Nenda kwenu ndio kuna watu wa hovyo tena walevi.Utakuwa jitu refu. Mwili mkubwa kichwani matope
Hamna kitu hapo! Kama ni hivyo Kigoma kwa watu weusi na wafupi wamejaa kule, bila shaka ingetoa top 10 ya matajiri TanzaniaKwa watu weusi ni sawa
Wapi hamna kurogana ,huko kwenu kufanyana machizi ..Old Moshi ndio inaongoza kwa mataahira Tanzania.Huko kwenu pwani ni kurogana na kuchukiana.
Leta reference ya hizo tafitiMzuka wanajamvi.
Tafiti za uhakika zimethibisha waziwai watu wengi wafupi wa kimo na wenye miili midogo duniani wanaongoza kwa utajiri, maendeleo, akili, mafanikio, uongozi pamoja na afya ya mwili. Na ndio wanaishi maisha marefu.
Huko Denmark elimu ni bure kuanzia vidudu hadi Ph.D, si ungesoma angalau hadi Masters mkuu? Kwa nini ukubali kuishi kwa kubeba box miaka 30 ili mradi umudu bills wkt ungeweza kupanua wigo wa fikra zako kwa elimu ya juu ya bure kabisaMzuka wanajamvi.
Tafiti za uhakika zimethibisha waziwai watu wengi wafupi wa kimo na wenye miili midogo duniani wanaongoza kwa maendeleo, utajiri, maendeleo, akili, mafanikio, uongozi pamoja na afya ya mwili. Na ndio wanaishi maisha marefu.
Mkuu tafiti ujibiwa na tafiti. Yani watu tumezama field halafu bado unadai reference?Leta reference ya hizo tafiti