Afya ya Lwakatare YAZOROTA

kuwepo
Mkuu Mrejesho, kama issue ni njaa, then I would have done what pays off most!. Kitendo cha mimi kuendelea kuwepo kwenye fani hii ambayo doesn't pay at all, ni uthibitisho tosha kuwa I'm doing this job for the love of it and not to make money. Sasa hii njaa ya kuniua ni njaa gani hii?!, unless na wewe unaamini kuna watu are paid ku post humu jf, then I must be filthy rich!.
Pasco

Hapana kanjanja Pasco.

Wewe upo fani hii kwa lazima. Huna uwezo wa kuwa kwenye fani zinazolipa zaidi.
 
MAAGIZO YA ILUNGA kwa waislamu kuua wakristo yangekuwa yamefanywa na mkristo dhidi ya waislamu ISINGECHUKUA HATA MASAA 6 angekamatwa!!!!!!... LAKINI SASA NI MIEZI 6 SHEHE ILUNGA HAJAKAMATWA!
 
Huyo anatakiwa afie huko huko asitoke watu walikuwa wanashabikia hapa Masuala ya akina shekhe Ponda leo yamewafika wanaanza kulia lia, Ugaidi na dhamana wapi na wapi?
.
Usipende kumtendea mwenzako usilolipenda kutendewa wewe, unaijua kesho?Mimi na wewe wote hatuna ukweli wa jjambo hili, TUmwombe sana MUNGU hatuwajui kesho
 
Tupa ndani nyang'au huyo! Kama kosa la Kuvamia kiwanja mtu yupo ndani zaid ya miezi 5 seuze la umafia? Awe na kisukari au kichumvi haituhusu, Tanzania bila ya Ulwakatare inawezekana, iyo safari imeanza wasakwe mpaka wanaojianya wako bize shinyanga mpaka watambue kuwa ncha ya Mkuki haipigwi kichwa!

Furahi sana sasa kwa sababu haya yanafanyika, lakini huzunuka pia sasa kwakua watu wanaelewa kwa kina kirefu kuliko unavyodhani juu ya sakata lote hili! Kumbuka ukitaka kuvuna mpunga, shurti punje inayoitwa mpunga pia izikwe ardhini, ife ichukue sura mpya, kisha izae, si punje moja pekee, bali nyingi! Hiyo ndio historia ya uumbaji, na historia ya harakati za ukombozi! Long live "BB". Mateso yako yatazaa ukombozi!
 
Agosti mwaka jana Shehe ILUNGA katoa maagizo wakristo wauawe!... Leo anapeta!... kwa SABABU tu anatoka dini ya wakubwa wa nchi!.. Lwakatare (mkristo) kakamatwa waislamu mnashangilia!.

kuna tofauti kubwa kati ya Ilunga video na hii
ilinga alikua yupo hadharani.....sio siri alikua akisema kutokana na uchungu wa kila mara kuuliwa viongozi wa kiislam na bila ya kuchukuliwa kwa uzito na serikali ya kenya....alizungumza hayo kwa mifano kwamba kabla ya sHEIKH ROBO kuuliwa kule kenya waliuliwa wengine 6 ...na serikali haikufanya kitu...
na ujuavyo serikali haina dini jee kwa nini iuwe waslamu ? jee ni kwa sababu ya dini yao ndio maana wanaua masheikh ?
na mbona kuuliwa huku kwa masheikh wa kenya kanisa na viongozi wo mbona wap kimya ? jee wanahusika ?
ndio maana ya ile hotuba yake....kulipa kisasi...na sio kupanga mikakati ya kuua....aliyasema wazi..kwenye mkutano wa hadhara kama chadema wanaposema nchi hii haitawaliki....tutafanya fujo na kila kitu ..na mengine ndio haya ya lwakatare
ukija video yenu....ni kuwa hapa yanapangwa mauaji kwa siri..tena kwa vile tu fulani haipendi chadema
so unaona tofauti kati ya Ilunga ..yeye alisema hadharani na alikua anazunngumzia kuhusu kulipa kisasi...kule kenya kutokana na mkakati wa kuliwa masheikh...kule haihisiani na tanzania
 
Tumuombe uzima na salama, maana mahabusu za polisi wetu na baadhi ya mbinu chafu za mahojiano, Mungu bariki Rwakatare sio tuu ni public fugure, bali pia anazijua hakizake mikononi mwa polisi!, angekuwa ni mwenzangu za mimi, saa hizi angekuwa umekwisha sema kila kitu!.

Pamoja na yote, mimi nimeiangalia clip ile na kujiridhisha ni "bonafide genuine!".

Pasco.

Naona baadhi ya waandishi ni sehemu ya mpango mzima.
 
sasa hapa mi najua lengo la hii movie itakuwa na developing story ndefu sana itakayolenga kutupotezea dira na hata kutuyumbisha kujua nini kiko mbele
 
Mbona baadhi ya wachangiaji wamerudisha mada kwenye udini? Kuna watu hawawezi kabisa kuwa na mawazo huru ni lazima wafungwe kwenye minyororo ya udini. Akili ndogo.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Nahisi ni kwa sababu CDM yenyewe ni dini..ni vigumu kutofautisha Udini na CDM
 
Hii filamu ya lwakatare nimeipenda sana, ikiisha hii itakuja nyingine kuhusu waislamu
 
Upumbavu kabisa wa mtoa mada Gazeti la cdm la mwanahalisi linaweza kuwaelekeza polisi cha kufanya? ***nzi kabisa. Leteni ushahidi wa kutosha wa kuwawezesha polisi kufanya kazi yao sio kuleta siasa. Mahakama kupitia wataalamu ndio watajua video ni feki au vinginevyo. Polisi fanyeni kazi yenu sisi watanzania tunajua Lwakatare anabiashara ya kuwadhuru waandishi wa habari kwa ushahidi wa video tutaamini vinginevyo hadi itakapothibitika hivyo.
 
Maneno yako hayana busara ndugu,hata hivyo ni mapema ku-claim namna hiyo!mbona mwigulu nchemba hajakamatwa na kuhojiwa?meditate!
 
invisible
Hapana kanjanja Pasco.

Wewe upo fani hii kwa lazima. Huna uwezo wa kuwa kwenye fani zinazolipa zaidi.
Du !, yaani Mkuu The Invisible, kumbe umenistukia kuwa mwisho wa uwezo wangu ni hii kazi ya ukanjanja!, naona noma kweli!, ila naomba kuyasema haya kama utayaamini uyaamini, kama huta yaamini na usiyaamini.

Kazi ya uandishi wa habari ni kazi ya wito kama ilivyo ualimu!. Ila kwa sababu siku hizi fani zinavamiwa kufuatia ukosefu wa ajira, uandishi wa habari pia ni fani iliyovamiwa, hivyo kuna waandishi wa wito, na waandishi wa mshahara (petty cash journalism), kama walivyo walimu wa wito na wale wa mshahara!.

Kwa vile kazi ya uandishi hai attract the best brains kufuatia maslahi duni, haina maana wote wanaoingia kwenye uandishi ni vilaza tuu, zipo some best brains ambao wangefanya vizuri kwingineko, bali wameamua kufanya uandishi kwa wito, just for the love of it na sio kwa kufuata pesa!, na hata zikitokea opportunities to make more money kwenye PR, wao wata prefer kubaki newsroom doing what they love most!, na hawa ndio masikini jeuri!.

Vivyo hivyo, kwa ualimu, wanaochukuliwa kwenda vyuo vya ualimu, ni wale waliokosa grades za kwenda form V, l`kini pia wapo giid brains wanaoingia ualimu kwa wito na they feel gratified doing what they do despite the low income associated.

Na kundi la mwisho la waandishi ni wale ambao they are good brain, wamefanya mambo makubwa very successive kwenye hayo wanayoyafanya, and yet they turn into journalism just for the love of it, na wanaandika kwa kujitolea and they don't make a peny out of journalism!. Hawa ndio waandishi wa kujitegemea kwa kujitolea!, hawajaariwa na mtu, hawatumwi na mtu, na wanaandika kile wanachokitaka wao!. Kundi hili, ndimo mimi nilimo!.

Kuna wengi wanachagua prifessionals fulani due their pay check and they get satisfaction for the money not for the job!, na wako ambao wameamua kufuata job satisfaction by doing what they love most despite the low pay!.

Higher paying jobs is not a big deals kwa sisi wengine, wala money is not everything!, we are doing what we do for the love of it, huku tukiishi nyumba za kupanga, tukitumia public transport na sometimes tukilala njaa but with a smile nit because there is nothing else to do, but because we have chosen this path!.

Take it or leave it.

Life goes on!.

Pasco.
 
kuna tofauti kubwa kati ya Ilunga video na hii
ilinga alikua yupo hadharani.....sio siri alikua akisema kutokana na uchungu wa kila mara kuuliwa viongozi wa kiislam na bila ya kuchukuliwa kwa uzito na serikali ya kenya....alizungumza hayo kwa mifano kwamba kabla ya sHEIKH ROBO kuuliwa kule kenya waliuliwa wengine 6 ...na serikali haikufanya kitu...
na ujuavyo serikali haina dini jee kwa nini iuwe waslamu ? jee ni kwa sababu ya dini yao ndio maana wanaua masheikh ?
na mbona kuuliwa huku kwa masheikh wa kenya kanisa na viongozi wo mbona wap kimya ? jee wanahusika ?
ndio maana ya ile hotuba yake....kulipa kisasi...na sio kupanga mikakati ya kuua....aliyasema wazi..kwenye mkutano wa hadhara kama chadema wanaposema nchi hii haitawaliki....tutafanya fujo na kila kitu ..na mengine ndio haya ya lwakatare
ukija video yenu....ni kuwa hapa yanapangwa mauaji kwa siri..tena kwa vile tu fulani haipendi chadema
so unaona tofauti kati ya Ilunga ..yeye alisema hadharani na alikua anazunngumzia kuhusu kulipa kisasi...kule kenya kutokana na mkakati wa kuliwa masheikh...kule haihisiani na tanzania

Mauaji yafanyike Kenya, Kisasi kilipwe Tanzania!!!!!!!!!!!!!. Marekebisho madogo:
1. Ni shehe Rogo siyo Robo;
2. Ilunga hakufanya hadharani bali kwa siri akiwa na waislamu;
3. Impact ya hukumu yake tumeiona - kupigwa risasi mapadre wawili Zanzibar (siyo Kenya).
4. Kuna mahali aliagiza polisi wauawe, hiyo ni kwakuwa adui yao ni serikali siyo wakristo (tena wa Kenya, siyo Tanzania;
5. Video hii si yetu (wakristo), kwakuwa wakristo hatulipi kisasi!... Lakini aliyekamatwa ni mkristo kwa ukristo wake si uhalifu!...
6. Turudi kwenye mstari na kutetea haki!..
 
Kwa hiyo IGP anaruhusu Polisi kumyima haki yake ya kikatiba mtuhumiwa ili kupata matibabu hivi Kikwete anajua hawa watu wake wanavyochafua jina la nchi hii kwa udikteta wao
Atapewa matibabu huko huko lupango
 
Back
Top Bottom