaa kimya kwa jambo nisilo lijua. hapa PASCO umenifanya nitilie mashaka uelewa wako wa mambo ya ELECTRONICS.Bado you need to learn more,go back to school and am ready to sponsor you. this is purely fake stuff take it from me.100% FAKE.
 
Tumuombe uzima na salama, maana mahabusu za polisi wetu na baadhi ya mbinu chafu za mahojiano, Mungu bariki Rwakatare sio tuu ni public fugure, bali pia anazijua hakizake mikononi mwa polisi!, angekuwa ni mwenzangu za mimi, saa hizi angekuwa umekwisha sema kila kitu!.

Pamoja na yote, mimi nimeiangalia clip ile na kujiridhisha ni "bonafide genuine!".

Pasco.
Acha wataalamu waseme, wewe kwa kuwa unajua kuandika habari ndio ujifanye mtaalamu wa kuchunguza video. Wanahabari wa bongo bana, ndio maana mnaitwa makanjanja na mtaendelea kuuana kwa njaa zenu.
 
Hata Sheikh Ponda pia hali yake si nzuri lakini mpaka leo anasotea dhamana na haipati sijui huwa wanawafanyeje huko gerezani jamani!! Awe mpole tu uchunguzi ukikamilika atapata stahili yake!!
 
Acha wataalamu waseme, wewe kwa kuwa unajua kuandika habari ndio ujifanye mtaalamu wa kuchunguza video. Wanahabari wa bongo bana, ndio maana mnaitwa makanjanja na mtaendelea kuuana kwa njaa zenu.
Mkuu Kapotolo, ni kweli nilianzia kwenye kuandika habari, nikaja kwenye kutangaza redio, then kutangaza kwenye TV, na baada ya "kiti moto" nilijikita kwenye production, "behind the camera", mimi sasa sio mtangazaji bali ni mtayarishaji "producer", na naomba kusema wazi na sio kujidai, TBC, ITV na Channel Ten, wote bado wanatumia camera za DV zinazotumia Div Tapes au Mini Div, Star TV ndio wana camera za HDV zinazotumia card ila TX yao nao bado ni analogy, mimi studio yangu ya PPR, tuko kwenye full digital, HDV tukitumia XD video card, ila kwa vile TV zetu zote bado zinarusha analogue signal, then nalazamika kuwapelekea kwenye DV quality, ukipeleka Full HDV, picha inaonekana kama inaungua!. Hivyo naomba nikuthibitishie Pasco wa jf, sio mwandishi tuu, au mtangazaji tuu, bali ni 'AV Digital Producer"
na endapo jf itaamua kuwa na TV channel yake, mimi naamini nitakuwa ni mtu wa msaada sana!.

Pasco.
 
Mkuu Kapotolo, ni kweli nilianzia kwenye kuandika habari, nikaja kwenye kutangaza redio, then kutangaza kwenye TV, na baada ya "kiti moto" nilijikita kwenye production, "behind the camera", mimi sasa sio mtangazaji bali ni mtayarishaji "producer", na naomba kusema wazi na sio kujidai, TBC, ITV na Channel Ten, wote bado wanatumia camera za DV zinazotumia Div Tapes au Mini Div, Star TV ndio wana camera za HDV zinazotumia card ila TX yao nao bado ni analogy, mimi studio yangu ya PPR, tuko kwenye full digital, HDV tukitumia XD video card, ila kwa vile TV zetu zote bado zinarusha analogue signal, then nalazamika kuwapelekea kwenye DV quality, ukipeleka Full HDV, picha inaonekana kama inaungua!. Hivyo naomba nikuthibitishie Pasco wa jf, sio mwandishi tuu, au mtangazaji tuu, bali ni 'AV Digital Producer"
na endapo jf itaamua kuwa na TV channel yake, mimi naamini nitakuwa ni mtu wa msaada sana!.

Pasco.

Hee! Is this Pasco Mayalla? ndio maana...bahati mbaya nimechelea kujua.
 
Kama alijua ana kisukari angeepuka kujiingiza kwenye ugaidi.
 
Hee! Is this Pasco Mayalla? ndio maana...bahati mbaya nimechelea kujua.
Mkuu Nyleptha, kwa mujibu wa sheria zetu hapa jf, hili ni kosa la "neme calling" na adhabu yake ni ban!.

Hapa tunatumia pen names zetu tuu, kama umemuona mtu amejiandika Pasco, hata afanane vipi na Pasco Mayalla, huruhusiwi kumfananisha au kumuita Pasco Mayalla!, kwa taarifa tuu, mimi ni Pasco wa jf, full stop!.

Pasco.
 
Huyo anatakiwa afie huko huko asitoke watu walikuwa wanashabikia hapa Masuala ya akina shekhe Ponda leo yamewafika wanaanza kulia lia, Ugaidi na dhamana wapi na wapi?

Kufa mwenyewe.
 
ukweli uko somewhere, who can find it !!!!!!!!!!!!
 
Huyo anatakiwa afie huko huko asitoke watu walikuwa wanashabikia hapa Masuala ya akina shekhe Ponda leo yamewafika wanaanza kulia lia, Ugaidi na dhamana wapi na wapi?

yaani mungu anajua akifanyacho,mwezi haujapita tangu walipokua wakiisifia polisi,,,,leo wamenywea kama bamia la matombo
 
Huyo anatakiwa afie huko huko asitoke watu walikuwa wanashabikia hapa Masuala ya akina shekhe Ponda leo yamewafika wanaanza kulia lia, Ugaidi na dhamana wapi na wapi?

Mbona dhaifu naye ni gaidi kwa mujibu wa Mchungaji Mtikila na hadi leo anakula bata huku akipasua anga kila uchao?
 
Huyo anatakiwa afie huko huko asitoke watu walikuwa wanashabikia hapa Masuala ya akina shekhe Ponda leo yamewafika wanaanza kulia lia, Ugaidi na dhamana wapi na wapi?

Pengine elimu umekosa,lakini ungetumia hata akili ya kawaida tu aliyokupa Mungu kuchangia hoja!Sheikh Ponda alifikishwa mahakamani Lwakatare bado yuko ndani ya mikono ya polisi kwa zaidi ya masaa 24 kitu ambacho ni kinyume na sheria,na kuonyesha ulivyo mwepesi upstairs eti unasema bora afie huko huko,then wewe utafaidika nini?au haujui madhara yanayoweza tokea na suala ilo?shame on you!
 
Tupa ndani nyang'au huyo! Kama kosa la Kuvamia kiwanja mtu yupo ndani zaid ya miezi 5 seuze la umafia? Awe na kisukari au kichumvi haituhusu, Tanzania bila ya Ulwakatare inawezekana, iyo safari imeanza wasakwe mpaka wanaojianya wako bize shinyanga mpaka watambue kuwa ncha ya Mkuki haipigwi kichwa!

Songoro kikwetu ni mtu asieweza kufikiri kabisa anatembea na kuishi na watu! ndio hiyo hiyo na kwako?
 
Last edited by a moderator:
Akifia jela atakuwa amekufa natural death, ni mgonjwa sana yule and at no point kifo chake kihusishwe with his detention
 
Back
Top Bottom