kuwepo
Mkuu Mrejesho, kama issue ni njaa, then I would have done what pays off most!. Kitendo cha mimi kuendelea kuwepo kwenye fani hii ambayo doesn't pay at all, ni uthibitisho tosha kuwa I'm doing this job for the love of it and not to make money. Sasa hii njaa ya kuniua ni njaa gani hii?!, unless na wewe unaamini kuna watu are paid ku post humu jf, then I must be filthy rich!.
Pasco
.Huyo anatakiwa afie huko huko asitoke watu walikuwa wanashabikia hapa Masuala ya akina shekhe Ponda leo yamewafika wanaanza kulia lia, Ugaidi na dhamana wapi na wapi?
Tupa ndani nyang'au huyo! Kama kosa la Kuvamia kiwanja mtu yupo ndani zaid ya miezi 5 seuze la umafia? Awe na kisukari au kichumvi haituhusu, Tanzania bila ya Ulwakatare inawezekana, iyo safari imeanza wasakwe mpaka wanaojianya wako bize shinyanga mpaka watambue kuwa ncha ya Mkuki haipigwi kichwa!
Kwani Mashahidi wa Jehova sio
wakristo? Tofauti yetu ni kwamba hatuamini kama yesu ni Mungu. Mungu ni
Jehova peke yake hana mwenza.
Agosti mwaka jana Shehe ILUNGA katoa maagizo wakristo wauawe!... Leo anapeta!... kwa SABABU tu anatoka dini ya wakubwa wa nchi!.. Lwakatare (mkristo) kakamatwa waislamu mnashangilia!.
Tumuombe uzima na salama, maana mahabusu za polisi wetu na baadhi ya mbinu chafu za mahojiano, Mungu bariki Rwakatare sio tuu ni public fugure, bali pia anazijua hakizake mikononi mwa polisi!, angekuwa ni mwenzangu za mimi, saa hizi angekuwa umekwisha sema kila kitu!.
Pamoja na yote, mimi nimeiangalia clip ile na kujiridhisha ni "bonafide genuine!".
Pasco.
Mbona baadhi ya wachangiaji wamerudisha mada kwenye udini? Kuna watu hawawezi kabisa kuwa na mawazo huru ni lazima wafungwe kwenye minyororo ya udini. Akili ndogo.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
huyo anatakiwa afie huko huko asitoke watu walikuwa wanashabikia hapa masuala ya akina shekhe ponda leo yamewafika wanaanza kulia lia, ugaidi na dhamana wapi na wapi?
Nahisi ni kwa sababu CDM yenyewe ni dini..ni vigumu kutofautisha Udini na CDM
Du !, yaani Mkuu The Invisible, kumbe umenistukia kuwa mwisho wa uwezo wangu ni hii kazi ya ukanjanja!, naona noma kweli!, ila naomba kuyasema haya kama utayaamini uyaamini, kama huta yaamini na usiyaamini.Hapana kanjanja Pasco.
Wewe upo fani hii kwa lazima. Huna uwezo wa kuwa kwenye fani zinazolipa zaidi.
kuna tofauti kubwa kati ya Ilunga video na hii
ilinga alikua yupo hadharani.....sio siri alikua akisema kutokana na uchungu wa kila mara kuuliwa viongozi wa kiislam na bila ya kuchukuliwa kwa uzito na serikali ya kenya....alizungumza hayo kwa mifano kwamba kabla ya sHEIKH ROBO kuuliwa kule kenya waliuliwa wengine 6 ...na serikali haikufanya kitu...
na ujuavyo serikali haina dini jee kwa nini iuwe waslamu ? jee ni kwa sababu ya dini yao ndio maana wanaua masheikh ?
na mbona kuuliwa huku kwa masheikh wa kenya kanisa na viongozi wo mbona wap kimya ? jee wanahusika ?
ndio maana ya ile hotuba yake....kulipa kisasi...na sio kupanga mikakati ya kuua....aliyasema wazi..kwenye mkutano wa hadhara kama chadema wanaposema nchi hii haitawaliki....tutafanya fujo na kila kitu ..na mengine ndio haya ya lwakatare
ukija video yenu....ni kuwa hapa yanapangwa mauaji kwa siri..tena kwa vile tu fulani haipendi chadema
so unaona tofauti kati ya Ilunga ..yeye alisema hadharani na alikua anazunngumzia kuhusu kulipa kisasi...kule kenya kutokana na mkakati wa kuliwa masheikh...kule haihisiani na tanzania
Atapewa matibabu huko huko lupangoKwa hiyo IGP anaruhusu Polisi kumyima haki yake ya kikatiba mtuhumiwa ili kupata matibabu hivi Kikwete anajua hawa watu wake wanavyochafua jina la nchi hii kwa udikteta wao