Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,169
- 3,358
Dhamana ya nn? Huyu hatari kuliko kina ponda na uamsho tusifanye mchezo na usalama wa nchi
Kama kina ponda wamenyimwa dhamana tena mahakamani huyu anaweza kuzuiwa kutumia sheria ya ugaidi hapa inafaa
Tusiwe double standard tuhuma ni nzito na zinahusu uhai wa watu
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Mbona Ust Ilunga anadunda mitaani au yeye siyo hatari kwa ustawi wa amani ya Tanzania.